hatariWafilisti walikuwa kabila la watu wa Ulaya ambao walivuka Bahari ya Kati na kisha kushindwa kuvamia Misri waliteka pwani ya Kanaani (1175 KK hivi) wakifaidika na silaha za chuma walizozitumia dhidi ya watu waliokuwa na zile za shaba tu, wakiwa wenyeji au Waisraeli.
Ingawa hawakuwa wengi, waliathiri sana nchi yao mpya, kiasi cha kuiachia jina la Palestina.
Habari nyingi juu yao zinapatikana katika Biblia.
Hata mimi nabariki kwasababu ni haki yao na ni urithi wao na ni ardhi yao na wanacho kitaka ni mipaka yao halali waliyopewa na MUNGU wao ambae ni MUNGU wako pia, na hawataacha wapelestina watakapo achia aridhi yao waliyopewa urithi, na ukae ukiamini kwamba anguko la palestina limekalibia.Kitu kinachonishangaza sana na kuniuma ni pale napoona kundi kubwa la watu duniani wakibariki kwa vimistari vya Bibilia yanayotendwa na Wayahudi ndani ya ardhi ya wapalestina.
Pole Sana ni wewe tu na wa...pm. . Bafu wenzako ndo mnaamini hivyo....pum.bafu wewe-sorry to say that.
...hivi umewafikiri kuwa watu wanaoamini hiyo biblia ni just chini ya 1/3...acha upoyoyo
... Uislam na ukristo ni ukoloni wa akili
Tafuta historia ya eneo lile kabla hawajaingia Wayahudi pale huenda ndio kitu kinakufanya uongee tu pasi na uelewaTumia akiri kidogo brother tambua wanagombania ardhi ya halali kwao yani urithi wao waliopewa na MUNGU.
Hivyo hawawezi kuja Tanzania kwasababu hawakupewa kuimiliki.
Hatutafuti history ya nyuma tunachoangalia ni pale Ibrahim alipopewa ardhi Hiyo kuwa urithi wake huko mwanzo inawezekana kabisa ilikua yao lakini MUNGU wa Ibrahim alimpa Ibrahim tena kwa agano dhabiti lisilo wezwa kuvunjwa, Hivyo ndugu zenu wapelestina wanajisumbua tu.Tafuta historia ya eneo lile kabla hawajaingia Wayahudi pale huenda ndio kitu kinakufanya uongee tu pasi na uelewa
Hivi unajua hata upo jukwaa gani kabla sijahitaji majibu zaidi kutoka kwako?Hatutafuti history ya nyuma tunachoangalia ni pale Ibrahim alipopewa ardhi Hiyo kuwa urithi wake huko mwanzo inawezekana kabisa ilikua yao lakini MUNGU wa Ibrahim alimpa Ibrahim tena kwa agano dhabiti lisilo wezwa kuvunjwa, Hivyo ndugu zenu wapelestina wanajisumbua tu.
Wafilisti walikuwa kabila la watu wa Ulaya ambao walivuka Bahari ya Kati na kisha kushindwa kuvamia Misri waliteka pwani ya Kanaani (1175 KK hivi) wakifaidika na silaha za chuma walizozitumia dhidi ya watu waliokuwa na zile za shaba tu, wakiwa wenyeji au Waisraeli.
Ingawa hawakuwa wengi, waliathiri sana nchi yao mpya, kiasi cha kuiachia jina la Palestina.
Habari nyingi juu yao zinapatikana katika Biblia.
Hakuna shida mkuu labda makosa yangu mbele za Mungu yamekuwa makubwa anataka nisiwepo kabisaJibu lako linazidi kuibua maswali zaidi mkuu!
Kwa kifupi tu hivi leo hii au kesho ikitokea Wayahudi wakaja hapa Tanzania wakiwa na ndege za kijeshi, vifaru, bunduki na kila aina ya silaha wakaanza kutushambulia kila kona wakisema, "JEHOVAH/MUNGU KATUPA NCHI YA TANZANIA TUITAWALE NA KUIMILIKI!" utawaelewa na kuwasaport kwa kuwa Mungu wao ndio amewapa Tanzania?
Kumbuka Mungu wao pia wakati ule aliwaamuru waue kila mtu watakaemkuta mule kanaan kuanzia watoto, wazee, kinamama, vijana, kukatakata na maashera yao na kuua mpaka na wanyama wafugwao! Sasa chukulia ndio tupewe taarifa leo kuwa asubuhi ya kesho tuwe tumeondoka nchini mwetu laa sivyo tutauawa wote na Wayahudi kwa kuwa Mungu amewapa nchi hii.
Nakuuliza tena! Utakuwa tayari kwa jambo hilo kwa kuwa Mungu ndio kasema?
Je, kwaweza kuwa na Mungu mpumbavu namna hii?
Mungu muweza wa yote, mwenye upendo, mjuzi wa yote, aliyeko kila mahali aweza kuyatenda hayo?
Unajua binadamu mwenye akili timamu akiyaamini haya, basi kuna haja hizi dini zipigwe marufuku maana zinadumaza akili za watoto wetu.
Kwa utafiti wangu tu nimegundua wakanaan hawapo tenaMimi ni Mkristu lakini Sikubaliani Kabisa na WaIsraeli Wanachowafanyia WaPalestina..
Wanaoishi pale sio wapalestina halisi ni waarabu tu wa kiislamu ambao pia sio kwao wanatakiwa kuondoka au wafate masharti ya waisraelwewe unatia huruma... Umekengeuka kwa kutetea mauaji, umefilisika kwa kuwa mtumwa
Si ajabu hata historia yako huijui kwani its most likely unapoishi sasa sio asili yako
Hakuna kitu kibaya kama kuwa maamuma in the name of religion
Sasa kama majibu yako ndo haya, huu uzi wako ungeupeleka jukwaa la diniHakuna shida mkuu labda makosa yangu mbele za Mungu yamekuwa makubwa anataka nisiwepo kabisa
Asante mkuuTumia akiri kidogo brother tambua wanagombania ardhi ya halali kwao yani urithi wao waliopewa na MUNGU.
Hivyo hawawezi kuja Tanzania kwasababu hawakupewa kuimiliki.
Sio Biblia tu hata Quran inasema ardhi ni ya waisrael waliyopewa na Mungu...pum.bafu wewe-sorry to say that.
...hivi umewafikiri kuwa watu wanaoamini hiyo biblia ni just chini ya 1/3...acha upoyoyo
... Uislam na ukristo ni ukoloni wa akili
Ok, tuishie hapa maana nimeshajua wewe ni mtu wa namna ganiWapalestina hawana ardhi pale walivamia sio kwao kabisa
Fuatilia historia mkuuWapalestina so ndo walimpokea Abraham kutoka mesopotamia?.nani has a anatakiwa kurudi kwao,maana Gaza ilikuwepo pale Abraham akiwa bado kwao iraq
Kama wanaamini ni kwao hakuna shida mkuu fresh tu wachaga inabidi wapisheKwa hiyo leo hii Wamasai wakianza kuuwa Wachaga kwamba waondoke Kilimanjaro warudi kwao Kongo ni sawa?
Isitoshe Ukristo au Uislamu wote umeanzia Mashariki ya Kati na wala hauna uhusiano na Ulaya!
Kingine labda usichokifahamu ugomvi wa Wayahudi na Wapalestina wewe kama mtu mweusj haukuhusu kwa maana hauelewi na kwanza wote wawili Wayahudu na Wapalestina hawakupendi na wanakuona nyani tu!