Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa nimelisema hiloKiuhalisia bodaboda unaweza jiwekea pension na kujikatia bima ya afya.
Ni vile hawana muamko wa kufuatilia hayo mambo.
Wewe sindioMpaka uje kujigundua U mjinga,umri utakuwa umekutupa mkono sana
Hao madam na pombe unaweka pension wapi?ushawishi ni mkubwa sana wewe.Kiuhalisia bodaboda unaweza jiwekea pension na kujikatia bima ya afya.
Ni vile hawana muamko wa kufuatilia hayo mambo.
Ww ni maalim au mwalimu!?Ujinga ume wajaa
Mwalimu jicho nyanyaBodaboda anayekunja 50K hadi 60K kwa siku anapakia mawaziri au akina nani?
Tuache kuleta uongo wa kingese kiasi hiki hapa JF.
Kila sehemu kuna rundo la bodaboda inakuwaje hadi bodaboda mmoja apate average ya 60K kwa siku? Au anabeba wahamiaji haramu au mirungi au bangi?
Mleta mada umeamua kuja kujipa mashavu hapa JF!!?
Toa running cost kama mafuta na serviceAchana na hawa bodaboda wa vibarazani Kuna bodaboda wa bolt na uber hawa jamaa wanapata hela sana kwa siku kukunja elfu 40 ni kawaida
Jichange acc zako zoooote afu nakuletea acc ya mwl mmoja tu tena ungana na wenzako watatuLazima wewe utakua mwalimu unaandamwa na mikopo mbalimbali jumlisha bodi ya mikopo, nmb wachukue chao, salary laki na 30 kazi haina overtime, wala allowance yoyote hapo ndio utaona kivumbi na jasho
Milion mbili kwako hela?Tuseme ukweli either muongezewe mishahara na stahiki nyingine lakini mwalimu unachomshinda Bodaboda ni uwezo wa kukopa tena uwe unakopesheka sasa, mwalimu kumaliza mwaka ana balance ya milioni mbili huyo anatakiwa heshima
Ndo mnavyodanganya mtaaniMtoe usalama humo Hawa watu mishahara Yao wanalipwa Sawa na wakuu wa wilaya
Kuwa na hela usalama itategemea kitengo ulichopo wapo wafagiaji mshahara wa kifagiaji wapo manes usalama mshahara wa kinesMtoe usalama humo Hawa watu mishahara Yao wanalipwa Sawa na wakuu wa wilaya
Ondoka mpanda njoo mpimbwe kuna mwalimu acc ana milion 700 na primaryMwalimu pekee Tanzania niliewahi kumkuta na kumuona anaakili ni mchaga mmoja yuko mpanda huko, alipofika kule wenzake wanahangaika kuhama kule yeye akaanza kutafuta mashamba akawa anapanda miti ya mbao, alivonihadithia haraka sana akaanza kutafuta mashamba akawa analima mpunga, kila mwaka anaongeza ardhi, kiasi miaka ile nafika kule yule mchaga alikua miti hajaanza kuvuna lakini mpunga ana stock hadi gunia 700, huyo nilikaa chini kumsikiliza nikaona hakuna mchaga fala hasa akikuta kuna ardhi sehemu, yule kwa sasa nadhani atakua mbali sana,
Ndo waliokufundisha mpaka leo umejua hata kuongea kiswahiliBora huyu alijiongeza Hawa wengine akili Hawana
Tanzania hakuna bodaboda aliyejenga nyumba ya kisasahumu ndani kuna vilaza ...
Nyumba ya boss wa bodabodaView attachment 2411851
Weka na yako tuone kwanza maana unadharau bodaboda sana,
Bajaj hela wanayo na akili pia na maendeleo na wengi wanafamilia ila sio bodaBajaji mmewaweka pembeni
HahahaahKwa macho yangu nikiwa mwanafunzi nilishuhudia walimu wakizichapa ofisini sababu ya chai...
[emoji2959][emoji2959][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji28][emoji28][emoji2959][emoji2959][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mimi ni wakiume mkuu