YNIM
JF-Expert Member
- Aug 29, 2007
- 2,215
- 25
Mwkjj,
Yes, fair assessment, nipo emotional esp pale watu wanapojaribu kuwa "cute" wakti watu wanaongelea vitu serious!!!!.
Inaonekana kwa wewe hapa kila kitu ni routine, kwahiyo mwendo mdundo.......kwa upande wangu its NOT. Hatuoni vitu kwa mtazamo mmoja, lakini mie nime-avoid sana ku-demize ur point of view......lakini wewe na jamaa zako hiyo ndio game yenu na mnazania ni sifa. Sasa sishangai kwani watu kama Mchambuzi waliamua ku-quit au kadampinzani kusimamia anachosimamia.
Kama ni kweli tupo serious na suala la Tanzania basi hii ndio opportunity na watu waache ku-bs!!!!. Hii mada kuwekwa kwenye vibweka tu na wewe kushabikia uamuzi huo tayari inatoa picha kubwa ktk 3-D................well mie naangalia zangu football saa hii, mambo ya Ngoswe haya, LOL.
Nyani Ngabu,
Najikongoja Foxboro, kuona Big Ben anavyokuwa sacked, intercepted na kadhalika. I hope Pats wanakwemda 13-0 jioni hii, itakuwa safi sana!!.
Yes, fair assessment, nipo emotional esp pale watu wanapojaribu kuwa "cute" wakti watu wanaongelea vitu serious!!!!.
Inaonekana kwa wewe hapa kila kitu ni routine, kwahiyo mwendo mdundo.......kwa upande wangu its NOT. Hatuoni vitu kwa mtazamo mmoja, lakini mie nime-avoid sana ku-demize ur point of view......lakini wewe na jamaa zako hiyo ndio game yenu na mnazania ni sifa. Sasa sishangai kwani watu kama Mchambuzi waliamua ku-quit au kadampinzani kusimamia anachosimamia.
Kama ni kweli tupo serious na suala la Tanzania basi hii ndio opportunity na watu waache ku-bs!!!!. Hii mada kuwekwa kwenye vibweka tu na wewe kushabikia uamuzi huo tayari inatoa picha kubwa ktk 3-D................well mie naangalia zangu football saa hii, mambo ya Ngoswe haya, LOL.
Nyani Ngabu,
Najikongoja Foxboro, kuona Big Ben anavyokuwa sacked, intercepted na kadhalika. I hope Pats wanakwemda 13-0 jioni hii, itakuwa safi sana!!.