Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
- #281
Anyway asilimia tisini walisoma Kwa mkopo kada ya ualimu wengi wametokea Familia masikini hivyo wanategemea mkopo. Fanya vyovyote ila kama hadaiwi loan board basi take home ni laki Sita. Na huyo wa tgts d3 ni sayansi wa art ni tgts 1 pesa Yao take home ni ndogoAliyekwambia walimu wote wamesomeshwa na Loan Board au wana Makato ya benki ni nani
Sent using Jamii Forums mobile app