Unastaafu 2054, maana yake kwa sasa una miaka 29Siku nyingine ukianza Ubishii....uwe na akili
Hiyo ni basic ya mshahara wa mwalimu Sayansi ambaye hana hata mwaka kazini....Alafu hiyo ni TGTS D3, then unaanza kusema etii laki 9 ni umri wa kustaafu.....
View attachment 2411926
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoa mada uliwahi kuwa mwalimu? Maana wawajua sanaNdugu mbona unakuwa kama hazimo. Nani kakudanganya madaraja yanapanda tu kama mountaineer. Unapanda daraja baada ya miaka mitano. Mwalimu aliyeanza na tgts D1 baada ya miaka kumi anakuwa F nahapo kama atakizi sifa za kupandishwa daraja maana wengine wana makosa ya kinidhamu. Hata hivyo mbona unakimbilia degree tu kwani wa certificate in primary education sio walimu. Mwalimu wa certificate shule ya msingi anapewa laki Tatu na sabini take home. Sasa Kwa mshahara huu sibora niwe muokota makopo tu
Ndugu yangu Mwananyamala viwanja viliisha miaka ya 70-80. Ukimwona mtu ana nyumba huko ujue ni mzee au amenunua hivi karibuni .Sio kweli mm Mara ya kwanza dar nilipanga mwananyamala mmliki ni bodaboda
Mtoa mada ana bifu na walimu....Yawezekana lakini hebu ngoja....
Mwalimu anafanya kazi masaa 7 kwa siku tano kwa wiki.... Boda akifanya kazi kwa masaa hayo hapindui
Mwalimu ana likizo ya mwaka.... Boda akienda likizo kaumia
Mwalimu akiugua mshahara uko palepale.... Boda akiugua kaumia
Mwalimu akipata dharura bado mpunga unaingia.....
Na kikubwa zaidi, mwalimu anaweza kumiliki na kuendesha bodaboda akitaka lakini boda hawezi kuwa mwalimu
Haya nayo mkayatazame
Au nasema uongo ndugu zangu?
Naona unateseka sana[emoji3][emoji3]Ndugu mbona unakuwa kama hazimo. Nani kakudanganya madaraja yanapanda tu kama mountaineer. Unapanda daraja baada ya miaka mitano. Mwalimu aliyeanza na tgts D1 baada ya miaka kumi anakuwa F nahapo kama atakizi sifa za kupandishwa daraja maana wengine wana makosa ya kinidhamu. Hata hivyo mbona unakimbilia degree tu kwani wa certificate in primary education sio walimu. Mwalimu wa certificate shule ya msingi anapewa laki Tatu na sabini take home. Sasa Kwa mshahara huu sibora niwe muokota makopo tu
Ila bado 1.2m haitoshiTatizo mmekalilishwa ujinga!.. nikusanuae tu siku hizi tuna kopa B.O.T direct mtu unavuta Hadi 40M kulingana na scale yako!.. bachelor holder Kama hudaiwi na loan board unakunja 600K ukiwa unaa Anza sisi wakongwe tusha fika 1.2M na age inasoma 33,, wee endelea kukalili,,hao bodaa boda wanatutumikia sisi
Hujagundua hapo kadanganya?Nyumba ni ya ulithi, hivi miaka 13kurudi nyuma ungeweza kupata kiwanja mwananyala na hicho kiwanja ni sh?
Boda boda wamejazana kila sehemu, wanalogana hatari.Bodaboda karibu kila siku ninapanda. Na ninayajua maisha yao.
Bodaboda ni kazi ya mwisho Tanzania.
Haina chochote.
Ni kazi za ma looser.
Acha kusikiliza story za kijiweni.
Kuna kijiwe juzi niliwakuta wanapanga njama za kumfukuza bodaboda mwenzao eti kisa anawaibia kwa chuma uleteBoda boda wamejazana kila sehemu, wanalogana hatari.
Kuna mmoja alikuwa analalamika kuwa hapati abiria, ila wenzake wanabeba hadi mara 4 wenyewe hawajabeba hata 1
Wanalogana sanaKuna kijiwe juzi niliwakuta wanapanga njama za kumfukuza bodaboda mwenzao eti kisa anawaibia kwa chuma ulete
Hatari sanaWanalogana sana
Kuna niliposema kuwa bodaboda ni nyingi kuliko watu? Hivi umewahi kufanya biashara yoyote maishani mwako?Sio kweli, watu ni wengi kuliko bodaboda
Tangu lini milion 7 ikawa na sifuri 5?Hiyo ulikusudia kuandika laki 7 au milion 7 ?
Hao boda boda asilimia 69% wanaendesha bodaboda za waalimuKuna mjadala unawaka Moto kwenye jukwaa la MMU kuwa Kati ya mwalimu na bodaboda yupi yupo kwenye sehemu nzuri ya kipato na kuendesha maisha yake ya kila siku.
Iko hivi :bodaboda akitulia vizuri na akajenga uamini Kwa wateja Kwa siku hakosa elfu hamsini mpaka sitini ukipiga Kwa mwezi ni mara tano ya mshahara WA mwalimu anaelipwa laki nne au 5 Kwa mwezi. Hata hivyo bodaboda pesa Yao Ina-vary ila Hawa maticha ipo fixed mpaka miaka mitano au sita atakapopanda daraja [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].
Nafunga mjadara sasa. Mwalimu ni kada ya mwisho kwenye kipato hata muuza magazeti anampita
Bodaboda wapi hawa wanaoendesha pikipiki za waalimu kwa mikataba?Hawawez mzidi bodaboda hata iweje
Atakula trako shoboka tuMy genious mpwayungu village
Mbagara boda boda unapanda kwa 500 ni wengi kuliko abiriaMshakaa na boda boda mkawauliza? Mtafute bodaboda muulize kama hiyo 50elfu anapata kwa siku.
Zamani bodaboda walipiga pesa si siku hizi, mtaani vijana wanalalama.
Yaani awe ameshakula, ameweka mafuta, apeleke hesabu kwa bosi kisha abakiwe na 50 elfu [emoji23]
Siku hizi akitoa hesabu, mafuta, na kula yake kuipata 15 tu kazi.
Nina kama mdogo wangu ambae hapo awali alishaendesha pikipiki zangu kabla ya kuachana na hii biashara kichaa.
Sijui mapato ya walimu ila nawajua bodaboda kiasi chake.
Wanapata mikopoSio rahisi million 2 ya kununua bodaboda ticha atainyea wp
Mm ni mstaafu kwenye kada nyingine.Mwalimu jicho nyanya