Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 390
- 1,425
kumbe aliondoka kweli? Na bado hajarudi rasmi?... huko ndiko Feitoto atakaporudi rasmi Yanga.
Maana yake, Yanga hawatampa mkataba mpya baada ya huu wasasa kwisha. Watu wameshaharibu maisha ya mchezaji.Na Wala mshahara haongezewi paka mkataba wake utakapoisha June 2024
Nimemsikia leo Hersi akisema Feisal yupo Yanga na wanatazamia kuboresha mkataba wakeMaana yake, Yanga hawatampa mkataba mpya baada ya huu wasasa kwisha. Watu wameshaharibu maisha ya mchezaji.
Mkuu Hajasema hivyo, acha kumwekea maneno mdomoni Rais wa mabingwa wa nchiNimemsikia leo Hersi akisema Feisal yupo Yanga na wanatazamia kuboresha mkataba wake....
Hiyo inategemea na wewe umesoma paragraph ya ngapi kwenye post yanguMkuu Hajasema hivyo, acha kumwekea maneno mdomoni Rais wa mabingwa wa nchi
Mwakalebela alisema kesi ya morisson mmeimaliza mapema.Wengi wamechanganyikiwa baada ya kumuona Feitoto akichezea JKU, ukweli ni kuwa kiungo huyo atajiunga na Yanga wakati wa kombe la mapinduzi, kwa sasa anafanya mazoezi na JKU ili kujiweka fiti, pia Feitoto na uongozi wameona ni vyema wasubiri kombe la mapinduzi kutokana na mihemko ya mashabiki wajinga wajinga waliopo katika mchezo wa soka hapa bongo, kwahiyo Yanga ondoeni hofu, aliyosema albino kuwa haendi kokote ni ya kweli, Yanga akimaliza kucheza na Mtibwa wanaelekea Zanzibar kucheza kombe la mapinduzi na huko ndiko Feitoto atakaporudi rasmi Yanga.
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Rais wa mabingwa wa makombe yote nchini Tanzania Hajasema wanamuongezea mshahara Feitoto kwani tayari ana mkataba halali unaisha june 2024Hiyo inategemea na wewe umesoma paragraph ya ngapi kwenye post yangu
Hizi story tushazichoka sasaWengi wamechanganyikiwa baada ya kumuona Feitoto akichezea JKU, ukweli ni kuwa kiungo huyo atajiunga na Yanga wakati wa kombe la mapinduzi.
Kwa sasa anafanya mazoezi na JKU ili kujiweka fiti, pia Feitoto na uongozi wameona ni vyema wasubiri kombe la mapinduzi kutokana na mihemko ya mashabiki wajinga wajinga waliopo katika mchezo wa soka hapa bongo.
Kwahiyo Yanga ondoeni hofu, aliyosema albino kuwa haendi kokote ni ya kweli, Yanga akimaliza kucheza na Mtibwa wanaelekea Zanzibar kucheza kombe la mapinduzi na huko ndiko Feitoto atakaporudi rasmi Yanga.
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
kesi ile tff ndio ilikuwa ifungiwe wakaona isiwe shida wakaacha kama ilivoMwakalebela alisema kesi ya morisson mmeimaliza mapema.
Angeondoka angekuwa mkubwa,mtoto,wazazi wamemlazimisha kurudi home.ataboreshewa kulingana na performance yake ila hizo ahadi za Azam aziache hukohuko Kama ana kaukukubwa akaripoti chamazi.mpira biashara Yanga wanataka money nenda Chamazi piga picha sign mkataba display.Nimemsikia leo Hersi akisema Feisal yupo Yanga na wanatazamia kuboresha mkataba wake
Feisal hakupewa malipo yanalolingana na thamani yake, management ya Yanga ilichukulia poa swala hilo kwasababu ilimu underestimate Feisal kuwa hana alternative.
Kitu ambacho Feisal amekifanya kilipaswa kuwa uhamsho kwa wachezaji wengine ambao wana vilio vya ndani wameviweka sirini.
Hili sakata kama likienda mwisho na kuamuliwa Feisal arudi Yanga kwa kupewa kile alichokitaka, for me hiyo itathibitisha Feisal ni mkubwa kuliko Yanga.
Kama ni mkubwa kuliko yanga Azam wameshindwa nini kumtambulisha mpaka sasa? Unafikiri mambo yanakwenda kienyeji ivyo, Azam kama wako sahihi na mchezaji kama yuko sahihi wangekuwa washatambulishana wamekwama wapi sasaNimemsikia leo Hersi akisema Feisal yupo Yanga na wanatazamia kuboresha mkataba wake
Feisal hakupewa malipo yanalolingana na thamani yake, management ya Yanga ilichukulia poa swala hilo kwasababu ilimu underestimate Feisal kuwa hana alternative.
Kitu ambacho Feisal amekifanya kilipaswa kuwa uhamsho kwa wachezaji wengine ambao wana vilio vya ndani wameviweka sirini.
Hili sakata kama likienda mwisho na kuamuliwa Feisal arudi Yanga kwa kupewa kile alichokitaka, for me hiyo itathibitisha Feisal ni mkubwa kuliko Yanga.
Uongo mwingi sana . Eng. Hersi jana kaibuka huko kuzima habari ya Fei kuoneka Znz na JKU.Hizi story tushazichoka sasa
Mahojiano ya Hersi yamefanyika Jumatano kipindi kimerushwa Alhamis, Feitoto amechezea JKU mechi ya kirafiki Alhamis Asubuhi Kwaiyo hakuna mwingiliano wowote.Uongo mwingi sana . Eng. Hersi jana kaibuka huko kuzima habari ya Fei kuoneka Znz na JKU.
Mara ooh! Yupo kambini. Ukweli ni kwamba Fei amekomaa status yake iheshimiwe.
Aliyoyafanya Yanga ni Mengi, Kama Vita kavipiga vilivyovyema acha Akapumzke Azam kwa AmaniUongo mwingi sana . Eng. Hersi jana kaibuka huko kuzima habari ya Fei kuoneka Znz na JKU.
Mara ooh! Yupo kambini. Ukweli ni kwamba Fei amekomaa status yake iheshimiwe.
Azam imeanza kuwa timu ya kihuni. Njia waliyotumia kutaka kumsajili Fei Toto ni ya kipuuzi.Kama ni mkubwa kuliko yanga Azam wameshindwa nini kumtambulisha mpaka sasa? Unafikiri mambo yanakwenda kienyeji ivyo, Azam kama wako sahihi na mchezaji kama yuko sahihi wangekuwa washatambulishana wamekwama wapi sasa