Ukweli ni kwamba bodaboda ana fursa na anamzidi kipato Mwalimu

Ukweli ni kwamba bodaboda ana fursa na anamzidi kipato Mwalimu

Kuna mjadala unawaka Moto kwenye jukwaa la MMU kuwa Kati ya mwalimu na bodaboda yupi yupo kwenye sehemu nzuri ya kipato na kuendesha maisha yake ya kila siku.

Iko hivi :bodaboda akitulia vizuri na akajenga uamini Kwa wateja Kwa siku hakosa elfu hamsini mpaka sitini ukipiga Kwa mwezi ni mara tano ya mshahara WA mwalimu anaelipwa laki nne au 5 Kwa mwezi. Hata hivyo bodaboda pesa Yao Ina-vary ila Hawa maticha ipo fixed mpaka miaka mitano au sita atakapopanda daraja [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].

Nafunga mjadara sasa. Mwalimu ni kada ya mwisho kwenye kipato hata muuza magazeti anampita
Hiyo yote walaumiwe Chadema
 
Boda boda, salange wa stand wale waita abiria, ni moja ya makundi yenye mzunguko mkubwa wa pesa kwa mwenye akili ukweli wameendelea mno, kuliko mtu anavoweza kufikiri, au wale wauza oil chafu na matairi chakavu wanakunja mtonyo wa maana tu, au wale wanaofanya delivery ya maziwa kwa magari hasa fresh na mtindi saa tatu asubuhi wanafunga hesabu, mambo mengi muda mchache , kazi sio hadi uajiriwe halafu ajira zimekua chache hizi challenge wengine ziwajenge na tukubali maoni ya wengine hata kama ni tofauti na yetu lakini wengine hutoa uzoefu kutokana na kuyaishi maisha ya utumishi wa umma na kuamua kuachana nayo, wengine waliachana na utumishi wa umma wakiwa wamefika level za wakuu wa idara na wanafanya mambo yao kwa sasa kimyakimya sii kila apingaye kitu ni mbugila tu hapo lazima tuelewe
Waambie hawa walimu hawajielewi
 
Nioneshe bodaboda anayesomesha mtoto wake shule ya Ada mil 2 kwa mwaka

Nioneshe bodaboda anayetembelea Halphard

Nioneshe bodaboda aliyejenga Nyumba vyumba vitatu self jiko nyumba ya security ..choo cha public. Nk

.





Nioneshe bodaboda wa hivyo
Tunaangalia archivment na sio Earning
Mdogo angu
 
Bodaboda anayekunja 50K hadi 60K kwa siku anapakia mawaziri au akina nani?
Tuache kuleta uongo wa kingese kiasi hiki hapa JF.
Kila sehemu kuna rundo la bodaboda inakuwaje hadi bodaboda mmoja apate average ya 60K kwa siku? Au anabeba wahamiaji haramu au mirungi au bangi?
Mleta mada umeamua kuja kujipa mashavu hapa JF!!?
Kitu km hujui/huna experience nacho,nivema ukae kimyaaaaa itaficha ujinga ulonao.tulia usome comment tu ndugu...zitakusaidia kufungua ulimwengu usioujua
 
Nioneshe bodaboda anayesomesha mtoto wake shule ya Ada mil 2 kwa mwaka

Nioneshe bodaboda anayetembelea Halphard

Nioneshe bodaboda aliyejenga Nyumba vyumba vitatu self jiko nyumba ya security ..choo cha public. Nk

.





Nioneshe bodaboda wa hivyo
Tunaangalia archivment na sio Earning

IMG_0802.jpg

Weka na yako tuone kwanza maana unadharau bodaboda sana,
 
Hizo kazi zote nishawahi kuzifanya.Sidhani kwamba kuna uhalisia.Nlikua napata pesa sana Ila katika mizunguko ni starehe ukiamini kesho utapata tena.Ila kiuhalisia Boda hana Job security,unakoswa kiswa na malori,jua na mvua ni vyako.Mwalimu ana uwezo wa kukopa Bank,ana bima ya afya nk.Boda hana bima ya afya.Msitake kuudanganya uma kwamba walimu wa kileo ndio wa kizamani.Walimu wana mshahara sema hawana fursa za kuiba kama wengine.Walimu wote wataenda Mbinguni
 
Hizo kazi zote nishawahi kuzifanya.Sidhani kwamba kuna uhalisia.Nlikua napata pesa sana Ila katika mizunguko ni starehe ukiamini kesho utapata tena.Ila kiuhalisia Boda hana Job security,unakoswa kiswa na malori,jua na mvua ni vyako.Mwalimu ana uwezo wa kukopa Bank,ana bima ya afya nk.Boda hana bima ya afya.Msitake kuudanganya uma kwamba walimu wa kileo ndio wa kizamani.Walimu wana mshahara sema hawana fursa za kuiba kama wengine.Walimu wote wataenda Mbinguni
Kiuhalisia bodaboda unaweza jiwekea pension na kujikatia bima ya afya.

Ni vile hawana muamko wa kufuatilia hayo mambo.
 
Back
Top Bottom