Tony Laurent
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 5,606
- 7,032
So what? Wote tuanze kuendesha bodaboda? Tuache kufundisha ili taifa lijae wajinga wakiwemo na watoto wenu siyo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatzo lenu walimu mpk mnadhalaurika ni unafki,chuki na usengenyaji na kinachotia hasira zaidi ni namna mnavotumika na wanasiasa ambao hata hawajali maslahi yenu..So what? Wote tuanze kuendesha bodaboda? Tuache kufundisha ili taifa lijae wajinga wakiwemo na watoto wenu siyo?
Hakuna mfano mwingine zaidi ya mwalimu? Vipi kama tukimuweka bank teller badala ya mwalimu?Kuna mjadala unawaka Moto kwenye jukwaa la MMU kuwa Kati ya mwalimu na bodaboda yupi yupo kwenye sehemu nzuri ya kipato na kuendesha maisha yake ya kila siku.
Iko hivi :bodaboda akitulia vizuri na akajenga uamini Kwa wateja Kwa siku hakosa elfu hamsini mpaka sitini ukipiga Kwa mwezi ni mara tano ya mshahara WA mwalimu anaelipwa laki nne au 5 Kwa mwezi. Hata hivyo bodaboda pesa Yao Ina-vary ila Hawa maticha ipo fixed mpaka miaka mitano au sita atakapopanda daraja [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].
Nafunga mjadara sasa. Mwalimu ni kada ya mwisho kwenye kipato hata muuza magazeti anampita
😡😡😡😡Tatzo lenu walimu mpk mnadhalaurika ni unafki,chuki na usengenyaji na kinachotia hasira zaidi ni namna mnavotumika na wanasiasa ambao hata hawajali maslahi yenu..
Badilikeni mheshimiwe
Ni bora usiandije usiyoyajua maana ni kama uliaminishwa na mjinga mmoja ujaamini. Mambo ya idarabya ya elimu hayako hivi na huna uelewa lolote. Nyie ndo mnaaminisha watu mtaani kwamba mwalimu analilipwa laki3 mara laki5.. endeleeni kukaa hivyo hivyo maana hata ukijua uhalisia wa idara ya elimu havikusaidii wewe maisha. Ungekuwa na kazi unapata mshahara usingekuwa na muda wa kuandika upuuzi.Ndugu mbona unakuwa kama hazimo. Nani kakudanganya madaraja yanapanda tu kama mountaineer. Unapanda daraja baada ya miaka mitano. Mwalimu aliyeanza na tgts D1 baada ya miaka kumi anakuwa F nahapo kama atakizi sifa za kupandishwa daraja maana wengine wana makosa ya kinidhamu. Hata hivyo mbona unakimbilia degree tu kwani wa certificate in primary education sio walimu. Mwalimu wa certificate shule ya msingi anapewa laki Tatu na sabini take home. Sasa Kwa mshahara huu sibora niwe muokota makopo tu
Nyumba vyumba 2 paa 1.Mkuu bodaboda siku hizi wamejanjaruka pia. Wanajenga
[emoji1787][emoji1787] una hasira na waalimu sio bure.Anakopaje kati pesa anazo. Sio kila mtu anapenda madeni, nyie walimu vipi nyie
Shida yako ni Moja tu kaka uujuajii.....Sio kweli abadani
Futa ujinga wako Nani kakwambia hizo E zinaenda hivyo, mwisho E3 bwege weweShida yako ni Moja tu kaka uujuajii.....
E1
E2
E3
E4
Zikoo mpaka 12
Ayaa niambie E2 analipwajeee
Sent using Jamii Forums mobile app
Sina hasira na vibwengo mm[emoji1787][emoji1787] una hasira na waalimu sio bure.
Ila ni nyumba Tyr kuliko ticha alopangaNyumba vyumba 2 paa 1.
Kaulize walimu wanaofundsha....Mavi yao
Hahhahahaa huna unalolijuaaa D inaendaa mpk 12Futa ujinga wako Nani kakwambia hizo E zinaenda hivyo, mwisho E3 bwege wewe
Hujui chochote Kaa kimyaNi bora usiandije usiyoyajua maana ni kama uliaminishwa na mjinga mmoja ujaamini. Mambo ya idarabya ya elimu hayako hivi na huna uelewa lolote. Nyie ndo mnaaminisha watu mtaani kwamba mwalimu analilipwa laki3 mara laki5.. endeleeni kukaa hivyo hivyo maana hata ukijua uhalisia wa idara ya elimu havikusaidii wewe maisha. Ungekuwa na kazi unapata mshahara usingekuwa na muda wa kuandika upuuzi.
Hao level nyingineHakuna mfano mwingine zaidi ya mwalimu? Vipi kama tukimuweka bank teller badala ya mwalimu?
Hhhahaha [emoji1787][emoji1787][emoji1787]SureTatzo lenu walimu mpk mnadhalaurika ni unafki,chuki na usengenyaji na kinachotia hasira zaidi ni namna mnavotumika na wanasiasa ambao hata hawajali maslahi yenu..
Badilikeni mheshimiwe
NdiooooSo what? Wote tuanze kuendesha bodaboda? Tuache kufundisha ili taifa lijae wajinga wakiwemo na watoto wenu siyo?
Better you have spokenKuna tofauti kubwa sn kati ya teacher, tutor na lecturer mkuu
Hhhahaha sentensi ya mwisho hiyo chukua soda Kwa mangi nitalipaAll in all me naona sehem yoyote ata kama unalipwa alfu tatu, ukijiongeza unaweza kupga pesa nyingi..
Kuna ticha mmoja anafundisha shule moja apa dar masomo ya physics na kemia anapigisha practical kwa madogo toka shule zingne kila somo 50k, ana centre yake ya tuition kakusanya madogo km 200+ na kila kichwa 20k per month .. inshort jamaa anapiga sn pesa sio kitoto so ni namna tu ya kujiongeza wazee
Ila hyo haifuti kwamba ualim ni kazi ya laana
Lecturer sio mwalimu ujue, majina yanabadilika Kwa statusMhhh! Walimu wa vyuo vikuu labda tena unazungumzia malecutrer PHd kabisa