Ukweli ni kwamba bodaboda ana fursa na anamzidi kipato Mwalimu

Nazungumzia net take home 60K kwa siku.
Sio hiyo 60K uanze kutoa pesa ya mafuta nk.
Namaanisha faida ya 60K baada ya kutoa gharama zote za uendeshaji wa hiyo bodaboda.
Vijana mna kwama wapi kuelewa vitu vidogo kama hivi?
Namaanisha ukitoa kila kitu unabaki na elfu sitini bodaboda anapata hiyo pesa
 
Hhhahaha mkuu acha mbwembwe
 
Ona walimu wanawaza madeni tu dah [emoji28][emoji28][emoji28]
 
Kwani kipato sindopesa, manake maisha yake mazuri
Hapana kipato na ubora wa maisha ni vitu viwili tofauti na ndio maana tunashuhudia walimu wakimiliki nyumba nzuri, magari mazuri na wanasomesha watoto shule nzuri Kila siku na wakiugua wanatibiwa hospital nzuri na ndio kundi kubwa ambalo watoto zao ndio hawa bodaboda, mawakili, mameneja ofisi kubwa kubwa nk

Ila bodaboda tunashuhudia wakisifiwa tu humu Mitaandaoni ila 1.Wanaisha gheto
2. Asilimia 80% hawana familia
3. Ukienda MOI au bugando au KCMC wakidaiwa bill za matibabu hospital baada ya kupata ajari nakushindwa kulipa

4. Wanazaa ovyo ovyo na kutelekeza watoto

Angalia Sasa ubora upo wapi hapo kipato au jinsi unavyoishi
 
Mbona mgumu kuelewa, madeni sio mazuri. Akikopa anakuwa fukara wa kutupwa mshahara chini ya moja ya Tatu unaishi maisha magumu kama shoe shine

Kabisa mkuu sio million mbili. Million moja tu Kwa mwalimu shida ndio mana kwenye benki mshahara ukitoka tu nivurugu tupu hewa inakuwa nzito pananuka wamebanana na masulupwete Yao kama malofa
Punguza wivu walimu wataku**** mbea mwanao shauri yako wewe wachezee tu
 
Tuseme ukweli either muongezewe mishahara na stahiki nyingine lakini mwalimu unachomshinda Bodaboda ni uwezo wa kukopa tena uwe unakopesheka sasa, mwalimu kumaliza mwaka ana balance ya milioni mbili huyo anatakiwa heshima
Na huo ndio ukweli walimu wengi Ila sio wote tunaishi nao...wanamaisha ya chini Sana ... Yaani si kazi ya kulinga nayo...Mimi Sina Elimu kubwa likin sitamani kua mwalimu....

Sijajua tatizo Ni Nini Ila wengi wao amebweteka na mishahara ...
Hicho ndicho kinawa cost wlimu wengi.
 
Mjadala wa vijana wa mwaka wa kwanza chuo huu tena ajabu wananzisha mijadala uku waliowasomesha ni wajomba zao ambao ni walimu, mama yake na kalia nyumbani wajomba ni walimu wamemlea kafika chuo anaosma kozi tofauti na uwalimu anaanza dharau walimu wakati kula yake nk imesimaamiwa na mwalimu
 
Kwa macho yangu nikiwa mwanafunzi nilishuhudia walimu wakizichapa ofisini sababu ya chai...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mimi nilishuhudia mwalimu akiuza barafu.....nilikuuliza maswali mengi Sana hdi Leo sijawahi pata jibu Tena mwalimu wa secondary...

Siku moja nilimfata na kumuuliza Alikua n mama flani wamakamo....

Hakunijibu kitu Zaid ya kusema we acha tu kijana

Walimu weng kinacho wa cost Ni kuish kwa kutegemea mishahara tu.
 
Kwahiyo bakhresa anaeuza ice cream za jero jero nae hali ni tete?
 
Unaongea kiwepesi sana unaijua 50000 wewe?
 
Acha Ujinga Basi umesahau kuwa hizo Bodaboda 80% Wamiliki ni Walimu ambao wanawapa Mkataba hiyo Ajira hao Bodaboda
 
Ukiona biashara yoyote inafanywa na watu wengi bai jua biashara hiyo inaleta pesa na faida ya haraka.
Fact:Bodaboda ni kama biashara zingine za road.....yaani ukitoka tuu wewe ni helaa. Kama wale yangeyange.😊
Biashara hii ina hela na inalipa saana tatizo liko kwa wanaoifanya.
Wengi hawana elimu ya shule,hawana elimu ya maisha,hawajawahi kushika pesa hivyo hupagawa kushika pesa za ghafla.
Hawajawahi kumiliki mademu wakali (tatizo kubwa liko hapa),atapakia bure,chips atamnunulia na pesa atampa na lodge atalipia plus muda alopoteza palee aaarrrgghhh!!!!
Wengi wao ni washamba,hawajapitia vyuoni hivyo kuna bata hawajazila so wako kwenye mshangao wa bata.
Wana matumizi yasiyo na mpangilio coz anajua akiingia road tuu mkwanja huo.
Ni bodaboda wachache saana wanaojielewa na ndo wanao make things happen.
Nimeifanya hii biashara kwa kuendesha road mwenyewe. Wanawake ndio wateja wakubwa wa hii biashara na ndo wauaji wakubwa wa hii biashara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…