max as well
Senior Member
- Sep 10, 2023
- 141
- 315
Moja ya seemu ambayo siwezi kuishi ni DSM, kutoboa ni pagumu sana,kuish dar panagarama sana,
Kodi ya nyumba,nauli Kila siku,usipopiga hesabu vizuri utaish maisha ya kupanga ad kufa,
Dar utavaa vizur,Bata nying,totoz,ila kutoboa hiiii bagosha
Kodi ya nyumba,nauli Kila siku,usipopiga hesabu vizuri utaish maisha ya kupanga ad kufa,
Dar utavaa vizur,Bata nying,totoz,ila kutoboa hiiii bagosha