Watu Wengi WA mkoan sio kwamba wanaviwanja hapana ,wanakaa Kwao ,uwanja wa nyumbani kapewa kidogo na baba au Bibi au Babu ,acha kusema wanaviwanja ,Mara nyingi wanakuwa hawana hata mamraka navyo wanapewa wajenge waoe hapo hapo ...
Watu Wengi WA mkoani Ni masikini WA kutupwa ,Kwanza wanalima na jembe la mkono ,Hakuna kilimo cha kisasa ,wala mbegu Bora ,Ni wachache Sana wanaolima hata hekari 5 Kwa mwaka ....
Wengi ukichukua mazao waliyolima ( mahindi ,maharage ,viazi ,mihogo ,mbaazi n.k ) hata wakiuza wanaishia kupata Laki 9 ,imagine MTU analima mwaka mzima kutafuta Laki 8 ,,,na hapo Ni calculation za juu wengi wanapata Laki 5 ,then wanarudi shamban Tena kupanda ,jembe la mkono sio mchezo wewe ....
Watu Wengi WA vijijin kilimo Chao Ni small scale ,pesa wanazopata Ni za kuolea ,Kula na kusomesha watoto ,akipata Kingi Ni kuoa mke WA Pili ,hawana exposer na biashara kabisa ,ndio maana hata wakienda sokoni bei iko chini wanauza hivo hivo ....
Wengi mashamba yao Ni ya kupewa na familia ,hivyo basi unakuta hayazidi hata ekari 3 ,....
N.b katika vijiji 5 utakuta watu 4 tu ndio wanauwezo WA kulima Kwa trekita na kilimo cha kisasa ,na MTU Huyo anakuwa kashakaa kwenye kilimo Kwa muda mrefu kanufaika kashajitanua kibiashara ...wengine Ni kilimo local tu hata Laki 4 kuipata Ni miujiza ....kama unabisha nenda kijijini kipindi cha kupanda uone walivo na Hali mbaya ,