Ukweli ni upi kuhusu Hospitali ya Mloganzila?

Ukweli ni upi kuhusu Hospitali ya Mloganzila?

Satoh Hirosh

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2021
Posts
6,432
Reaction score
25,646
Salaam,

Kumekuwa na tetesi huwa naisikia miaka kadhaa sasa kuhusu hii hospitali ya Mloganzila. Hadi naandika huu uzi ni kwa sababu kuna ndugu wa rafiki yangu wa karibu ambae ni mgonjwa na ameambiwa aende Mloganzila kupata matibabu.

Iko hivi; Nilikuwa Nimekaa nae tunapiga stori za kupoteza siku mara simu yake ikaita Kisha akapokea. Maongezi yalikuwa kuhusu mtu ambae ilionekana anaumwa(ndugu wa huyu jamaangu ambae tunapiga stori) na wamepewa rufaa wampeleke huyo mgonjwa Mloganzila. Sasa huyu bwana ambae nilikuwa nae tukipiga stori akawa mkali Sana kwenye Yale maongezi anasema "Hapana,Mloganzila hapana kwa kweli,tuongee na docta ili mgonjwa wetu aende Muhimbili ila siyo Mloganzila. Mnataka afe?"

Baada ya maongezi ya simu kuisha nikamuuliza jamaa; Hivi kwa nini mnakataa kumpeleka huyo mgonjwa Mloganzila,mnakomaa aende Muhimbili badala yake? Akajibu ndugu Mloganzila pale ni njiapanda ya kuzimu,Ukimpeleka hospitali nyingine alafu Doctor akakuandikia rufaa au akakushauri umpeleke mgonjwa wako pale ni Kama hamtakii heri mgonjwa maana uhakika wa kurudi home mzima ni mdogo Sana.

Sasa hii ni stori ya juzi,tena nimesikia kwa mtu anayenihusu,ila maneno Kama haya kuhusu Mloganzila binafsi sijaanza kuyasikia leo wala Jana. Nimewahi kusikia maneno Kama haya mwaka Jana msibani maeneo ya kwa azizi nilipoenda kumzika mzee wa rafiki yangu "mzee aliumwa kidogo tu badala ya kumpeleka temeke wao wakampeleka Mloganzila,ona Sasa kilichotokea" .Haya Ni baadhi ya maneno niliyosikia pale msibani. Pia hata kwenye maongezi ya kawaida vijiweni kuhusu maswala ya afya na magonjwa likitajwa jina la hii hospitali lazima Kuna watakaoguna tu. "Mmh mgonjwa wenu yupo wapi? Mloganzila? Mmh" maneno Kama haya nimeyasikia Mara kadhaa mtu akiongelea habari ya mgonjwa aliyeko Hapo hospitali.

Sasa wakuu,

Hii ina ukweli kiasi gani? Au ni uzushi Kama ule uzushi kuwahusu bodaboda kwamba wakipelekwa Muhimbili kwenye ile ward yao maarufu lazima wakatwe mguu kitu ambacho siyo kweli? Na Kama siyo kweli wahusika walitoa ufafaunuzi au kukanusha?

Niliwahi kumsikia kiongozi mmoja wa Muhimbili kwenye redio fulani akikanusha uvumi/uzushi ulioenea kuhusu majeruhi wa ajali za bodaboda kwamba wakipelekwa Muhimbili madaktari hawajisumbui kuanza kuhangaika kuwatibia,badala yake wanawakata miguu,mchezo Kwisha. Jamaa alitoa ufafanuzi mzuri na ukaeleweka. Ila hili la Mloganzila sijawahi kusikia mahali popote likiongelewa/kujadiliwa na wahusika.

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Story za mtaani zisizo na maana.

Mloganzila ila mortality rate ndogo sana ukilinganisha na MNH Upanga.

Wakati hospitali ilipofunguliwa ikiwa chini ya MUHAS, ilianza na kitengo cha magonjwa ya ndani (Internal Medicine)

Kitenho hiki ndio kinapokea wagonjwa wengi wenye terminal illnesses - Idadi kubwa ya Saratani, Magonjwa ya Figo, Magonjwa ya ini n.k

Kumbuka hii ni hispitali ya taifa hivyo wengi wenye magonjwa tajwa hapo juu walikuwa wakifika na hali mbaya, na kwa sababu hospitali ilikuwa na kitengo hiko tu ikaonekana kwa juu juu na wabongo hawajui statistics kama vile kila mgonjwa anayekuja anachance kubwa wa kufa.

