kishumbaz
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 1,183
- 1,619
kwa haya madudu ya TFF...kuunda kamati za wanasiasa, ligi mbovu iliyojaa rushwa na kutokuunda kamati technical sportsmen wa kushauri na kubuni strategies za ushindi kwa timu yetu ya taifa...
Tusitarajie chochote zaidi ya disappointment..kufuzu AFCON kwa njia hizi ni sawa na samaki kuendesha baiskeli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tusitarajie chochote zaidi ya disappointment..kufuzu AFCON kwa njia hizi ni sawa na samaki kuendesha baiskeli.
Sent using Jamii Forums mobile app