Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
- #181
Ona mawazo yako nwwJapo ukipata mke mwalimu chukua oa haraka sana hua wanatunza familia vizuri walio wengi maana saikolojia inawasaidia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ona mawazo yako nwwJapo ukipata mke mwalimu chukua oa haraka sana hua wanatunza familia vizuri walio wengi maana saikolojia inawasaidia
Hhhahaha kweli kabisaHata uvaaji wao vyuoni utawajua tu, tofauti na course nyingine watoto wa BBA, Sheria wakipita unajua kabisa huyu sio mwalimu, na akipita ticha unajua kabisa huyu kweli ticha maana atakupigia bwanga moja lenye panga, na shati la kung’ang’aa na ndula moja kisigino kiko upande na saa yake ya buku tatu jero, hapo utawafaidi wakiwa ndio first year maana wakizoea mazingira wanachapa Kadet za mtumba
By the way mi sio mwalimu,Lazima wewe utakua mwalimu unaandamwa na mikopo mbalimbali jumlisha bodi ya mikopo, nmb wachukue chao, salary laki na 30 kazi haina overtime, wala allowance yoyote hapo ndio utaona kivumbi na jasho
🙏🙏🙏🙏Hamna akili ndio maana mnadharaulika na kila mtu. Mmekua hovyo sana humu jf
Kwani kanisa ni Mali ya Nani,Seminari ya kiislamu pale upanga ni ya kanisa au serikali?Seminari nizakanisa sio serikali
Mimi boda boda, huwa nafanya.. kwa siku sikosi kulaza 45k... na hapo sijafanya serious, maana huwa na harakati zingine
Mzee baba, una upeo finyu sana, ku dadavua mambo, na uelewa.. go back to school then atleast uwe na exposerPesa tamu ila haina maana kama hauna uhai mzee...kiufupi hauko serious..walimu wanamafao wanabima za afya kubwa na familia nzima izo hamsini hamsini za boda akiumwa malaria tu na vile hazalishi tayari amefukuzwa na mwenye nyumba...kiufupi ni takataka na nchi zinazojielewa huwezi kuacha vijana wanateseka hivi kitaa na hivi vikata miguu..ni bora wachangabye mitaji wakalime.
Mimi huwa nikiingia road, hiyo huwa nakunja mapema sana... Tena hapo ni kazi chache za ku delivery mizigo sehem..Bodaboda yoyote hiyo pesa anakunja mapema tu kabla ya saa Sita
humu ndani kuna vilaza ...1. Upuuzi wako huu hutarudia kuandika utakapoenda kitengo cha mifupa Muhimbili.
2. Nionyeshe nyumba ya kisasa yenye choo ndani na master bedroom iliyojengwa na bodaboda.
Hatimaye mwalimu mpwayungu village is back on 🔥Sio rahisi million 2 ya kununua bodaboda ticha atainyea wp
Tunapambana sio poa.. wengine tumeamua kuweka usomi pembeni, tunajichanganyaSafi sana pambana mkuu
Vipi wasiona vichwa vyao je hio 50k wanaipata in constant basisKuna bodaboda wana vichwa vyao vya asubuhi na jioni yani go and return. Unakuta anapoamka tu saa kumi na moja ana vichwa vyake kumi vya kila siku kuwapeleka na kuwarudisha kutoka kazini. Tufanye kila kichwa ni buku nne yani kwenda buku mbili kurudi buku mbili hapo sijapiga hesabu wa buku tano nawale wakudaka njiani na kijiweni
Inategemea na mazingira na wewe unavyo jiongeza, plus ubunifu.. mimi nina experience. Tatizo wengi mnao bisha, hamjawahi kufanya..boda boda kufika 50 n ngumu mnooo tofauti na hapo n dili za magendo
Nadhani ulimaanisha Exposure..na haipatikani shule tu mdogo angu, hata hapa ipo tatizo ni ugeni 👍Mzee baba, una upeo finyu sana, ku dadavua mambo, na uelewa.. go back to school then atleast uwe na exposer
Una akili ndogo sana.Kuna mjadala unawaka Moto kwenye jukwaa la MMU kuwa Kati ya mwalimu na bodaboda yupi yupo kwenye sehemu nzuri ya kipato na kuendesha maisha yake ya kila siku.
Iko hivi :bodaboda akitulia vizuri na akajenga uamini Kwa wateja Kwa siku hakosa elfu hamsini mpaka sitini ukipiga Kwa mwezi ni mara tano ya mshahara WA mwalimu anaelipwa laki nne au 5 Kwa mwezi. Hata hivyo bodaboda pesa Yao Ina-vary ila Hawa maticha ipo fixed mpaka miaka mitano au sita atakapopanda daraja [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].
Nafunga mjadara sasa. Mwalimu ni kada ya mwisho kwenye kipato hata muuza magazeti anampita