Wabongo wakashika hilo na kufanya ndo stori wa kila kijiwe.

Ujinga utatumaliza
 
Inaweza kua stories za vijiweni; Ila kiukweli nina watu wangu watatu wa karibu, wote walipelekwa mloganzila kwa matibabu , hakuna alietoboa. Wote ni marhum, lisemwalo lipo na kama halipo laja.Ila issue haijakaa vizuri kwa hio hospitali...mloganzila = mchawi wa njia/barabara..
NB. kuna biashara tajwa ya figo
Walipelekwa kwa magonjwa gani tusiwe tu tunalaumu
 
Inaweza kua stories za vijiweni; Ila kiukweli nina watu wangu watatu wa karibu, wote walipelekwa mloganzila kwa matibabu , hakuna alietoboa. Wote ni marhum, lisemwalo lipo na kama halipo laja.Ila issue haijakaa vizuri kwa hio hospitali...mloganzila = mchawi wa njia/barabara..
NB. kuna biashara tajwa ya figo
Allah atufanyie wepesi kwa hili.

So sad
 
Salaam,

Kumekuwa na tetesi huwa naisikia miaka kadhaa sasa kuhusu hii hospitali ya Mloganzila. Hadi naandika huu uzi ni kwa sababu kuna ndugu wa rafiki yangu wa karibu ambae ni mgonjwa na ameambiwa aende Mloganzila kupata matibabu.

Iko hivi; Nilikuwa Nimekaa nae tunapiga stori za kupoteza siku mara simu yake ikaita Kisha akapokea. Maongezi yalikuwa kuhusu mtu ambae ilionekana anaumwa(ndugu wa huyu jamaangu ambae tunapiga stori) na wamepewa rufaa wampeleke huyo mgonjwa Mloganzila. Sasa huyu bwana ambae nilikuwa nae tukipiga stori akawa mkali Sana kwenye Yale maongezi anasema "Hapana,Mloganzila hapana kwa kweli,tuongee na docta ili mgonjwa wetu aende Muhimbili ila siyo Mloganzila. Mnataka afe!?"

Baada ya maongezi ya simu kuisha nikamuuliza jamaa; Hivi kwa nini mnakataa kumpeleka huyo mgonjwa Mloganzila,mnakomaa aende Muhimbili badala yake? Akajibu ndugu Mloganzila pale ni njiapanda ya kuzimu,Ukimpeleka hospitali nyingine alafu Doctor akakuandikia rufaa au akakushauri umpeleke mgonjwa wako pale ni Kama hamtakii heri mgonjwa maana uhakika wa kurudi home mzima ni mdogo Sana.

Sasa hii ni stori ya juzi,tena nimesikia kwa mtu anayenihusu,ila maneno Kama haya kuhusu Mloganzila binafsi sijaanza kuyasikia leo wala Jana. Nimewahi kusikia maneno Kama haya mwaka Jana msibani maeneo ya kwa azizi nilipoenda kumzika mzee wa rafiki yangu "mzee aliumwa kidogo tu badala ya kumpeleka temeke wao wakampeleka Mloganzila,ona Sasa kilichotokea" .Haya Ni baadhi ya maneno niliyosikia pale msibani. Pia hata kwenye maongezi ya kawaida vijiweni kuhusu maswala ya afya na magonjwa likitajwa jina la hii hospitali lazima Kuna watakaoguna tu. "Mmh mgonjwa wenu yupo wapi? Mloganzila? Mmh" maneno Kama haya nimeyasikia Mara kadhaa mtu akiongelea habari ya mgonjwa aliyeko Hapo hospitali.

Sasa wakuu,

Hii ina ukweli kiasi gani? Au ni uzushi Kama ule uzushi kuwahusu bodaboda kwamba wakipelekwa Muhimbili kwenye ile ward yao maarufu lazima wakatwe mguu kitu ambacho siyo kweli? Na Kama siyo kweli wahusika walitoa ufafaunuzi au kukanusha?

