Ukweli ni kuwa Horoya ni Timu mbovu sana. Simba ilipiga Bomu mochwari

Ukweli ni kuwa Horoya ni Timu mbovu sana. Simba ilipiga Bomu mochwari

Horoya fan

Member
Joined
Mar 13, 2023
Posts
79
Reaction score
253
Mimi nikiwa shabiki wa damu wa Horoya Football Club nakiri hadharani kuwa hapa hakuna timu. Japo tupo klabu bingwa lakini klabu yetu imejichokea sana, hatuna wachezaji wowote wa maana wanaojua hata kupiga pasi mbili tatu, tumejaza wachezaji warefu wasiojua kucheza mpira.

Niwaambie tu Simba kuwa kutufunga sisi goli 7 kusiwafanye wakajiona Bora, kwani timu zote zilizoingia robo fainali zipo level moja na Raja kwaio wajiandae nao kupokea mvua ya magoli.
 
Mimi nikiwa shabiki wa damu wa Horoya Athletic Club nakiri hadharani kuwa hapa hakuna timu. Japo tupo klabu bingwa lakini klabu yetu imejichokea sana, hatuna wachezaji wowote wa maana wanaojua hata kupiga pasi mbili tatu, tumejaza wachezaji warefu wasiojua kucheza mpira.
Niwaambie tu Simba kuwa kutufunga sisi goli 7 kusiwafanye wakajiona Bora, kwani timu zote zilizoingia robo fainali zipo level moja na Raja kwaio wajiandae nao kupokea mvua ya magoli
Na watakaothibitisha hilo ni watakaopangiwa ROBO
 


SAWA.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] simba imepiga bomu mochwari
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na utatesekaaa sanaa, hizo hasira pelekeni kwa Al Hilal aliye wafurusha CL, sisi sio shida zetuuu.

Mmeingia robo na hamna furahaaaa. Uwiiiiiiiiiiiih.

Kwan ni lazima simba iwateseeee??? Lol
 
Mimi nikiwa shabiki wa damu wa Horoya Football Club nakiri hadharani kuwa hapa hakuna timu. Japo tupo klabu bingwa lakini klabu yetu imejichokea sana, hatuna wachezaji wowote wa maana wanaojua hata kupiga pasi mbili tatu, tumejaza wachezaji warefu wasiojua kucheza mpira.

Niwaambie tu Simba kuwa kutufunga sisi goli 7 kusiwafanye wakajiona Bora, kwani timu zote zilizoingia robo fainali zipo level moja na Raja kwaio wajiandae nao kupokea mvua ya magoli.
Na kweli.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na utatesekaaa sanaa, hizo hasira pelekeni kwa Al Hilal aliye wafurusha CL, sisi sio shida zetuuu.

Mmeingia robo na hamna furahaaaa. Uwiiiiiiiiiiiih.

Kwan ni lazima simba iwateseeee??? Lol
Hebu kapigie kelele huko huko mochwari, sisi hatuna shidaaa🤣🤣🤣
 
Mimi nikiwa shabiki wa damu wa Horoya Football Club nakiri hadharani kuwa hapa hakuna timu.
Tunakumbushana tu maana binadamu tumeumbwa kusahau. Wakati unasema mnaenda kufanya walichofanya Jwaneng DGalaxy, kwani hukujua kuwa hamna timu? Hebu nikukumbushe uzi wako:

Tunaenda kufanya walichofanya Jwaneng Galaxy pale kwa mkapa
 
Back
Top Bottom