Ukweli ni kuwa Urusi haichukiwi na nchi nyingi katika mgogoro huu

Ukweli ni kuwa Urusi haichukiwi na nchi nyingi katika mgogoro huu

lee Vladimir cleef

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
9,571
Reaction score
35,475
Mgogoro huu kati ya Ukraine na Urusi unaongoza kwa propaganda kuliko mgogoro wowote ule toka vita kuu ya pili ya Dunia.

Ukisikiliza propaganda za nchi za west unaweza kudhani Urusi imechukiwa na Dunia nzima.

Lakini ukweli sio hivyo.

Hali halisi Iko hivi.

Nchi zinazoichukia ama kuonesha kuitenga Urusi ni nchi zote za west.

Hata hizo za west baadhi ni kama zinalazimishwa TU kuitenga Urusi ili kuonesha umoja wao.

Wenye chuki wakubwa wa Urusi ni USA na UK.hawa wanawalazimisha west wengine waichukie Urusi kwa sababu zao za kihistoria.

Ukichunguza kwa undani nchi kadhaa za west zinaona kweli Urusi kachokozwa lakini haziwezi kusema hadharani kwani zitaonekana wasaliti wa NATO.

Na hata kujiunga na NATO ni kama zinashawishiwa na USA mwenye malengo binafsi.zipo nchi za West wala hazina hofu na Russia.
Mfano mdogo TU ni German,German siku zote anaiona Russia kama partner wake kibiashara.na ndio maana ikaingia mkataba mkubwa sana ulaya wa Bomba la gesi Nord stream3.

Na nchi nyingi nyinginezo za west.

Tuje Africa.
Karibu Africa nzima wala hawachukizwi na Urusi katika mgogoro huu.

Njoo Middle east,tukiamza na mshirika mkubwa wa USA Israel,huyu wala hajailaan Urusi,
Nchi nyingine ambazo hazijachukizwa na Urusi ni Iraq,Iran,Said Arabia,Yemen,Lebanon,Syria,na nchi nyingine kadhaa.

Njoo Far East na Asia.
Nchi karibu zote hazijakerwa na Urusi isipokua Japan,Korea kisini na vi nchi vichache.

America ya kisini.

Hizi nchi nyingi wala hazina tatizo na Urusi,zaidi Zina tatizo na USA hivyo hazina

Lakini wakubwa wa Asia kama China,India na vinchi vingine wala havina time na alichokifanya Urusi.

Kwa Nini nimeyasema haya.
USA anapiga propaganda kuwa Urusi imetengwa na Dunia nzima,lakini ukweli ni kwamba nchi zimekua zikilazimishwa kulaani ama kuweka ikwazo dhidi ya Urusi.

Kulaani ni kitu kinachotokea moyoni mtu akikulazimisha umlaani Adui Yako Haina nguvu kama ukimlaqni kwa hisia zako wewe mwenyewe.

USA imetishia hata kuziwekea vikwazo nchi zitakazoendelea kufanya biashara na Urusi. Sasa ugomvi wa USA na Urusi utawalazimaishaje wengine wamtenge Adui Yako? Wakati wao wanamuona mshirika wao wa masuala mengine?

Njoo nchi zilizokua soviet ya zamani.
Nchi nyingi zinazomchukia Urusi ni zile zilizo upande wa Magharibi wa Urusi,lakini nyingi zilizo upande wa Mashariki mwa Urusi kama kyugistan,Tajikistan,Uzebakistan na baadhi Yao hawana wala habari na Urusi. Kwa kufupisha ukiangalia majumuisho ya nchi zote za duniani utaona ni Chache sana zimekerwa na Urusi.

Kwa kifupi nchi nyingi sana hapa duniani zinaona mambo anayoyatenda USA kwa mataifa mengine kivita lakini hakuna hata nchi moja iliyomwekea vikwazo na hata kutaka kumtenga.