Niliwahi kumsikia kiongozi mmoja wa Muhimbili kwenye redio fulani akikanusha uvumi/uzushi ulioenea kuhusu majeruhi wa ajali za bodaboda kwamba wakipelekwa Muhimbili madaktari hawajisumbui kuanza kuhangaika kuwatibia,badala yake wanawakata miguu,mchezo Kwisha. Jamaa alitoa ufafanuzi mzuri na ukaeleweka. Ila hili la Mloganzila sijawahi kusikia mahali popote likiongelewa/kujadiliwa na wahusika.

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Haya ni MAJUNGU,

Kipindi Hii hospital inafunguliwa wagonjwa wengi walihamishwa Muhimbili UPANGA kwa mabasi wengi walikuwa na hali mbaya tena saana ndio waliokufa

Ilipofunguliwa RASMI madaktari wengi walitoka Mhimbili Upanga na hopsitali nyingine za UMMA, huko walikotoka si walikuwa wanahudumia wagonjwa hao hao

Ni maoni yangu binafsi wanajitahidi tena saana wapo madaktari very dedicated, nilishafika IDARA YAO YA DHARURA huduma niliyopata utafikiri sio Tanganyika.madaktari walionihudumia walikuwa lugha ilikuwa ni njema na kila wanachofanya wanaongea na wewe na kukuelewesha tofauti na huko kwingine

OMBI kwa serekali hii hospitali iwe Teaching HOspital ya chuo kikuu cha tiba Mhimbili, waipewe waiendeshe wenyewe naamini ikifanyika hivyo watabibu watakuwa na wakati wa kufanya tafiti, na kuleta matokeo chanya ya changamoto mbalimbali
 
Kuingiza siasa kwenye taaluma, msigano kati ya Muhimbili Upanga na Chuo cha MUHAS enzi hizo ndio kulifanya Hospitali ya Mloganzila mwanzo kufanya vibaya,

Kipindi Hospitali inafunguliwa kuna maagizo yalitoka juu ya kuwa hamisha wagonjwa kutoka MNH UPANGA kwenda MLOGANZILA, ili kupunguza msongamano wa wagonjwa MNH-UPANGA,
MNH-Upanga nao wakatumia mwanya ule waliopewa wakawa wanachagua wale terminal ill patients wa internal medicine(wagonjwa wa magonjwa ya ndani) ndio wakawa wanawapeleka Mloganzila, wakifika kule wakawa hawachukui muda wana fariki, ndio jina baya la Mloganzila lilianzia pale.

ila kwa sasa kwa Afrika Mashariki na kati hakuna Hospitali yenye mazingira na miundombinu bora kuizidi mloganzila, na kwa sasa inafanya vizuri nadhani ni hospitali chache sana hapa nchini zinazidi Mloganzila kwenye kutoa huduma.

Nendeni mkatibiwe Mloganzila mtakuja na majibu tofauti na mnayo yasikia na kuyasoma Mitandaoni, wana jitahidi sana kwenye kutoa huduma, watoa huduma wao wana kauli nzurI, na wanawajali wagonjwa, mimi binafsi ni shahidi, ndio imekuwa kimbilio langu napopata changamoto za kiafya.
Kipindi cha COVID-19 wagonjwa wa COVID walikuwa wakiponea pale, wengi ni mashahidi.

Kwa sasa chini ya Prof Janabi imekuwa na muelekeo mzuri zaidi, na staff wa pale wengi ukiohojiana nao wanamkubali sana huyu mwamba Prof Janabi, anajali maslahi wa wafanyakazi wake, na hii imeongeza morari ya watoa huduma pale Mloganzila na Upanga kwa ujumla,

Naskia kuna msigano unaendelea kati ya Chuo cha Muhimbili na Muhimbili Upanga nani anapaswa kuiendesha Hospitali,
Kama mdau wa Afya nawashauri mwacheni kwa sasa Prof Janabi aendeshe ile Hospitali ana maono na muelekeo mzuri zaidi, na amefanikiwa kuleta mabadiliko chanya toka akabidhiwe Hospitali ya Upanga na Mloganzila, ataleta mapinduzi makubwa sana kwenye hizi Hospitali mbili za Taifa, kama alivyo fanya pale Taasisi ya Moyo ya JKCI.
 
