Ukweli ni kwamba wapalestina hata wakiuwawa na waisrael pale sio kwao warudi walikotoka

Hivi asili ya wapelestina ni wapi,mana Mimi nasikia tu story inayohusu hao Waisrael lakini story inayohusu wapelestina siikii, naomba mnisaidie hapo
 
Sasa jibu kwa kutumia historia ya mashariki ya kati. Kila sehemu ina historia yake, mfano wanyakyusa wana historia yao.
 
Hahahhhaaaaa
 
Katika mizunguko yangu nilipita Aman Jordan, katika kutafuta sehemu ya kula nilielekezwa juu (gorofani) nikapanda na kula msosi wangu.
Baada ya hapo nikawa nazunguka zunguka mjini na kuona biashara zingine zikiwa juu

Ikabidi nimuulize mzawa, kulikoni biashara zingine zipo juu?

Akaniambia hivi, baada ya Palestine kuuza ardhi yao kwa waisrael sisi serikali yetu ikaleta mkakati kuwa ni marufuku kumuuzia au kumkodishia ardhi wa kuja.

Kwa hiyo ukiona biashara zote za chini n
(Ardhini) ni wazawa na juu tunawapangishia foreigners ili wasije wakadai kama jews

Sasa jiulize haya maswali

Kutembea raha sana
 
Hivi asili ya wapelestina ni wapi,mana Mimi nasikia tu story inayohusu hao Waisrael lakini story inayohusu wapelestina siikii, naomba mnisaidie hapo
Wafilisti ndio walianzisha eneo wakaliita palestina
Wa sasa hivi ni waarabu tu wasiostahili kuitwa wapalestina
Na wafilisti hawakuwa na eneo linaitwa Jerusalem sasa hawa waarabu wa kiislamu wanaodai Jerusalem ni yao wanajitafutia ubaya tu
 
We kichaa kweli ulishasikia Israel ana shida na Jordan [emoji1137]
Shida ni hivi viarabu vya kiislamu vinadai Jerusalem ni yao
Kwa hapa watapata tabu sana
 
We kichaa kweli ulishasikia Israel ana shida na Jordan [emoji1137]
Shida ni hivi viarabu vya kiislamu vinadai Jerusalem ni yao
Kwa hapa watapata tabu sana
Kuna sehemu nimekuita kichaa
 
Wewe unaeandika utumbo na kuwapenda utafikiri unawajua kiundani
Tembea dogo uione dunia sio kunukuu
Unajua falasha yaliyowapata
Mimi nimefika huko kote na kuona mengi wewe endelea kusoma tu
Maneno yako hayo yamekufanya uonekane kichaa
 
Miongoni mwa Wapalestina wapo wana wa ukweli wa Israel isipokuwa tu walikuwa arabised na christinized na falme zilizofuata!. Viongozi wa Israel wanalijua hili toka kale, na Ben-Gurion kabla hajawa Kiongozi wa Taifa la Israel aliliandika sana hili.
Mathalani baada ya Ben Gurion kuwa kiongozi mkuu wa Taifa la israel aliendesha Operesheni ya Kuwafundisha Uyahudi Mabedouin wa kiarabu huko Katika Majangwa Ya Israel "akitaka warudi katika asili yao", Lakini Mabdouin walimkatalia na hivyo operesheni kusitishwa.
 
Una maswali kuntu sana.Yaani ngumi jiwe.Ili wajinga wajinga wasizoee kuvamia jukwaa hili la watu wenye IQ ya juu
 
Kwa utafiti wangu tu nimegundua wakanaan hawapo tena
Wafilisti hawapo tena
Waliopo pale ni waarabu wa kiislamu waliovamia tu
Warudi kwao wawaachie wayahudi eneo lao
Mkuu hivi waarabu na wapalestina Ni watu tofauti?
 
jiulize na asili yako wewe wapi
 
hakuna mtu ambae asili yake ni pale alipo otherwise ww uwe mlima au jabali
 
Unazungumzia biblia hii yenye vitabu kama series ya jumong na kufanyiwa marekebosho kutokana na dunia inavyokwenda au? tuanzie hapo.
hivi biblia imekosa heshima kwa watu kwa kiwango hiki...!? isee
 
Wafilisti ndio walianzisha eneo wakaliita palestina
Wa sasa hivi ni waarabu tu wasiostahili kuitwa wapalestina
Na wafilisti hawakuwa na eneo linaitwa Jerusalem sasa hawa waarabu wa kiislamu wanaodai Jerusalem ni yao wanajitafutia ubaya tu
umeongea kishabiki sana,maneno matupu huna hata reference ya hayo uliyoropoka umeamua tu kusema"wafilisti" mara "wapalestina" mara "waarabu" umependa tu kusema hivyo ila huna reference umetoa wapi huo ujinga wako umerefer nini?!
 
Kingine labda usichokifahamu ugomvi wa Wayahudi na Wapalestina wewe kama mtu mweusi haukuhusu kwa maana hauelewi na kwanza wote wawili Wayahudi na Wapalestina hawakupendi na wanakuona nyani tu!
Duu hii kali!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…