Hakuna pesa pale, bali ni kuganga njaa tu, Hesabu ni bodaboda wangapi anaweza kumlipia mwanae Eng.mediam school, lkn mwl anaweza kumlipia mwanae.Ukifanya utafiti, bodaboda wanamiliki makazi yao wenyewe ni wachache kuliko wanaopanga.
Nyumba anayopanga bodaboda ni ya chumba 25,000 banda uani, bodaboda anapata pesa, ila Wanaishi maisha magumu.
Nyumba ni ya ulithi, hivi miaka 13kurudi nyuma ungeweza kupata kiwanja mwananyala na hicho kiwanja ni sh?Sio kweli mm Mara ya kwanza dar nilipanga mwananyamala mmliki ni bodaboda
Anakopaje kati pesa anazo. Sio kila mtu anapenda madeni, nyie walimu vipi nyieAya mwambie bodaboda aende benk ya posta akakope ml 15
Basi karekebishe post yako.... Umesema hakuna mwalimu anayelipwa zaidi ya 2m. Hukuwa specific pale....Naongea government ndugu, walimu wa IST sio wabongo ni wahindi na wazungu
Sasa laki Sita niyakutamba humu jf. Ndomana mnadharaulika, bodaboda Kwa siku elfu hamsini Kwa mwezi bei GaniTatizo mmekalilishwa ujinga!.. nikusanuae tu siku hizi tuna kopa B.O.T direct mtu unavuta Hadi 40M kulingana na scale yako!.. bachelor holder Kama hudaiwi na loan board unakunja 600K ukiwa unaa Anza sisi wakongwe tusha fika 1.2M na age inasoma 33,, wee endelea kukalili,,hao bodaa boda wanatutumikia sisi
Laki saba ndonanatambaHiyo ulikusudia kuandika laki 7 au milion 7 ?
Kiongozi are engineer?Mmetufikia tyr..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]... Nikajua ni waalimu tu
Bodaboda karibu kila siku ninapanda. Na ninayajua maisha yao.View attachment 2411851
Weka na yako tuone kwanza maana unadharau bodaboda sana,
Sawa kiongoziBasi karekebishe post yako.... Umesema hakuna mwalimu anayelipwa zaidi ya 2m. Hukuwa specific pale....
Anko wangu anafundisha pale. Kumbe anko wangu ni mzungu. Ndio nimejua leoNaongea government ndugu, walimu wa IST sio wabongo ni wahindi na wazungu
Sio ya urithi mkuu, kanunua nyumba mwananyamala Kwa pesa yake kabisa. Ipo pale koner ya hospital ukiwa unatokea kinondoniNyumba ni ya ulithi, hivi miaka 13kurudi nyuma ungeweza kupata kiwanja mwananyala na hicho kiwanja ni sh?
Sio kweli, watu ni wengi kuliko bodabodaUpo sahihi kabisa mleta uzi amepooza kwenye ubongo wake,hao bodaboda kwanza wapo wengi mno ukipiga hatua 20 tu wapo kiufupi pikpiki ni nyingi mno kiasi kwamba mtu kupata elfu tatu ni kawaida kwasiku
Yap yap yapKiongozi are engineer?
Sio walimu tu.... wafanyakazi wengi wa serikali... hata mapolisi hawajiamini kudai haki zao. Wanakimbilia kula mlungula kwa raiaSwali kwa nini walimu hua hawajiamini kwenye maisha ya kila siku hata kudai haki zao tu hawawezi?
Nyie next level sio Hawa walimu maboyaYap yap yap
Hhhahaha ukweli mtupu sababu wametokea Familia masikini, wanategemewa na Familia zaoSio walimu tu.... wafanyakazi wengi wa serikali... hata mapolisi hawajiamini kudai haki zao. Wanakimbilia kula mlungula kwa raia
Mimi ctaki kuingilia huu ugomvi... Kuna mtu akiniona na ponda hii maada.. itakuwa maafa..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nyie next level sio Hawa walimu maboya
Mapolisi wanakamua raiaHhhahaha ukweli mtupu sababu wametokea Familia masikini, wanategemewa na Familia zao