Salaam,

Kumekuwa na tetesi huwa naisikia miaka kadhaa sasa kuhusu hii hospitali ya Mloganzila. Hadi naandika huu uzi ni kwa sababu kuna ndugu wa rafiki yangu wa karibu ambae ni mgonjwa na ameambiwa aende Mloganzila kupata matibabu.

Iko hivi; Nilikuwa Nimekaa nae tunapiga stori za kupoteza siku mara simu yake ikaita Kisha akapokea. Maongezi yalikuwa kuhusu mtu ambae ilionekana anaumwa(ndugu wa huyu jamaangu ambae tunapiga stori) na wamepewa rufaa wampeleke huyo mgonjwa Mloganzila. Sasa huyu bwana ambae nilikuwa nae tukipiga stori akawa mkali Sana kwenye Yale maongezi anasema "Hapana,Mloganzila hapana kwa kweli,tuongee na docta ili mgonjwa wetu aende Muhimbili ila siyo Mloganzila. Mnataka afe!?"

Baada ya maongezi ya simu kuisha nikamuuliza jamaa; Hivi kwa nini mnakataa kumpeleka huyo mgonjwa Mloganzila,mnakomaa aende Muhimbili badala yake? Akajibu ndugu Mloganzila pale ni njiapanda ya kuzimu,Ukimpeleka hospitali nyingine alafu Doctor akakuandikia rufaa au akakushauri umpeleke mgonjwa wako pale ni Kama hamtakii heri mgonjwa maana uhakika wa kurudi home mzima ni mdogo Sana.

Sasa hii ni stori ya juzi,tena nimesikia kwa mtu anayenihusu,ila maneno Kama haya kuhusu Mloganzila binafsi sijaanza kuyasikia leo wala Jana. Nimewahi kusikia maneno Kama haya mwaka Jana msibani maeneo ya kwa azizi nilipoenda kumzika mzee wa rafiki yangu "mzee aliumwa kidogo tu badala ya kumpeleka temeke wao wakampeleka Mloganzila,ona Sasa kilichotokea" .Haya Ni baadhi ya maneno niliyosikia pale msibani. Pia hata kwenye maongezi ya kawaida vijiweni kuhusu maswala ya afya na magonjwa likitajwa jina la hii hospitali lazima Kuna watakaoguna tu. "Mmh mgonjwa wenu yupo wapi? Mloganzila? Mmh" maneno Kama haya nimeyasikia Mara kadhaa mtu akiongelea habari ya mgonjwa aliyeko Hapo hospitali.

Sasa wakuu,

Hii ina ukweli kiasi gani? Au ni uzushi Kama ule uzushi kuwahusu bodaboda kwamba wakipelekwa Muhimbili kwenye ile ward yao maarufu lazima wakatwe mguu kitu ambacho siyo kweli? Na Kama siyo kweli wahusika walitoa ufafaunuzi au kukanusha?

Niliwahi kumsikia kiongozi mmoja wa Muhimbili kwenye redio fulani akikanusha uvumi/uzushi ulioenea kuhusu majeruhi wa ajali za bodaboda kwamba wakipelekwa Muhimbili madaktari hawajisumbui kuanza kuhangaika kuwatibia,badala yake wanawakata miguu,mchezo Kwisha. Jamaa alitoa ufafanuzi mzuri na ukaeleweka. Ila hili la Mloganzila sijawahi kusikia mahali popote likiongelewa/kujadiliwa na wahusika.

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Kqani Madaktari wa mloganzila wanahitimu chuo gani?
 
Inaweza kua stories za vijiweni; Ila kiukweli nina watu wangu watatu wa karibu, wote walipelekwa mloganzila kwa matibabu , hakuna alietoboa. Wote ni marhum, lisemwalo lipo na kama halipo laja.Ila issue haijakaa vizuri kwa hio hospitali...mloganzila = mchawi wa njia/barabara..
NB. kuna biashara tajwa ya figo
 
Back
Top Bottom