Ukweli ni upi kuhusu Kiswahili kuwa lugha ya kufundishia?

Ukweli ni upi kuhusu Kiswahili kuwa lugha ya kufundishia?

Maswali matatu muhimu:

Swali la kwanza: ni nani anayepigia debe utumiaji wa Kiswahili kwenye ngazi zote za Elimu?
Jibu: miongoni mwao ni wanasiasa!

Swali la pili: watoto wa wanasiasa wengi wanasoma zipi?
Jibu: shule za English Medium za ndani na nje ya nchi

Swali la tatu: kwa nini wanasiasa wengi wanapenda kuwapeleka watoto wao shule za English Medium?
Jibu: Mkuu "So special" atusaidia jibu🤣
Kwamba hoja ya matumizi ya lugha kiswahili katika kufundishia ni ya wanasiasa ?

Sijui najadiliana na mtu wa namna gani!.
 
Maswali matatu muhimu:

Swali la kwanza: ni nani anayepigia debe utumiaji wa Kiswahili kwenye ngazi zote za Elimu?
Jibu: miongoni mwao ni wanasiasa!

Swali la pili: watoto wa wanasiasa wengi wanasoma zipi?
Jibu: shule za English Medium za ndani na nje ya nchi

Swali la tatu: kwa nini wanasiasa wengi wanapenda kuwapeleka watoto wao shule za English Medium?
Jibu: Mkuu "So special" atusaidia jibu🤣
Huenda unaongea kwa mihemko au huelewi pia unachokizungumza,, Ni wachache au hakuna kabisa wanasiasa wanakubali kiswahili kitumike Kama lugha ya kufundishia Tanzania. Kwahiyo hiyo kauli yako Ni nonesense.
Wanaosema kiswahili kitumike Kama lugha ya kufundishia Ni wataalamu waliofanya utafiti na kuona itakuwa na manufaa , rejea utafiti wa mzee makweta na timu yake 1992, 1995. Kiswahili kilishaamuliwa Kama lugha ya kufundishia na 1995 chuo kikuu Cha dar es salaam kulikuwa kimeazimia kuanza kufundishia kwa kiswahili lakini baadaye haikutekelezeka. Mwaka 2014 Sera ya elimu ilitamka kiswahili na kingereza zitakuwa lugha za kufundishia Hadi chuo kikuu lakini Hilo nalo halijatekelezeka .. Hii inatokana na wanasiasa kutokuwa tayari kuruhus kiswahili kuanza kutumika Sasa unavyoropoka wanaotaka kiswahili kitumike kufundishia niwanasiasa ili watengeneze matabaka unaonekana Kama hujui chochote kuhusiana na maswala haya. Kiswahili kinashindwa kutumika kwasababu uchumi wa Tanzania Ni duni (maskini) ndiposa tunaona fahari kuiga tamaduni za kigeni na lugha Yao ili kujaribu kujisagisha rejea nukuhu yangu DW 2019 "Hakuna lugha ya maskini inayopendwa mzungumzaji wa lugha duni hufanya awezalo kuikwepa lugha yake na utamaduni wake"
 
China Ina nguvu kiuchumi.
Tutajie Taifa jingine linalotambulika na Umoja wa Mataifa lonalotumia kichina kama lugha ya kufundishia?

Cha muhimu ni Nia, maono ya nchi, kwa wataalamu na wanasiasa.

Unakurupuka kuelewa kilichoandikwa. MTU hajifunzi lugha Fulani kwaajili ya kujifurahisha. Kitu ch kwanza kinachoweza kusambaza lugha Ni dola yenye nguvu kiuchumi na kila kitu . Angalia hata kiswahili kilienea miaka hiyo kuliko Sasa kwasababu kiliendeshwa na dola zenye nguvu Kama Uingereza na ujerumani. (Kiswahili kilienea zaidi zamani kuliko Sasa kwa Sasa kinaenea kiakademia peke yake) fanya utafiti uone Ni watu wangapi kwa Sasa wanajifunza kichina, kwa lengo la kurahisisha biashara au kwa lengo la kupata fursa zinazopatikana katika lugha hii. Angalia taasisi inayoshughulika na lugha Confiscus institute inavyosambaa kwa Kasi kueneza kichina duniani Kama ilivyo kwa British Council, je Tanzania inalo shirika lenye fedha linaloweza kueneza kiswahili au kujenga vituo vya kueneza kiswahili nchi nyingine ? Tanzania haina uwezo wa kuamua kutumia lugha yake na wenye jukumu la kuzuia Hilo Ni mashirika Kama British council ambalo kazi yake kubwa Ni kueneza lugha ya kizungu na utamaduni wa wazungu Siku Tanzania ikiwa na uwezo mkubwa kiuchumi bila kutegemea wahisani kwa kiasi kikubwa utaweza pia kutoka katika utumwa wa lugha na utamaduni
 
