Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
- #201
Nilikutegeshea sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hatimaye mwalimu mpwayungu village is back on [emoji91]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilikutegeshea sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hatimaye mwalimu mpwayungu village is back on [emoji91]
Kabisa mkuu bora wafe tu [emoji23][emoji23][emoji23]Walimu ni tatizo nchi hii.
Hiyo yote walaumiwe ChademaKuna mjadala unawaka Moto kwenye jukwaa la MMU kuwa Kati ya mwalimu na bodaboda yupi yupo kwenye sehemu nzuri ya kipato na kuendesha maisha yake ya kila siku.
Iko hivi :bodaboda akitulia vizuri na akajenga uamini Kwa wateja Kwa siku hakosa elfu hamsini mpaka sitini ukipiga Kwa mwezi ni mara tano ya mshahara WA mwalimu anaelipwa laki nne au 5 Kwa mwezi. Hata hivyo bodaboda pesa Yao Ina-vary ila Hawa maticha ipo fixed mpaka miaka mitano au sita atakapopanda daraja [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].
Nafunga mjadara sasa. Mwalimu ni kada ya mwisho kwenye kipato hata muuza magazeti anampita
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]SureUalimu ni kazi ya laana
MifisiemuHiyo yote walaumiwe Chadema
HowUna akili ndogo sana.
Uwezo wako wa kufikiri mdogo sana
Waambie hawa walimu hawajielewiBoda boda, salange wa stand wale waita abiria, ni moja ya makundi yenye mzunguko mkubwa wa pesa kwa mwenye akili ukweli wameendelea mno, kuliko mtu anavoweza kufikiri, au wale wauza oil chafu na matairi chakavu wanakunja mtonyo wa maana tu, au wale wanaofanya delivery ya maziwa kwa magari hasa fresh na mtindi saa tatu asubuhi wanafunga hesabu, mambo mengi muda mchache , kazi sio hadi uajiriwe halafu ajira zimekua chache hizi challenge wengine ziwajenge na tukubali maoni ya wengine hata kama ni tofauti na yetu lakini wengine hutoa uzoefu kutokana na kuyaishi maisha ya utumishi wa umma na kuamua kuachana nayo, wengine waliachana na utumishi wa umma wakiwa wamefika level za wakuu wa idara na wanafanya mambo yao kwa sasa kimyakimya sii kila apingaye kitu ni mbugila tu hapo lazima tuelewe
Mdogo anguNioneshe bodaboda anayesomesha mtoto wake shule ya Ada mil 2 kwa mwaka
Nioneshe bodaboda anayetembelea Halphard
Nioneshe bodaboda aliyejenga Nyumba vyumba vitatu self jiko nyumba ya security ..choo cha public. Nk
.
Nioneshe bodaboda wa hivyo
Tunaangalia archivment na sio Earning
Unamaanisha nnUjinga ni kipaji.
Unaposema 'sehemu kubwa'utafit wako umejikita wap hasa...Alaf kitu unatakiwa kujua walim ndio wana pik pik na ndio sehem kubwa Hao boda boda upata ajira za mikataba huko
Sio mbili tu...ni 2.7Sio rahisi million 2 ya kununua bodaboda ticha atainyea wp
Kitu km hujui/huna experience nacho,nivema ukae kimyaaaaa itaficha ujinga ulonao.tulia usome comment tu ndugu...zitakusaidia kufungua ulimwengu usioujuaBodaboda anayekunja 50K hadi 60K kwa siku anapakia mawaziri au akina nani?
Tuache kuleta uongo wa kingese kiasi hiki hapa JF.
Kila sehemu kuna rundo la bodaboda inakuwaje hadi bodaboda mmoja apate average ya 60K kwa siku? Au anabeba wahamiaji haramu au mirungi au bangi?
Mleta mada umeamua kuja kujipa mashavu hapa JF!!?
Kumaanisha nn labda...Moderator ifike sehem nyuzi zingine zinajaza server @maxcence melo
Ukikua utaacha ujinga tichaSiku bodaboda akinizidi kipato nijiua katikati ya barabara kwa kujinyonga pale kwa mfugale...awe bodaboda wa dar au mtambaswala....
Nioneshe bodaboda anayesomesha mtoto wake shule ya Ada mil 2 kwa mwaka
Nioneshe bodaboda anayetembelea Halphard
Nioneshe bodaboda aliyejenga Nyumba vyumba vitatu self jiko nyumba ya security ..choo cha public. Nk
.
Nioneshe bodaboda wa hivyo
Tunaangalia archivment na sio Earning
Hao ni level nyingine kabisa mkuu achana naoBajaji mmewaweka pembeni
Kiuhalisia bodaboda unaweza jiwekea pension na kujikatia bima ya afya.Hizo kazi zote nishawahi kuzifanya.Sidhani kwamba kuna uhalisia.Nlikua napata pesa sana Ila katika mizunguko ni starehe ukiamini kesho utapata tena.Ila kiuhalisia Boda hana Job security,unakoswa kiswa na malori,jua na mvua ni vyako.Mwalimu ana uwezo wa kukopa Bank,ana bima ya afya nk.Boda hana bima ya afya.Msitake kuudanganya uma kwamba walimu wa kileo ndio wa kizamani.Walimu wana mshahara sema hawana fursa za kuiba kama wengine.Walimu wote wataenda Mbinguni