Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
- #261
Ficha ujinga wakoBajaj hela wanayo na akili pia na maendeleo na wengi wanafamilia ila sio boda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ficha ujinga wakoBajaj hela wanayo na akili pia na maendeleo na wengi wanafamilia ila sio boda
Sio kweli. Mbagala asilimia kubwa huko ndowamejengaTanzania hakuna bodaboda aliyejenga nyumba ya kisasa
Ila wapo wanao panga za angalau vyumba viwili akijitahid 3
Mwishooooooooo
Kifupi ni watu wa mageton
Kiswahili sijafundishwa na mwalimu mmNdo waliokufundisha mpaka leo umejua hata kuongea kiswahili
Sasa ndugu yangu aliyekuambia walimu wote waliokopa wana Maisha magumu Nani? Na pili bodaboda wote wanavipato vizuri Nani? Kila kitu kina risk factors wapo bodaboda waliouliwa kwa kazi hiyo, waliofungwa, waliopata ajali na wasitimize hayo unayosemaMbona mgumu kuelewa, madeni sio mazuri. Akikopa anakuwa fukara wa kutupwa mshahara chini ya moja ya Tatu unaishi maisha magumu kama shoe shine
Sio kweli abadaniOndoka mpanda njoo mpimbwe kuna mwalimu acc ana milion 700 na primary
Mambo kibao anafanya
D ni 4 yrsUmri wa kustafu huo
Mwenye kitengo cha chini analipwa sio chini ya million tanoKuwa na hela usalama itategemea kitengo ulichopo wapo wafagiaji mshahara wa kifagiaji wapo manes usalama mshahara wa kines
Wapo watendaji
Mshahara wa kitendaji
Ngoja nikuache na komwe lakoNdo mnavyodanganya mtaani
Usalama wana hela gani? Au title inawatisha mbona tupo nao wengi tu mtaani wanashinda wanalewa wanalia njaa kali? Au wanaigiza
Wew ni mwalimu au unaleta upumbavu tu hapa....Ficha ujinga wako tgts E ni laki saba na themanini
Kabisa mkuu sio million mbili. Million moja tu Kwa mwalimu shida ndio mana kwenye benki mshahara ukitoka tu nivurugu tupu hewa inakuwa nzito pananuka wamebanana na masulupwete Yao kama malofaMilion mbili kwako hela?
Kwenda zako wewe. Unajua mm namiliki million ngapiJichange acc zako zoooote afu nakuletea acc ya mwl mmoja tu tena ungana na wenzako watatu
Mpimane maendeleo utajiona wewe masikini shida hujajua
Usalama anayefanya kitengo gani analipwa zaidi ya Milion 5??Mwenye kitengo cha chini analipwa sio chini ya million tano
Afu bodaboda haili mafuta ndugu sio bus lileToa running cost kama mafuta na service
Mwalimu gn uyo mwenye uwezo wa kununua pikipikiMwalimu anaweza akanunua boda kila mwaka,kwa hiyo yeye ndio mwajiri wa hao boda boda.Mifano ninayo
Wakiacha mambo hayo uwezo wa kukata Bima kubwa wanaoHao madam na pombe unaweka pension wapi?ushawishi ni mkubwa sana wewe.
Ukitoa makato na loan board unabaki na laki tanoSiku nyingine ukianza Ubishii....uwe na akili
Hiyo ni basic ya mshahara wa mwalimu Sayansi ambaye hana hata mwaka kazini....Alafu hiyo ni TGTS D3, then unaanza kusema etii laki 9 ni umri wa kustaafu.....
View attachment 2411926
Sent using Jamii Forums mobile app
Aliyekwambia walimu wote wamesomeshwa na Loan Board au wana Makato ya benki ni naniUkitoa makato na loan board unabaki na laki tano
wateja wakubwa wa hao bodaboda ni walimu vip kuhusu walimu wenye boda boda zao wanaletewa pesa kwa kutwa huku wakidaka mishaara?Primary to sekondari
Km Yupo bodaboda aliyenizidi kipato aje inbox .....Ukikua utaacha ujinga ticha