Ukweli ni kwamba bodaboda ana fursa na anamzidi kipato Mwalimu

Ukweli ni kwamba bodaboda ana fursa na anamzidi kipato Mwalimu

Ukifanya utafiti, bodaboda wanamiliki makazi yao wenyewe ni wachache kuliko wanaopanga.
Nyumba anayopanga bodaboda ni ya chumba 25,000 banda uani, bodaboda anapata pesa, ila Wanaishi maisha magumu.
Hakuna pesa pale, bali ni kuganga njaa tu, Hesabu ni bodaboda wangapi anaweza kumlipia mwanae Eng.mediam school, lkn mwl anaweza kumlipia mwanae.
 
Tatizo mmekalilishwa ujinga!.. nikusanuae tu siku hizi tuna kopa B.O.T direct mtu unavuta Hadi 40M kulingana na scale yako!.. bachelor holder Kama hudaiwi na loan board unakunja 600K ukiwa unaa Anza sisi wakongwe tusha fika 1.2M na age inasoma 33,, wee endelea kukalili,,hao bodaa boda wanatutumikia sisi
Sasa laki Sita niyakutamba humu jf. Ndomana mnadharaulika, bodaboda Kwa siku elfu hamsini Kwa mwezi bei Gani
 
Swali kwa nini walimu hua hawajiamini kwenye maisha ya kila siku hata kudai haki zao tu hawawezi?
 
Nyumba ni ya ulithi, hivi miaka 13kurudi nyuma ungeweza kupata kiwanja mwananyala na hicho kiwanja ni sh?
Sio ya urithi mkuu, kanunua nyumba mwananyamala Kwa pesa yake kabisa. Ipo pale koner ya hospital ukiwa unatokea kinondoni
 
Hakuna bodaboda Tanzania anaweza kuikataa kazi ya serikali bila kujali anakwenda kuajiriwa kwa nafasi gani.
Bodaboda ni kazi ya ma looser.
Hata mwandishi wa Uzi huu sio bodaboda, sema tu kafanya tathmini kwa story za kijiweni.
 
Upo sahihi kabisa mleta uzi amepooza kwenye ubongo wake,hao bodaboda kwanza wapo wengi mno ukipiga hatua 20 tu wapo kiufupi pikpiki ni nyingi mno kiasi kwamba mtu kupata elfu tatu ni kawaida kwasiku
Sio kweli, watu ni wengi kuliko bodaboda
 
Sio walimu tu.... wafanyakazi wengi wa serikali... hata mapolisi hawajiamini kudai haki zao. Wanakimbilia kula mlungula kwa raia
Hhhahaha ukweli mtupu sababu wametokea Familia masikini, wanategemewa na Familia zao
 
Hhhahaha ukweli mtupu sababu wametokea Familia masikini, wanategemewa na Familia zao
Mapolisi wanakamua raia

Walimu wakamua wanafunzi na wazazi

Madaktari/Manesi wanakamua wagonjwa


Yani kila mmoja anakula kwa urefu wa kamba yake
 
Back
Top Bottom