Ukweli ni kwamba bodaboda ana fursa na anamzidi kipato Mwalimu

Ukweli ni kwamba bodaboda ana fursa na anamzidi kipato Mwalimu

Siku nyingine ukianza Ubishii....uwe na akili

Hiyo ni basic ya mshahara wa mwalimu Sayansi ambaye hana hata mwaka kazini....Alafu hiyo ni TGTS D3, then unaanza kusema etii laki 9 ni umri wa kustaafu.....

View attachment 2411926

Sent using Jamii Forums mobile app
Unastaafu 2054, maana yake kwa sasa una miaka 29
Kwa miaka hiyo 32 iliyobakia utaingiza jumla ya Tsh 400,000
Hongera
 
Ndugu mbona unakuwa kama hazimo. Nani kakudanganya madaraja yanapanda tu kama mountaineer. Unapanda daraja baada ya miaka mitano. Mwalimu aliyeanza na tgts D1 baada ya miaka kumi anakuwa F nahapo kama atakizi sifa za kupandishwa daraja maana wengine wana makosa ya kinidhamu. Hata hivyo mbona unakimbilia degree tu kwani wa certificate in primary education sio walimu. Mwalimu wa certificate shule ya msingi anapewa laki Tatu na sabini take home. Sasa Kwa mshahara huu sibora niwe muokota makopo tu
Mtoa mada uliwahi kuwa mwalimu? Maana wawajua sana
 
Sio kweli mm Mara ya kwanza dar nilipanga mwananyamala mmliki ni bodaboda
Ndugu yangu Mwananyamala viwanja viliisha miaka ya 70-80. Ukimwona mtu ana nyumba huko ujue ni mzee au amenunua hivi karibuni .
Na kununua kiwanja nyumba Mwananyamala kwasasa at least uwe na 40 million.
Sema huyo mtu alikuwa na pesa zake sasa maisha yamempiga kawa bodaboda. Au ni nyumba ya urithi.
Ikumbukwe kazi ya bodaboda imekuja miaka hii.
 
Yawezekana lakini hebu ngoja....

Mwalimu anafanya kazi masaa 7 kwa siku tano kwa wiki.... Boda akifanya kazi kwa masaa hayo hapindui

Mwalimu ana likizo ya mwaka.... Boda akienda likizo kaumia

Mwalimu akiugua mshahara uko palepale.... Boda akiugua kaumia

Mwalimu akipata dharura bado mpunga unaingia.....

Na kikubwa zaidi, mwalimu anaweza kumiliki na kuendesha bodaboda akitaka lakini boda hawezi kuwa mwalimu

Haya nayo mkayatazame

Au nasema uongo ndugu zangu?
Mtoa mada ana bifu na walimu....
Walimfanyaje sijui

Ila kwamba boda anatunza hadi 50K kwa siku hiyo ni uongo, ila yawezekana kwa wachache mno 1/1000
Sana sana wabeba magendo, wavusha wahamiaji haramu,
 
Ndugu mbona unakuwa kama hazimo. Nani kakudanganya madaraja yanapanda tu kama mountaineer. Unapanda daraja baada ya miaka mitano. Mwalimu aliyeanza na tgts D1 baada ya miaka kumi anakuwa F nahapo kama atakizi sifa za kupandishwa daraja maana wengine wana makosa ya kinidhamu. Hata hivyo mbona unakimbilia degree tu kwani wa certificate in primary education sio walimu. Mwalimu wa certificate shule ya msingi anapewa laki Tatu na sabini take home. Sasa Kwa mshahara huu sibora niwe muokota makopo tu
Naona unateseka sana[emoji3][emoji3]
 
Tatizo mmekalilishwa ujinga!.. nikusanuae tu siku hizi tuna kopa B.O.T direct mtu unavuta Hadi 40M kulingana na scale yako!.. bachelor holder Kama hudaiwi na loan board unakunja 600K ukiwa unaa Anza sisi wakongwe tusha fika 1.2M na age inasoma 33,, wee endelea kukalili,,hao bodaa boda wanatutumikia sisi
Ila bado 1.2m haitoshi
 
Bodaboda karibu kila siku ninapanda. Na ninayajua maisha yao.
Bodaboda ni kazi ya mwisho Tanzania.
Haina chochote.
Ni kazi za ma looser.
Acha kusikiliza story za kijiweni.
Boda boda wamejazana kila sehemu, wanalogana hatari.

Kuna mmoja alikuwa analalamika kuwa hapati abiria, ila wenzake wanabeba hadi mara 4 wenyewe hawajabeba hata 1
 
Boda boda wamejazana kila sehemu, wanalogana hatari.

Kuna mmoja alikuwa analalamika kuwa hapati abiria, ila wenzake wanabeba hadi mara 4 wenyewe hawajabeba hata 1
Kuna kijiwe juzi niliwakuta wanapanga njama za kumfukuza bodaboda mwenzao eti kisa anawaibia kwa chuma ulete
 
Kuna mjadala unawaka Moto kwenye jukwaa la MMU kuwa Kati ya mwalimu na bodaboda yupi yupo kwenye sehemu nzuri ya kipato na kuendesha maisha yake ya kila siku.

Iko hivi :bodaboda akitulia vizuri na akajenga uamini Kwa wateja Kwa siku hakosa elfu hamsini mpaka sitini ukipiga Kwa mwezi ni mara tano ya mshahara WA mwalimu anaelipwa laki nne au 5 Kwa mwezi. Hata hivyo bodaboda pesa Yao Ina-vary ila Hawa maticha ipo fixed mpaka miaka mitano au sita atakapopanda daraja [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].

Nafunga mjadara sasa. Mwalimu ni kada ya mwisho kwenye kipato hata muuza magazeti anampita
Hao boda boda asilimia 69% wanaendesha bodaboda za waalimu
 
Kuna anko mmoja alinunua boxa karibu miaka mitano sasa hivi, kila siku yeye hana hela za kufanya matengenezo ya chombo chake, ukimuuliza mbona boda boda wengine wamejenga na nyumba kwa kazi hii hii, anadai hayo ni meneno ya vijiweni, hela inayopatikana kwenye boda boda inaishia kwenye matumizi ya kila siku.
 
Mshakaa na boda boda mkawauliza? Mtafute bodaboda muulize kama hiyo 50elfu anapata kwa siku.

Zamani bodaboda walipiga pesa si siku hizi, mtaani vijana wanalalama.
Yaani awe ameshakula, ameweka mafuta, apeleke hesabu kwa bosi kisha abakiwe na 50 elfu [emoji23]

Siku hizi akitoa hesabu, mafuta, na kula yake kuipata 15 tu kazi.
Nina kama mdogo wangu ambae hapo awali alishaendesha pikipiki zangu kabla ya kuachana na hii biashara kichaa.
Sijui mapato ya walimu ila nawajua bodaboda kiasi chake.
Mbagara boda boda unapanda kwa 500 ni wengi kuliko abiria
 
Back
Top Bottom