Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
- #421
Namaanisha ukitoa kila kitu unabaki na elfu sitini bodaboda anapata hiyo pesaNazungumzia net take home 60K kwa siku.
Sio hiyo 60K uanze kutoa pesa ya mafuta nk.
Namaanisha faida ya 60K baada ya kutoa gharama zote za uendeshaji wa hiyo bodaboda.
Vijana mna kwama wapi kuelewa vitu vidogo kama hivi?