Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
-
- #421
Namaanisha ukitoa kila kitu unabaki na elfu sitini bodaboda anapata hiyo pesaNazungumzia net take home 60K kwa siku.
Sio hiyo 60K uanze kutoa pesa ya mafuta nk.
Namaanisha faida ya 60K baada ya kutoa gharama zote za uendeshaji wa hiyo bodaboda.
Vijana mna kwama wapi kuelewa vitu vidogo kama hivi?
Hhhahaha mkuu acha mbwembweNi kwa sababu hujui maana ya fedha. Ya boda haina sifa ya kuitwa fedha. Ina sifa ya kuitwa hela. Lakini mshahara unakuwa na sifa ya fedha, pesa na hela kulingana na nyakati.
Watu wengi mnapenda pesa ikiwa katika hali ya karatasi hii tunayoiona. Na ndicho watu wengi huhesabu. Lakini hatuhesabu(we do not account) the unseen value of money. We count and account cash.
Mshahara una thamani isiyoonekana.
Hilo ni moja.
La pili: Kwa mtu yeyote yule, la muhimu ni unagawanyaje kipato chako baada ya kupata. Issue kubwa sio kiasi ukichopata. Issue ni unatumiaje akili yako kuongoza ulichokipata. Hapo ndio kuna complex algebraic equations.
Ona walimu wanawaza madeni tu dah [emoji28][emoji28][emoji28]Hivi vichwa ndugu zangu tuvitumie kufikiri zaidi. Mwalimu ana uwezo wa kwenda bank kukopa pesa na kumiliki bodaboda tano ambazo zitamletea salio kila siku. Kwa maana nyingine anasimama kama meneja huku akiendelea na ajira yake. Unaanza kumlinganisha na mwendesha bodaboda?
Hapana kipato na ubora wa maisha ni vitu viwili tofauti na ndio maana tunashuhudia walimu wakimiliki nyumba nzuri, magari mazuri na wanasomesha watoto shule nzuri Kila siku na wakiugua wanatibiwa hospital nzuri na ndio kundi kubwa ambalo watoto zao ndio hawa bodaboda, mawakili, mameneja ofisi kubwa kubwa nkKwani kipato sindopesa, manake maisha yake mazuri
Mbona mgumu kuelewa, madeni sio mazuri. Akikopa anakuwa fukara wa kutupwa mshahara chini ya moja ya Tatu unaishi maisha magumu kama shoe shine
Punguza wivu walimu wataku**** mbea mwanao shauri yako wewe wachezee tuKabisa mkuu sio million mbili. Million moja tu Kwa mwalimu shida ndio mana kwenye benki mshahara ukitoka tu nivurugu tupu hewa inakuwa nzito pananuka wamebanana na masulupwete Yao kama malofa
Na huo ndio ukweli walimu wengi Ila sio wote tunaishi nao...wanamaisha ya chini Sana ... Yaani si kazi ya kulinga nayo...Mimi Sina Elimu kubwa likin sitamani kua mwalimu....Tuseme ukweli either muongezewe mishahara na stahiki nyingine lakini mwalimu unachomshinda Bodaboda ni uwezo wa kukopa tena uwe unakopesheka sasa, mwalimu kumaliza mwaka ana balance ya milioni mbili huyo anatakiwa heshima
Mjadala wa vijana wa mwaka wa kwanza chuo huu tena ajabu wananzisha mijadala uku waliowasomesha ni wajomba zao ambao ni walimu, mama yake na kalia nyumbani wajomba ni walimu wamemlea kafika chuo anaosma kozi tofauti na uwalimu anaanza dharau walimu wakati kula yake nk imesimaamiwa na mwalimuYawezekana lakini hebu ngoja....
Mwalimu anafanya kazi masaa 7 kwa siku tano kwa wiki.... Boda akifanya kazi kwa masaa hayo hapindui
Mwalimu ana likizo ya mwaka.... Boda akienda likizo kaumia
Mwalimu akiugua mshahara uko palepale.... Boda akiugua kaumia
Mwalimu akipata dharura bado mpunga unaingia.....
