BUMIJA
JF-Expert Member
- Oct 19, 2011
- 5,950
- 11,295
Uzuri mmoja hulazimishwi kua mwalimuUalimu ni kazi ya laana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzuri mmoja hulazimishwi kua mwalimuUalimu ni kazi ya laana
FactKweli kabisa mtoa mada upo sahihi bodaboda anamzidi kipato mwalimu lakini bodaboda hamzidi maisha mwalimu
Hapo ndio ungalie kipi bora kipato Bora au maisha Bora
KWAKUA NI MJAADALA WA WATOTO WA CHUO MWAKA WA KWANZA NAISHIA HAPA UKIPATA EXPOSURE YA MAISHA NDIO UTAJUA KIPATO SI UTAJIRI
NDIOMjadala wa MMU unakuja kuufungia huku!
Nyie wazee acheni shobo. Waleleeni wajukuu huko.Ujinga ume wajaa
Mwalimu kwa kazi yake anakopesheka, hivyo akafanya biashara ikiwepo hiyo bodaboda.Kuna mjadala unawaka Moto kwenye jukwaa la MMU kuwa Kati ya mwalimu na bodaboda yupi yupo kwenye sehemu nzuri ya kipato na kuendesha maisha yake ya kila siku.
Iko hivi :bodaboda akitulia vizuri na akajenga uamini Kwa wateja Kwa siku hakosa elfu hamsini mpaka sitini ukipiga Kwa mwezi ni mara tano ya mshahara WA mwalimu anaelipwa laki nne au 5 Kwa mwezi. Hata hivyo bodaboda pesa Yao Ina-vary ila Hawa maticha ipo fixed mpaka miaka mitano au sita atakapopanda daraja [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].
Nafunga mjadara sasa. Mwalimu ni kada ya mwisho kwenye kipato hata muuza magazeti anampita
Mwenye TGTS E tu ni 990k basic take hom ni 820kWewe ni mbishi sana labda umri unachangia hao niliokutajia nimeziona salary slip zao
Sio rahisi million 2 ya kununua bodaboda ticha atainyea wp
Sioo inakimbilia TGTS F take home ni 940kHakuna unachojua. TGTs F yenyewe take home inakimbilia Laki 9
Umri wa kustafu huo
Bodaboda hufanya kazi Kwa mkataba wa mwaka mmoja (mara nyingi) baada ya hapo inakuwa yakwakeKwani bodaboda hiyo milioni mbili ametoa wapi? Wengi sio zao huwa wanaajiriwa kwa mkataba. Mwalimu kwa mshahara wake anakopesheka zaidi ya hiyo milioni mbili
Ficha ujinga wako tgts E ni laki saba na themanini
Akiingia kwenye mamikopo tu kwisha habari yakeMwalimu kwa kazi yake anakopesheka, hivyo akafanya biashara ikiwepo hiyo bodaboda.
Ee ndio tunakuambia mwalimu kwa kazi yake no rahisi kukopesheka na mabenki akawa na hiyo bodaboda hiii ndio point ya msingiBodaboda hufanya kazi Kwa mkataba wa mwaka mmoja (mara nyingi) baada ya hapo inakuwa yakwake
Kwani kipato sindopesa, manake maisha yake mazuriKweli kabisa mtoa mada upo sahihi bodaboda anamzidi kipato mwalimu lakini bodaboda hamzidi maisha mwalimu
Hapo ndio ungalie kipi bora kipato Bora au maisha Bora
KWAKUA NI MJAADALA WA WATOTO WA CHUO MWAKA WA KWANZA NAISHIA HAPA UKIPATA EXPOSURE YA MAISHA NDIO UTAJUA KIPATO SI UTAJIRI
Kuna watu wanalazimishwa kabisaUzuri mmoja hulazimishwi kua mwalimu
Khabisa ili iwaongezee mshahara walimu, wanaishi kama mambwaSerikali lazima iliangalie hili
Akiingia kwenye mamikopo tu kwisha habari yake
Mbona mgumu kuelewa, madeni sio mazuri. Akikopa anakuwa fukara wa kutupwa mshahara chini ya moja ya Tatu unaishi maisha magumu kama shoe shineEe ndio tunakuambia mwalimu kwa kazi yake no rahisi kukopesheka na mabenki akawa na hiyo bodaboda hiii ndio point ya msingi
Sijasema swala hiliKwani huyo bodaboda Nani ka kuambia Ana life insurance?