[emoji23]Presha inapanda. Mavi yameanza kufuata chupi.
Tutasikia mengi mwishoni mwa msimu wakati mwanzoni timu fulani ilipokuwa ikishinda peke yake ilikuwa kimya. Ameanza kufukuzwa mwizi kelele haziishi. Kila siku kuna jipya.
Teh tehPresha inapanda. Mavi yameanza kufuata chupi.
Tutasikia mengi mwishoni mwa msimu wakati mwanzoni timu fulani ilipokuwa ikishinda peke yake ilikuwa kimya. Ameanza kufukuzwa mwizi kelele haziishi. Kila siku kuna jipya.
ni kama vile umetoka nje mada mkuu, au hasira zimekutoa kwenye reli?!!Presha inapanda. Mavi yameanza kufuata chupi.
Tutasikia mengi mwishoni mwa msimu wakati mwanzoni timu fulani ilipokuwa ikishinda peke yake ilikuwa kimya. Ameanza kufukuzwa mwizi kelele haziishi. Kila siku kuna jipya.
AFCON tunafuzukwa haya madudu ya TFF...kuunda kamati za wanasiasa, ligi mbovu iliyojaa rushwa na kutokuunda kamati technical sportsmen wa kushauri na kubuni strategies za ushindi kwa timu yetu ya taifa...
Tusitarajie chochote zaidi ya disappointment..kufuzu AFCON kwa njia hizi ni sawa na samaki kuendesha baiskeli.
Sent using Jamii Forums mobile app