Wewe itakuwa CCM tena wale wanaojifanya bila wao.. mambo hayaendi.... Akija mtumishi yeyote wa serikali mnajifanya kumwambia eti "tusikilize sisi utakaa sana hapa" mkibanwa kwenye mbavu mnaanza kutafuta huruma kwenye mitandao ya kijamii... Fanyeni Kazi bana... Achane hizo bana mtawarithisha watoto wenu domo au?
NB: huko china au japani, wanawafundisha watoto wao kilimo, ujenzi, nidhamu, kupenda Kazi na ubunifu... Nyie mmekaza na umbea tu...
Nimeandika hii baada ya kusoma huo umbea wako... Maana imeniuma sana kwakuwa naelewa kinacho endelea....