Chembe ziada za atomiki , tafuta vitabu ya biology, Chemistry, na geography vya kiswahili uone Kama Kuna neno limeachwa aununua Lambert iliyoandikwa kwa kiswahili ukishindwa tafuta kamusi ya sayansi na teknolojia. Ukweli kuhusu lugha nikuwa lugha yeyote hujitosheleza kwa watu wake na misamiati unaweza kuongezwa wakati wowote hushangau Kwanini Misamiati mingi ya geography katika kingereza Ni ya lugha za kilatini au Hesabu lugha za kiarabu?
hii tafsiri ya "sub-" kuwa "ziada" bado hainiingii akilini mkuu. Na "extraterrestrial" kiswahili chake itakuwa nini?
 
Kwamba hoja ya matumizi ya lugha kiswahili katika kufundishia ni ya wanasiasa ?

Sijui najadiliana na mtu wa namna gani!.
Kwani kwa sasa ni lugha gani inayotumika kufundishia?

Ukiangalia Kiswahili hatupo, Kingereza hatupo!
 
Chembe ziada za atomiki , tafuta vitabu ya biology, Chemistry, na geography vya kiswahili uone Kama Kuna neno limeachwa aununua Lambert iliyoandikwa kwa kiswahili ukishindwa tafuta kamusi ya sayansi na teknolojia. Ukweli kuhusu lugha nikuwa lugha yeyote hujitosheleza kwa watu wake na misamiati unaweza kuongezwa wakati wowote hushangau Kwanini Misamiati mingi ya geography katika kingereza Ni ya lugha za kilatini au Hesabu lugha za kiarabu?
hii tafsiri ya "sub-" kuwa "ziada" bado hainiingii akilini mkuu. Na "extraterrestrial" kiswahili chake itakuwa nini?
 
Unakurupuka kuelewa kilichoandikwa. MTU hajifunzi lugha Fulani kwaajili ya kujifurahisha. Kitu ch kwanza kinachoweza kusambaza lugha Ni dola yenye nguvu kiuchumi na kila kitu . Angalia hata kiswahili kilienea miaka hiyo kuliko Sasa kwasababu kiliendeshwa na dola zenye nguvu Kama Uingereza na ujerumani. (Kiswahili kilienea zaidi zamani kuliko Sasa kwa Sasa kinaenea kiakademia peke yake) fanya utafiti uone Ni watu wangapi kwa Sasa wanajifunza kichina, kwa lengo la kurahisisha biashara au kwa lengo la kupata fursa zinazopatikana katika lugha hii. Angalia taasisi inayoshughulika na lugha Confiscus institute inavyosambaa kwa Kasi kueneza kichina duniani Kama ilivyo kwa British Council, je Tanzania inalo shirika lenye fedha linaloweza kueneza kiswahili au kujenga vituo vya kueneza kiswahili nchi nyingine ? Tanzania haina uwezo wa kuamua kutumia lugha yake na wenye jukumu la kuzuia Hilo Ni mashirika Kama British council ambalo kazi yake kubwa Ni kueneza lugha ya kizungu na utamaduni wa wazungu Siku Tanzania ikiwa na uwezo mkubwa kiuchumi bila kutegemea wahisani kwa kiasi kikubwa utaweza pia kutoka katika utumwa wa lugha na utamaduni
Hoja yako ilibase kwamba Tanzania Haina nguvu za kiuchumi?
Nami nikajibu China Ina nguvu za kiuchumi, je Kuna Taifa jingine lolote linalotambulika na Umoja wa Mataifa linatumia kichina?

Badala ya kujibu ukaluka luka tu?
Mara umesema Kiswahili kilikuzwa na Mwingereza? unajitambua kweli?
 
Back
Top Bottom