Tena wanaona jinsi USA aktaka kuvamia nchi nyingine jinsi anavyoomba nchi nyingine zimsaidie (washirika) lakini zinaona jinsi anayopoga vita nchi zisimsaidie Urusi kwa chochote.

Sasa Hali hii inazikera nchi nyingi sana hapa duniani. Kwa Hali hiyo nchi zinazomchukia Urusi ni Chache sana ukilinganisha na jinsi USA anavyoeneza propaganda Zake.
 
Kama Dunia Ingelikuwa Huru
Marekani Angelibakia yeye na UK tu
Labda Wachumia Tumbo na Watumwa kama Kenya
Nchi nyingi Zinapelekwa pelekwa tu
Aliekutangulia kakutangulia tuu,na ni naturally principle popote pale lazima kuwe na kiongozi Mkuu mmoja tuu.
 
Mimi nina maswali machache:

Neno "kuchukiwa" lina maana gani kwa tafsiri yako kulingana na mjadala uliouleta?

Pili; umetumia kipimo gani kinachoweza kutumika kuyapima mataifa yote duniani kwa usawa kujua kuwa Urusi "haichukiwi" (kulingana na tafsiri yako katika swali la kwanza)? Ni kipimo gani ambacho wote tunaweza kukikubali kwa usawa kuwa Urusi "haichukiwi"?

Je, kipimo ni kauli rasmi za mataifa yote duniani? Ama ni maamuzi yanayofanyika katika vyombo mbalimbali vya jumuiya ya kimataifa kama UNGA? Ni kipimo gani hasa ambacho umekitumia chenye usawa kwa mataifa yote?

Umezungumza kuhusu vikwazo, kwamba nchi zilizoiwekea Urusi vikwazo ndizo ambazo "zinaichukia" Urusi, lakini, uwezo wa nchi kuwekeana vikwazo vya kiuchumi si kipimo bora na chenye usawa maana nchi zote duniani zinatofautiana katika masuala ya kiuchumi. Si kila nchi inaweza kuweka vikwazo vya kiuchumi vyenye athari kwa Urusi, hasa nchi za Afrika ambazo kwa kiasi kikubwa hazina uchumi imara.

Je, nchi za Afrika na nyinginezo kutokuiwekea Urusi vikwazo vya kiuchumi ni kipimo kwamba nchi hizo "haziichukii" Urusi? Huoni kuwa kipimo hiki hakina usawa?
 
FN-D_yxX0AEalmA.jpg
 
Mgogoro huu kati ya Ukraine na Urusi unaongoza kwa propaganda kuliko mgogoro wowote ule toka vita kuu ya pili ya Dunia.

Ukisikiliza propaganda za nchi za west unaweza kudhani Urusi imechukiwa na Dunia nzima.

Lakini ukweli sio hivyo.

Hali halisi Iko hivi.

Nchi zinazoichukia ama kuonesha kuitenga Urusi ni nchi zote za west.

Hata hizo za west baadhi ni kama zinalazimishwa TU kuitenga Urusi ili kuonesha umoja wao.

Wenye chuki wakubwa wa Urusi ni USA na UK.hawa wanawalazimisha west wengine waichukie Urusi kwa sababu zao za kihistoria.

Ukichunguza kwa undani nchi kadhaa za west zinaona kweli Urusi kachokozwa lakini haziwezi kusema hadharani kwani zitaonekana wasaliti wa NATO.

Na hata kujiunga na NATO ni kama zinashawishiwa na USA mwenye malengo binafsi.zipo nchi za West wala hazina hofu na Russia.
Mfano mdogo TU ni German,German siku zote anaiona Russia kama partner wake kibiashara.na ndio maana ikaingia mkataba mkubwa sana ulaya wa Bomba la gesi Nord stream3.

Na nchi nyingi nyinginezo za west.

Tuje Africa.
Karibu Africa nzima wala hawachukizwi na Urusi katika mgogoro huu.

