Ukweli ni kwamba sina hisia naye na wala sio aina ya mwanamke nimpendae kimuonekano lakini...

Au dada kaweka vipipi jamani?mbona ujanja wake hauendani na bikra hebu wanakamati njooni tudiscuss hili Ms eyes Missy Gf ,kwema?au vipipi kazini?😂😂😂
 
Anaacha kucheza na antena ikamate mawimbi kakazana na remote kuongeza sauti mfyuuuu!! 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣 sasa kama kuna mvua kubwa, antena itakamataje mawimbi?
 
Au dada kaweka vipipi jamani?mbona ujanja wake hauendani na bikra hebu wanakamati njooni tudiscuss hili Ms eyes Missy Gf ,kwema?au vipipi kazini?😂😂😂
Naona kabisa hiyo sio kazi ya vipipi 🤣🤣🤣🤣.

Hiyo bikra ni fake, kuna sehemu niliona wanatangaza biashara ya vidonge vya bikra. Hivyo vidonge ni vyekundu wakawa wanatoa maelezo kuwa unatakiwa uweke nusu saa kabla ya kwenda kuonana na mwenza wako, hivyo akiingiza tu lolo vidonge vinapasuka na kutoa hiyo damu.
 
Ukimuona mwanaume anafuata hisia huyo siyo mwanaume halisi uanaume wake unamuskeli
 
Werawera ni mwendo wa kuuza mbuzi kwenye kiroba tu maana tushatukanwa sana mashangazi,siku hizi tunaanza kujifanya vigori🤣🤣🤣🤣hebu tuma number PM chap nikamconvince shemeji yako Leo usiku
 
Werawera ni mwendo wa kuuza mbuzi kwenye kiroba tu maana tushatukanwa sana mashangazi,siku hizi tunaanza kujifanya vigori🤣🤣🤣🤣hebu tuma number PM chap nikamconvince shemeji yako Leo usiku
Hilo limeisha kabisa🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…