balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Hakuna ibada hapoPasipo kuathiri wengine, ningeshauri kuliko kuwadhihaki hao wafanya Ibada ni vyema sasa Vyombo vyetu vya usafiri vikatenga eneo maalumu la kufanyia Ibada kama ambavyo wameweka vyoo(maliwato) Kwa baadhi ya Mabasi.
Ndugu zanguni, suala la kuifikia pepo linahitaji kujitoa hasa na kuwa na commitment maana sio wote wanaokumbuka kufanya Ibada.
Kwanini Mkuu, unataka kusema jamaa anaigiza kama Mafarisayo wa Enzi za Yesu?Hakuna ibada hapo
Basi wakati mwingine ni wao wenyewe wana shidamkuu airport ya Viena ndege ilipozuiliwa na mtu kwa ajili ya sala au swala ina vimba zaidi ya 30 vya ibada na kumbi 3 kubwa za kuhifadhi zaidi ya watu 400 kila ukumbi.
fact,....Hujasema na wale walokole àmbao huchukua maspika na kuyaweka Barabara, vituo vya Daladala na mabasi, kwèñye mikusanyiko ya Watu na kuanza Kúpiga kelele wakidai wanahubiri neno la mungu.
Huoni kama hao nao wanasumbua Watu na kutafuta attention kilazima?
Nafikiri hiyo siô shida ya Dini Fulani Bali shida ya Watu aina Fulani ambao wàpo kwèñye Dini zilizopo
May all souls find enlightnment,
Kamwe hauwezi kuwatenganisha hawa ndugu zetu na :
- Ujuaji
- Uchonganishi
- Chuki
- Unafiki
- Kupenda upendeleo
Unaweza kuwaita "proffessional prevelege seekers"
View attachment 3088385
Kuna mmoja mwezi wa February 2024 alizuia ndege isiruke Viena kwa kua muda wake wa kufanya sala umefika akaenda mbele ya ndege (kwenye gurudumu la mbele la ndege) akaweka mkeka akaanza kusali imagine !! 😀
Kipindi cha Magu pale UDOM jamaa walianzisha mgomo wakitaka msikiti ujengwe na wakatoa MASHARTI Kua
1. Msikiti ujengwe katikati ya chuo, na
2. liwe ndio jengo kubwa kuliko majengo YOTE, na
3. wakatoa muda lijengwe ndani ya miezi mitatu tu vinginevyo watachoma moto chuo kizima
na
4. Yeyote atakae pingana au kuzuia jambo hilo kichwa chake ni halali yao.
Aise ndio nilijua JPM alikua jiwe, zilisha defenda pale haijapata tokea ilishuhudiwa kanzu zikitoka mbio Usen Bolt akasome. Yani ndio nikagundua kumbe tunao wakimbia riadha na hatuwatumii kushinda medani za
ExactlyKwanini Mkuu, unataka kusema jamaa anaigiza kama Mafarisayo wa Enzi za Yesu?
Anatoa sadaka hadi majirani zake wajue kwamba jamaa ametoa sadaka
Tuwaache wafanye Ibada, natumai kupitia Ibada zao hata kama ulipanga ukafanye dhambi utajikuta automatic unahairisha kutenda dhambiExactly
Sala sio maonyesho