Njoo Middle east,tukiamza na mshirika mkubwa wa USA Israel,huyu wala hajailaan Urusi,
Nchi nyingine ambazo hazijachukizwa na Urusi ni Iraq,Iran,Said Arabia,Yemen,Lebanon,Syria,na nchi nyingine kadhaa.

Njoo Far East na Asia.
Nchi karibu zote hazijakerwa na Urusi isipokua Japan,Korea kisini na vi nchi vichache.

America ya kisini.

Hizi nchi nyingi wala hazina tatizo na Urusi,zaidi Zina tatizo na USA hivyo hazina

Lakini wakubwa wa Asia kama China,India na vinchi vingine wala havina time na alichokifanya Urusi.

Kwa Nini nimeyasema haya.
USA anapiga propaganda kuwa Urusi imetengwa na Dunia nzima,lakini ukweli ni kwamba nchi zimekua zikilazimishwa kulaani ama kuweka ikwazo dhidi ya Urusi.

Kulaani ni kitu kinachotokea moyoni mtu akikulazimisha umlaani Adui Yako Haina nguvu kama ukimlaqni kwa hisia zako wewe mwenyewe.

USA imetishia hata kuziwekea vikwazo nchi zitakazoendelea kufanya biashara na Urusi. Sasa ugomvi wa USA na Urusi utawalazimaishaje wengine wamtenge Adui Yako? Wakati wao wanamuona mshirika wao wa masuala mengine?

Njoo nchi zilizokua soviet ya zamani.
Nchi nyingi zinazomchukia Urusi ni zile zilizo upande wa Magharibi wa Urusi,lakini nyingi zilizo upande wa Mashariki mwa Urusi kama kyugistan,Tajikistan,Uzebakistan na baadhi Yao hawana wala habari na Urusi. Kwa kufupisha ukiangalia majumuisho ya nchi zote za duniani utaona ni Chache sana zimekerwa na Urusi.

Kwa kifupi nchi nyingi sana hapa duniani zinaona mambo anayoyatenda USA kwa mataifa mengine kivita lakini hakuna hata nchi moja iliyomwekea vikwazo na hata kutaka kumtenga.

Tena wanaona jinsi USA aktaka kuvamia nchi nyingine jinsi anavyoomba nchi nyingine zimsaidie (washirika) lakini zinaona jinsi anayopoga vita nchi zisimsaidie Urusi kwa chochote.

Sasa Hali hii inazikera nchi nyingi sana hapa duniani. Kwa Hali hiyo nchi zinazomchukia Urusi ni Chache sana ukilinganisha na jinsi USA anavyoeneza propaganda Zake.
Germany na France wamegoma kuweka vikwazo zaidi maana vinawaumiza wananchi wao.Hata Nato wenyewe leo wamekataa kuisaidia ukraine kuweka no flying zone hawataki vita.Sasa mashabiki wa Western wanavyoelezea humu JF eti Russia kashindwa vita.Zelensky si angeacha kuomba misaada ya kijeshi.Russia wanapiga kimya kimya tu.
 
Hata kwenye vikao vya familia au ukoo, mwenye nguvu kiuchumi ndo husikilizwa na kuheshimika na kuonekana mtu kuliko alie fukara.

On this note, hata kwenye siasa za dunia ni hivo hivo; mataifa ya Africa yanachukuliwa kama non existent powers, mataifa ambayo hayana mchango wowote mkubwa kwenye uchumi wa dunia hivyo kufanya yadharaulike kwa ufukara wao. So, maamuzi yetu kwao ni kelele zisizo na madhara yoyote.

Pia, Mataifa mengi makubwa ya Ulaya hasa Ulaya magharibi ni vigumu sana kumkatalia US matakwa yake kutokana na mchango wake mkubwa aliowapa kufufua uchumi wa nchi zao baada ya WW 2 kupitia European Recovery Project (Marshall Plan) chini ya Rais Harry Truman.

