G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 11,795
- 36,704
Rais Magufuli umelikoroga sasa na ulinywe tuu maana hakuna namna.
Ukitumia ubabe kwa watanzania watakupiga kwenye sanduku la kura, sisi tunasema usitumie ubabe. Tukakusihi kutoka mwaka 2016 kwamba ubabe hausaidii, tukawambia usifanye hivyo ukakaidi, sasa utapigwa! Tulikuonya usiende na njia hiyo, ukaona sisi ni vibeberu uchwara, utapigwa! Na mimi nasema wakupige tu kwenye sanduku la kura maana hakuna namna sasa! Enh, ubabe ukiutumia kwenye uongozi utapigwa kwenye kura! Na acha upigwe tu!
Kiukweli njia ya uongozi na mwenendo alioenda nao Rais Magufuli kwa hii miaka mitano ni ya hovyo sana na akirudi kwa wananchi ataona matokeo yake. Mimi binafsi nimejikuta nikifurahia matokeo yake ingawa mwanzoni nilipaaza sauti abadilike. Namshukuru Mungu kwa kuendelea kumjengea ubabe. Sasa anaenda kuvuna!
Sina shaka na kina johnthebaptist aka bwasheeee, Pascal Mayalla na wengine wengi ambao ni wanaccm ILA kura zao hazitaenda kwa Magufuli. Hiyo ni hatua nzuri ya ushindi na bado huko mitaani.
Tukirudi kwa wanachadema sijaona na haitokaa itokee kura ya mwanachadema yeyote kwenda kwa Magufuli!
Upo uongozi wa kimsimamo unaozingatia sheria na ubabe uchwara, watanzania hawako tayari kuchagua "Ubabe uchwara, wamepitia mengi!
Ukitumia ubabe kwa watanzania watakupiga kwenye sanduku la kura, sisi tunasema usitumie ubabe. Tukakusihi kutoka mwaka 2016 kwamba ubabe hausaidii, tukawambia usifanye hivyo ukakaidi, sasa utapigwa! Tulikuonya usiende na njia hiyo, ukaona sisi ni vibeberu uchwara, utapigwa! Na mimi nasema wakupige tu kwenye sanduku la kura maana hakuna namna sasa! Enh, ubabe ukiutumia kwenye uongozi utapigwa kwenye kura! Na acha upigwe tu!
Kiukweli njia ya uongozi na mwenendo alioenda nao Rais Magufuli kwa hii miaka mitano ni ya hovyo sana na akirudi kwa wananchi ataona matokeo yake. Mimi binafsi nimejikuta nikifurahia matokeo yake ingawa mwanzoni nilipaaza sauti abadilike. Namshukuru Mungu kwa kuendelea kumjengea ubabe. Sasa anaenda kuvuna!
Sina shaka na kina johnthebaptist aka bwasheeee, Pascal Mayalla na wengine wengi ambao ni wanaccm ILA kura zao hazitaenda kwa Magufuli. Hiyo ni hatua nzuri ya ushindi na bado huko mitaani.
Tukirudi kwa wanachadema sijaona na haitokaa itokee kura ya mwanachadema yeyote kwenda kwa Magufuli!
Upo uongozi wa kimsimamo unaozingatia sheria na ubabe uchwara, watanzania hawako tayari kuchagua "Ubabe uchwara, wamepitia mengi!