max as well
Senior Member
- Sep 10, 2023
- 141
- 315
Wapi huko ndizi moja 300 hujui kuna masoko hapo kuna bidhaa ni bei rahisi kuliko mikoaniNdizi moja Dar inauzwa 300 wakati huko vijijini unapata sita au tatu.
Means kwa matumizi ya Dar ya mlo mmoja, mtu wa kijijini amekula milo mitatu.
Means hela ya matumizi ya mwezi mmoja, kwa mtu wa kijijini katumia kwa miezi mitatu.
Kuishi DAR ni mafanikio tosha.
Mbona ni standard kbs ukienda vibaya unauziwa 350Wapi huko ndizi moja 300 hujui kuna masoko hapo kuna bidhaa ni bei rahisi kuliko mikoani
Endelea kujidanganya na world cup yako! watu wanapiga pesa masasi na kahama huko utakuja kushtuka upo nafasi ya mwisho kwenye kundi lako la world cup.Unafananisha world cup na ndondo dsm ni world cup kitendo Cha kucheza world cup tayari unakuwa umeweka heshima ya pekee Sana .
Upo sahihi.Kijana wa Dar akinunua sabufa, sofa la watu 2, kitanda cha chuma na godoro, akipanga chumba kimoja, choo cha jumuia hapo katoboa maisha.
Wapo vijana waliofanikiwa wakajenga, kununua usafiri na wengine kumiliki biashara lakini wastani wa vijana wanaoishi kwenye chumba kimoja na vikorokoro vyao pamoja ni wengi sana.
Tanzania ilivyokuwa na ardhi kubwa mpaka nyingine imekuwa kama haina mwenyewe lakini kuna kijana hana hata umiliki wa square meter nne za mraba katika nchi hii, kazi kutunza ndevu na nywele tu.
Vijana wengi wa mikoani wana nyumba na mashamba ambayo yanaweza kuwasaidia uzeeni hata kama kwa kiasi kidogo.
Watakumaliza leoWashaanza kuniwashia moto
Sato yupi huyo wa 1200 we bwege! unaijua sato unaisikia?Mimi hapa asubuhi breakfast nimetumia 1200 mtu mmoja, ningekua bush hii hela ningekula breakfast nzito, mchana ugali na sato mkubwa usiku wali maharage ya kumwaga. Wqtu wa dar tuna mioyo Migumu.
Ndizi mitaa mingi dar hakuna tofauti na mikoani sh 100 ndizi nyingi zinatoka hapo moro njoo nikuoneshe labda huko supermarket ndio mnauziwa ndizi 300Mbona ni standard kbs ukienda vibaya unauziwa 350
Mkuu tumekukosea nn?
Kwann unatudhalilisha?
Umekuja kutudhihaki?
masimango yatakufaa nn?
Nakusihi,Tutake radhi!
Hao hao wa mikoani wakija dar hawataki kurudi kwao,kijijini kugumu sana wasitudanganyeMagorofa mengi yapo wapi?
Magari mengi yako wap?
Maduka mengi yako wapi?
Kama hivyo vitu vipo kwa wingi Dar basi mmezidiwa kipato watu wa mikoani poleni sana