Kama asilimia kubwa ya mataifa yenye uchumi mkubwa duniani (Western European Countries, Japan, South Korea, Canada na Taiwan) yatakua upande wa US hio inatosha kwake. African resistance is almost negligible maana hatumuathiri US kwa sehehemu kubwa kama hao washirika wake.
 
Korea kusini iondoe, urusi haijashawishi nchi yoyote waiunge mkono lakini tunaona marekani na vibaraka wake wakilazimisha nchi nyingine wailaani urusi
Sidhani kama unachosema ni sahihi, hasa ukifuatilia mwenendo wa matukio wakati ambao mgogoro umekuwa ukiendelea, kabla na baada ya vita kuanza.

Anza na tukio la ziara ya rais wa Urusi nchini China kabla ya vita kuanza. Fuatia na kauli za viongozi wa ngazi za juu nchini Urusi kuhusu Urusi kutaka kuwajuwa "marafiki zake wa kweli" n.k.

Malizia na matukio mbalimbali ya upitishwaji wa maazimio yahusuyo mgogoro huu katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa ambalo Urusi ni miongoni mwa wanachama wa baraza hilo.

Katika migogoro yote mikubwa duniani, nchi zote kubwa zenye maslahi ama zinazohusika katika migogoro hiyo zina tabia ya kutafuta kuungwa mkono na jumuiya ya kimataifa.
 
Hata kwenye vikao vya familia au ukoo, mwenye nguvu kiuchumi ndo husikilizwa na kuheshimika na kuonekana mtu kuliko alie fukara.

On this note, hata kwenye siasa za dunia ni hivo hivo; mataifa ya Africa yanachukuliwa kama non existent powers, mataifa ambayo hayana mchango wowote mkubwa kwenye uchumi wa dunia hivyo kufanya yadharaulike kwa ufukara wao. So, maamuzi yetu kwao ni kelele zisizo na madhara yoyote.

Pia, Mataifa mengi makubwa ya Ulaya hasa Ulaya magharibi ni vigumu sana kumkatalia US matakwa yake kutokana na mchango wake mkubwa aliowapa kufufua uchumi wa nchi zao baada ya WW 2 kupitia European Recovery Project (Marshall Plan) chini ya Rais Harry Truman.

Kama asilimia kubwa ya mataifa yenye uchumi mkubwa duniani (Western European Countries, Japan, South Korea, Canada na Taiwan) yatakua upande wa US hio inatosha kwake. African resistance is almost negligible maana hatumuathiri US kwa sehehemu kubwa kama hao washirika wake.
Kuna point ya msingi sana katika suala la uchumi. Ndio maana nimeuliza swali hapa (ingawa bado halijajibiwa) kuhusu kipimo kitumikacho hasa na mleta mada kuwa Urusi "haichukiwi" kwa mujibu wa tafsiri yake mwenyewe, ambapo pia nimeomba maana ya hiyo tafsiri.

Kwa kutumia neno "kuchukiwa" kwa maana ya kutokuungwa mkono kwenye masuala mbalimbali ya kiuchumi, kisiasa, kidiplomasia na kadhalika, suala la vikwazo vya kiuchumi si kipimo sahihi sababu hakina usawa duniani kote. Maana yake ni kuwa, mataifa kadhaa hasa ya Afrika, hayana mchango mkubwa ama ushawishi katika uchumi wa dunia.
 
Mgogoro huu kati ya Ukraine na Urusi unaongoza kwa propaganda kuliko mgogoro wowote ule toka vita kuu ya pili ya Dunia.

Ukisikiliza propaganda za nchi za west unaweza kudhani Urusi imechukiwa na Dunia nzima.

Lakini ukweli sio hivyo.

Hali halisi Iko hivi.

Nchi zinazoichukia ama kuonesha kuitenga Urusi ni nchi zote za west.

Hata hizo za west baadhi ni kama zinalazimishwa TU kuitenga Urusi ili kuonesha umoja wao.

