Ukweli mtupu: Ni ngumu kudai utawala wa demokrasia na haki za binadamu huku ukiwa ughaibuni

Arudi ili mu mpyu pyu pyu. Hilo sahauni na mapambano bado yanaendelea.
Mapambano kuhusu nini mama...embu fafanua..kumbe TZ kuna wengine wa napambana. ..sasa wanapambania wapi.mitandaoni ama....?halafu naomba ni inbox uchukue Mzigo wako ni nao bado
 
Aliyekutuma alaaniwe kam ulivyolaaniwa wewe mwuaji mkubwa.
 
Ayatollah Rahola Khomeini alitoa upinzani uliyopelekea kuangushwa kwa utawala wa Shah mwaka 1979 akiwa nchini Ufaransa na hivyo hivyo kwa Obote ambaye alikuwa hapa hapa Tanzania.

So distance isn't the barrier 🚧 and what matters is that he is fighting for the just cause whose aim is to suppress the dictatorship.
 
Kasome The long walk to freedom cha Mandela ndo utajua ulichoandika ni matokeo ya ujinga wako iliotopea. Sikiliza na ule wimbo wa exile wa Lucky Dube juha wewe
 
Mkamateni huko Ubelgiji
Kwani akikaa huko ana madhara gani kwa tanzania?
Ukimgundua mwizi kisha mwizi akakukimbia una mtafuta wa nini wakati amekimbia na hajaiba?
Huyo kwa sasa ni toothless dog akiwa huko aliko.
 
Kwani akikaa huko ana madhara gani kwa tanzania?
Ukimgundua mwizi kisha mwizi akakukimbia una mtafuta wa nini wakati amekimbia na hajaiba?
Huyo kwa sasa ni toothless dog akiwa huko aliko.
Sasa kinachowawasha kumuanzishia post humu ni nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…