Ukweli ni upi kuhusu Oscar Kambona?

Ukweli ni upi kuhusu Oscar Kambona?

Kumbe
Kuna kitu kingine pia. Kabla hajahamia London, na labda baada ya uhusiano na mwalimu kuanza kuyumba, Kambona alimwambia mwalimu kuwa hali yake ya afya haikuwa nzuri.

Mwalimu alimwelekeza Kambona kwenda kutibiwa uholanzi ambako kulikuwa na daktari aliyekuwa rafiki yake mwalimu. Kambona alikaa uholanzi kwa matibabu kwa zaidi ya mwezi. Aliporudi nyumbani, kwa mashangao wa mwalimu, Kambona alijiuzulu uwaziri na ukatibu mkuu wa TANU.

Ingawa alitaja sababu za kiafya kama sababu za kujiuzulu kwake, bado hazikumconvice mwalimu hivyo ukapangwa mpango wa kumkamata. Sijui ni vipi aligundua mapema na hivyo kuponyoka mapema hadi Nairobi alikopandia ndege kwenda London. Inawezekana pia kuwa hakuridhika na nafasi aliyokuwa nayo. Wakati anaondoka kwenda kwenye matibabu alikuwa waziri wa maendeleo vijijini baada ya azimio la Arusha.

Inawezekana pia kuwa uhamisho wa kumpeleka kwenye wizara hiyo ilikuwa kumkomoa.
Hayati Kambona alikuwa mtu sahihi kwa wakati husika ingawa hakutafsiriwa vizuri na Washirika wa kipindi hiko.
 
Kambona ilipaswa aandike kitabu chake tumsome kwa upana zaidi
 
Asingethubutu. Ni sawa na kumwambia Makonda leo aandike kitabu.
Kambona alifia nje ya nchi, angeweza kuandika.
Pia unaweza kuandika kitabu ukamuachia publisher na ukaweka kwenye wosia kwamba kichapishwe na kusambazwa pindi tu utakapofariki.
 
Kambona alifia nje ya nchi, angeweza kuandika.
Pia unaweza kuandika kitabu ukamuachia publisher na ukaweka kwenye wosia kwamba kichapishwe na kusambazwa pindi tu utakapofariki.
Sijasema kuna mtu aliyemzuia kuandika kitabu, madhambi yake ndio yalimzuia akihofia kuanikwa.

Ndiyo maana nikasema ni sawa na kumwambia makonda aandike kitabu.
 
Habari wakuu Mimi Nina certificate ya laboratory technician pia Nina experience ya miaka 3 kuhusu laboratory technician, laboratory analysis, QC,QA pia blending oparetor au syrup oparetor pia naweza kufanya kazi popote pale penye maabara au panapozalishwa bidhaa .yeyote atakaye nisaidia kupata connection ya job nipo tayari kumpa % kadhaa katika mshahara kama shukurani
 
Kamba!

Agosti 13, 1925 haikuwa Ijumaa! Tuanzie hapo kwanza.

Which means probably hata hayo mengine ya mvua kali ilikuwa inanyesha, jioni radi kali akiwa anazaliwa, nayo ni kamba tupu!


whatsapp-2bimage-2b2019-01-27-2bat-2b19-28-11-25281-2529-jpeg.1007392


Nyerere hawezi kuwa msimamizi wakati hata kwenye harusi hakuwepo.

A picture is worth a thousand lies!
Basi huoni vizuri picha hiyo. Waone hapa

1740518410794.png
 
Kamba!

Agosti 13, 1925 haikuwa Ijumaa! Tuanzie hapo kwanza.

Which means probably hata hayo mengine ya mvua kali ilikuwa inanyesha, jioni radi kali akiwa anazaliwa, nayo ni kamba tupu!


whatsapp-2bimage-2b2019-01-27-2bat-2b19-28-11-25281-2529-jpeg.1007392


Nyerere hawezi kuwa msimamizi wakati hata kwenye harusi hakuwepo.

A picture is worth a thousand lies!
Umezaliwa lini?
 
Back
Top Bottom