Wenye chuki wakubwa wa Urusi ni USA na UK.hawa wanawalazimisha west wengine waichukie Urusi kwa sababu zao za kihistoria.

Ukichunguza kwa undani nchi kadhaa za west zinaona kweli Urusi kachokozwa lakini haziwezi kusema hadharani kwani zitaonekana wasaliti wa NATO.

Na hata kujiunga na NATO ni kama zinashawishiwa na USA mwenye malengo binafsi.zipo nchi za West wala hazina hofu na Russia.
Mfano mdogo TU ni German,German siku zote anaiona Russia kama partner wake kibiashara.na ndio maana ikaingia mkataba mkubwa sana ulaya wa Bomba la gesi Nord stream3.

Na nchi nyingi nyinginezo za west.

Tuje Africa.
Karibu Africa nzima wala hawachukizwi na Urusi katika mgogoro huu.

Njoo Middle east,tukiamza na mshirika mkubwa wa USA Israel,huyu wala hajailaan Urusi,
Nchi nyingine ambazo hazijachukizwa na Urusi ni Iraq,Iran,Said Arabia,Yemen,Lebanon,Syria,na nchi nyingine kadhaa.

Njoo Far East na Asia.
Nchi karibu zote hazijakerwa na Urusi isipokua Japan,Korea kisini na vi nchi vichache.

America ya kisini.

Hizi nchi nyingi wala hazina tatizo na Urusi,zaidi Zina tatizo na USA hivyo hazina

Lakini wakubwa wa Asia kama China,India na vinchi vingine wala havina time na alichokifanya Urusi.

Kwa Nini nimeyasema haya.
USA anapiga propaganda kuwa Urusi imetengwa na Dunia nzima,lakini ukweli ni kwamba nchi zimekua zikilazimishwa kulaani ama kuweka ikwazo dhidi ya Urusi.

Kulaani ni kitu kinachotokea moyoni mtu akikulazimisha umlaani Adui Yako Haina nguvu kama ukimlaqni kwa hisia zako wewe mwenyewe.

USA imetishia hata kuziwekea vikwazo nchi zitakazoendelea kufanya biashara na Urusi. Sasa ugomvi wa USA na Urusi utawalazimaishaje wengine wamtenge Adui Yako? Wakati wao wanamuona mshirika wao wa masuala mengine?

Njoo nchi zilizokua soviet ya zamani.
Nchi nyingi zinazomchukia Urusi ni zile zilizo upande wa Magharibi wa Urusi,lakini nyingi zilizo upande wa Mashariki mwa Urusi kama kyugistan,Tajikistan,Uzebakistan na baadhi Yao hawana wala habari na Urusi. Kwa kufupisha ukiangalia majumuisho ya nchi zote za duniani utaona ni Chache sana zimekerwa na Urusi.

Kwa kifupi nchi nyingi sana hapa duniani zinaona mambo anayoyatenda USA kwa mataifa mengine kivita lakini hakuna hata nchi moja iliyomwekea vikwazo na hata kutaka kumtenga.

Tena wanaona jinsi USA aktaka kuvamia nchi nyingine jinsi anavyoomba nchi nyingine zimsaidie (washirika) lakini zinaona jinsi anayopoga vita nchi zisimsaidie Urusi kwa chochote.

Sasa Hali hii inazikera nchi nyingi sana hapa duniani. Kwa Hali hiyo nchi zinazomchukia Urusi ni Chache sana ukilinganisha na jinsi USA anavyoeneza propaganda Zake.
Acha porojo mkuu angalia moshi huo tafuta chanzo chake 👇

276317910_5444630102248939_1952691651342320054_n.jpg
 
Ila BORIS Johnson anaonekana kuwa na chuki Sana na RUSSIA...
Nadhani kambi ya other EU members wanamuona kama mkono wa US
UK alishajiondoa EU, BREXIT, ilifanya yake, kisha wanajutia!
 
Back
Top Bottom