Na kikubwa zaidi, mwalimu anaweza kumiliki na kuendesha bodaboda akitaka lakini boda hawezi kuwa mwalimu
Haya nayo mkayatazame
Au nasema uongo ndugu zangu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mimi nilishuhudia mwalimu akiuza barafu.....nilikuuliza maswali mengi Sana hdi Leo sijawahi pata jibu Tena mwalimu wa secondary...Kwa macho yangu nikiwa mwanafunzi nilishuhudia walimu wakizichapa ofisini sababu ya chai...
Eheee kuosha gari full ni elfu 5 kwa hawa waosha magari local ila zile za kishua ni kuanzia shuka la mmasai(10k) mpaka shuka na foronya lake.(15k)wakati huo huo mwosha magari anaosha gari la engineer
Unaniuliza kwa kubahatisha?Na hiyo nyingine ni m6 au siyo ?
Kwahiyo bakhresa anaeuza ice cream za jero jero nae hali ni tete?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mimi nilishuhudia mwalimu akiuza barafu.....nilikuuliza maswali mengi Sana hdi Leo sijawahi pata jibu Tena mwalimu wa secondary...
Siku moja nilimfata na kumuuliza Alikua n mama flani wamakamo....
Hakunijibu kitu Zaid ya kusema we acha tu kijana
Walimu weng kinacho wa cost Ni kuish kwa kutegemea mishahara tu.
Unaongea kiwepesi sana unaijua 50000 wewe?Bodaboda kupata 50000 kwa siku inawezekana sana lakini kinachowaponza hawana nidhamu ya pesa kabisa. Bodaboda wengi ni vijana hawawazi kusave sababu anajua kesho atatafuta na atapata tena hivyo pesa yao inaishia kwenye pombe, kamari/madubwi ( hapa asilimia 80 ya hela inaishia), bangi na kuhonga wanawake.
Bodaboda hawana uchungu na hela kabisa yeye kumpeleka mwanamke bure asidai hata 100 ni kawaida badi hajalipia guest na kumlisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Maswali gani haya mwalimu?Unajua bodaboda inauzwa bei Gani?
Kama alivyo mumeo ni wa hovyoWalimu niwahovyo sana
Mbona wewe bado umeajiriwa na unalipwa chini ya pato la bodaboda net take home kwa mwezi 1.8 milioni kwa mwezi? (Endapo atapata 60K kila siku kama usemavyo hapa)Namaanisha ukitoa kila kitu unabaki na elfu sitini bodaboda anapata hiyo pesa
Acha Ujinga Basi umesahau kuwa hizo Bodaboda 80% Wamiliki ni Walimu ambao wanawapa Mkataba hiyo Ajira hao BodabodaKuna mjadala unawaka Moto kwenye jukwaa la MMU kuwa Kati ya mwalimu na bodaboda yupi yupo kwenye sehemu nzuri ya kipato na kuendesha maisha yake ya kila siku.
Iko hivi :bodaboda akitulia vizuri na akajenga uamini Kwa wateja Kwa siku hakosa elfu hamsini mpaka sitini ukipiga Kwa mwezi ni mara tano ya mshahara WA mwalimu anaelipwa laki nne au 5 Kwa mwezi. Hata hivyo bodaboda pesa Yao Ina-vary ila Hawa maticha ipo fixed mpaka miaka mitano au sita atakapopanda daraja [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].
Nafunga mjadara sasa. Mwalimu ni kada ya mwisho kwenye kipato hata muuza magazeti anampita
Walau bodaboda anawaza mamilioni ya mtaji aliyonayoOna walimu wanawaza madeni tu dah [emoji28][emoji28][emoji28]
Ndiyo, nijibu kwa uhakika.Unaniuliza kwa kubahatisha?
Hiyo 600k ukiwa na mke na mtoto ?Kwa Tanzania hapa salary ya kuanzia 600k unaishi vizuri na change ya 150-200k una sevu..
Hii Pesa boda sii rahisi kuipata tusidanganyane..