Ukweli ni kwamba bodaboda ana fursa na anamzidi kipato Mwalimu

Ukweli ni kwamba bodaboda ana fursa na anamzidi kipato Mwalimu

Yaani hata kama ni dharau kwa walimu, this is too much!! Mwalimu kumlinganisha na boda boda, siyo fair hata kidogo.

Maana wapo walimu kibao tu wamewapa hao boda boda, pikipiki za mikataba! Halafu unakuja kuwalinganisha!! Eti kisa tu salary slip zao zina madeni!
Nadhani Leo wamekujibu Tate Mkuu
 
Kuna mjadala unawaka Moto kwenye jukwaa la MMU kuwa Kati ya mwalimu na bodaboda yupi yupo kwenye sehemu nzuri ya kipato na kuendesha maisha yake ya kila siku.

Iko hivi :bodaboda akitulia vizuri na akajenga uamini Kwa wateja Kwa siku hakosa elfu hamsini mpaka sitini ukipiga Kwa mwezi ni mara tano ya mshahara WA mwalimu anaelipwa laki nne au 5 Kwa mwezi. Hata hivyo bodaboda pesa Yao Ina-vary ila Hawa maticha ipo fixed mpaka miaka mitano au sita atakapopanda daraja [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].

Nafunga mjadara sasa. Mwalimu ni kada ya mwisho kwenye kipato hata muuza magazeti anampita
hizo banghe zako za kuvutia chooni utaacha lini
 
Kuna mjadala unawaka Moto kwenye jukwaa la MMU kuwa Kati ya mwalimu na bodaboda yupi yupo kwenye sehemu nzuri ya kipato na kuendesha maisha yake ya kila siku.

Iko hivi :bodaboda akitulia vizuri na akajenga uamini Kwa wateja Kwa siku hakosa elfu hamsini mpaka sitini ukipiga Kwa mwezi ni mara tano ya mshahara WA mwalimu anaelipwa laki nne au 5 Kwa mwezi. Hata hivyo bodaboda pesa Yao Ina-vary ila Hawa maticha ipo fixed mpaka miaka mitano au sita atakapopanda daraja [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].

Nafunga mjadara sasa. Mwalimu ni kada ya mwisho kwenye kipato hata muuza magazeti anampita
It seems ulizaliwa na mimba ya bodaboda, ni vile mshua wako kipa katoka haelewi...
 
Hivi mnacho shindwa kujua kuwa walimu wengi Sana no maboss WA Hao boda boda.

Alaf kina vitu vya kuangalia pia walimu kipato Chao ni constant Ana uhakika WA kupata iyo pesa hata kama mvua itapiga mwez nzima non stop, boda hapa anasanda,

Walimu wanayo fulsa ya kufanya mambo mengine mengi tuu kama wakiamua kama vile

Ufugaji
Bishara
Na hata boda boda walimu anaweza kufanya Lakin boda boda kamwe hato weza kuwa mwalimu [emoji23]

Mwalimu Ana uhakika WA kutibiwa Ata mwez nzima kitandan akiwa na Bima yake mshahara uhakika utaingia boda hapa mke wake ndio atanza kugongwa na mangi ili apate sukari akoroge uji apeleke kwa mumewe alie lala hata uhakika WA matibabu hakuna

Pia hatali kazin boda yupo hatarini Zaid kuumia Ata kupata ulemavu WA maisha kuliko mwalimu..

Mimi sio mwalimu ila msijaribu kushusha hadhi ya mwalimu kulinganisha Hawa boda wasiio jua hata sheria za barabarami [emoji23][emoji849]
 
Mama ake mtoa mada aliliwa na ticha mstaafu akavunja ndoa ya mama mtoa mada na baba mtoa mada ,[emoji1][emoji1][emoji1]mtoa mada akawachukia walimu woooote
 
Back
Top Bottom