Kimpyempye
JF-Expert Member
- Dec 11, 2018
- 723
- 1,157
Msipende kubisha kila kitu.Kama hujui kitu jamaa kaa kimya sio kubisha tu.Ngazi ya mshahara wa TGTS H na TGTS I ni ngazi ya vyuo vikuu hiyo?Sasa fuatilia ujue hizo ngazi mbili mshahara wake shilingi ngapi.Tena hiyo TGTS I imeizidi hata hiyo 2.5 mil yenu.Mhhh! Walimu wa vyuo vikuu labda tena unazungumzia malecutrer PHd kabisa