Ukweli na Uwongo upi hudumisha ndoa? Au vyote?

Ukweli na Uwongo upi hudumisha ndoa? Au vyote?

Kaka pole sana, sio kila siku lazima useme ukweli hata uongo unasaidia sana kujenga ndoa, kwa hili suala lako ungemdanaganya tu mama asikngekuwa vile ulivyomkuta kwa mfano ungesema nilikutana na rafiki yangu (wa kiume) pale Ubungo akaniomba nimpeleke Tegeta hivyo nimechelewa kurudi kwa sababu ya msongamano wa magari, hapo ungekuwa salama kwamba ni kweli Tegeta umeenda, hata kama kuna mtu aliona gari lako angeshuhudia hivyo hivyo ungebaki salama.

Unapoishi na mkeo jaribu kuishi kwa akili kwa sababu unaishi na kiumbe dhaifu (sio maneno yangu jamani, ni biblia imesema, akina dada msinishambulie tafadhali).


Hiyo bibilia haikusema udanganye pia, sasa ya kusema mwanamke ni kiumbe dhaifu na anastaili adanganywe ni mpya kwangu. Bora useme ukweli, mugombane anune lakini mwisho yataisha, atajua kuwa mumewe ni mkweli ila yeye tu anahofia.
Labda mwanamke hasie kuwa na akili timamu ndio anapenda kudanganywa.

Na vizuri kasema ukweli, je kama angeonekana na watu wanao mfaham hapo Ubungo anaingiza mwanamke na watoto ndani ya gari lake, na habari zikafika kwa mkewe siku ingine, nazani moto ungelipuka na angeshindwa kuzima, pengine na talaka angedai. Nyie wanaume wengine hamfikiri mbali.............
 
Ukweli utabaki kuwa ukweli tu. Uongo sio mzuri. Huyo ananuna nuna hujambembeleza siku nyingi.
 
Ukweli utabaki kuwa ukweli tu. Uongo sio mzuri. Huyo ananuna nuna hujambembeleza siku nyingi.
Given the Choice...,
Ukweli alafu nikupoteze au nikufanye usikitike na kuumia wewe kipenzi changu au
Uongo ingawa utaniumiza mimi lakini nipo tayari kubeba mzigo huo na kukufanya uendelee kufurahia..... Utachagua nini

au mfano;
Rafiki yako kipenzi baada ya kuwa amelewa alinitaka Je nikwambie huku nikijua fika kwamba nitavunja urafiki wenu wa muda mrefu na ni kwamba sababu ya pombe ndio alifanya hayo.....? Je itakuwa Busara kwa mimi kuvunja urafiki wenu, na kukufanya wewe usikitike na kuumia Just for the sake ya kusema Ukweli???, au kama wazazi wangu hawakutaki Je nikwambia huku nikijua kwamba hiyo itajenga ufa kwenye familia??
 
Given the Choice..., Ukweli alafu nikupoteze au nikufanye usikitike na kuumia wewe kipenzi changu auUongo ingawa utaniumiza mimi lakini nipo tayari kubeba mzigo huo na kukufanya uendelee kufurahia..... Utachagua niniau mfano; Rafiki yako kipenzi baada ya kuwa amelewa alinitaka Je nikwambie huku nikijua fika kwamba nitavunja urafiki wenu wa muda mrefu na ni kwamba sababu ya pombe ndio alifanya hayo.....? Je itakuwa Busara kwa mimi kuvunja urafiki wenu, na kukufanya wewe usikitike na kuumia Just for the sake ya kusema Ukweli???, au kama wazazi wangu hawakutaki Je nikwambia huku nikijua kwamba hiyo itajenga ufa kwenye familia??
bora uniambie ukweli wewe mwenyewe kuliko nije nigundue mwenyewe. Nikigundua ulinidanganya nitaumia zaidi. Kwa mfano uliotoa wazazi wako hawanitaki halafu unanificha, utanificha hadi lini? Sema ukweli ili nijue tunakabiliana vipi na hiyo hali kuliko kunyamaza mwisho wa siku impacts zake zitakuwa ni kubwa zaidi. Ukweli siku zote unamuweka mtu huru. Hebu fikiria huyu mtoa mada angemdanganya mkewe halafu ikatokea akapata matatizo huko alikompeleka mdada, ni vipi angejieleza kwa mkewe kwamba hakuwa na intentions zozote mbaya! I do speak the truth bila kujali utamuumiza mtu.
 
Si ukweli wala uongo kinachoweza kudumisha ndoa, ni mchanganyiko. Hata maandiko yanatuhasa tuwe wa kiasi. Sometimes huwa namdanganya wife, sometimes namwambia ukweli - bora kudumisha amani.
 
Back
Top Bottom