Teknocrat
JF-Expert Member
- Oct 20, 2018
- 4,967
- 11,056
Eeehh...What if mwandishi kabumba & kuchekecha kupata andiko lake? Mwandishi ana credibility gan hata umuamini 100%?
Mwandishi sio mrussia wa Buza....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eeehh...What if mwandishi kabumba & kuchekecha kupata andiko lake? Mwandishi ana credibility gan hata umuamini 100%?
Kwan mrussia wa buza pekee ndio haaminiki?Eeehh...
Mwandishi sio mrussia wa Buza....
Bado hujatuweka wazi sawia, ila km haupo huru kuzungumzia suala ili bhac weka pembenKama hujanielewa fanyaga hivi!!!.... Chukua herufi mbili za mwanzo ya neno la kwanza yaani ''SA'' na ''WA'' Utapata nini?? ndo jibu lake!
Ndo matokeo ya division zero mnasumbua uraiani huku! ....najua Hukulifikia ??...lkn km ungeenda ungeipata hiyo!Bado hujatuweka wazi sawia, ila km haupo huru kuzungumzia suala ili bhac weka pemben
duuhKatika mahojiano na gazeti la new africa huko nyuma Nyerere aliulizwa ikiwa kuvunjika kwa urafiki wake na Kambona ni moja ya mambo yanayomkosesha raha ktk utawala wake,Nyerere alisema hapana na alimshangaa Kambona kama katibu wa TANU alihusika katika maandalizi yote ya azimio la arusha hata kabla halijatangazwa na mwishoni akabadilika kulikana. Kilichomsikitisha Nyerere ni kuwapigia magoti waingereza waliokuwa wakoloni wetu waje wamwokoe wakati wa maasi ya jeshi,wakati tulijidai tunaweza kujitawala.
Toafauti kati ya hawa ni attitude towards money/richness and how to get it.
Nyerere alifuata msimamo wa biblia na wa kikomunisti,kuwa ni ngumu kwa tajiri kuingia ktk ufalme wa Mungu,huwezi kuwa tajiri pasipo kutumia nguvu ya watu wengine hivyo kwa kuwa tajiri umenyonya wengine(marxism),pia maneno ya mtakatifu mmoja kuwa unapompa maskini shati humsaidii bali unampa haki yake! Kambona nafikiri hakuona vibaya mtu kutumia akili na nguvu zake kuchuma mali.
Je historia ya sasa tz tunaweza kuwahukumu vipi hawa waasisi wa taifa letu?mawazo ya yupi yameonyesha ku hold?
Baada ya kuvunjwa azimio la arusha tumejionea na tunaendelea kuona na kujadili viongozi wetu wanavyofuja mali na kuliibia taifa, rushwa, nepotism, etc.
Nakubaliana na mawazo hapo juu kuwa implementation ya azimio ilienda haraka sana kabla hatujawa na skilled personnel ya ku takeover na kuendesha taasisi mbali mbali.
For me Nyerere was right and had the right intention to selfishlessly serve the poor people of tz and lived to his words until his death.
Unajikuta mtu wa coding, sasa unachokieleza km unakifaham vilivyo yanini kutoweka wazi?Ndo matokeo ya division zero mnasumbua uraiani huku! ....najua Hukulifikia ??...lkn km ungeenda ungeipata hiyo!
Hapana Mkuu mie niko wazi sema hivi....siyo wote mnaoweza kuijua akili kubwa! ndo maana drsani kuna wa kwanza wa pili.3 ,4, 5. 6, 7...... ivoivooooo mpaka mfunga mkia!Unajikuta mtu wa coding, sasa unachokieleza km unakifaham vilivyo yanini kutoweka wazi?
NB; mafumbo ya bible yamewafanya wafuasi wa kristo mpaka Leo kubaki makundi makundi - Kila kundi likijiona liko sahihi kuliko
Anyway, wewe akili kubwa na bila shaka ulikuwa wa kwanza Toka umeanza kusoma had kumaliza, ila km huwez dadavua/elezea jambo/kitu ukaeleweka ktk jamii yako ama watu unao waeleza bado unabaki kuwa TRAB AND TRATHapana Mkuu mie niko wazi sema hivi....siyo wote mnaoweza kuijua akili kubwa! ndo maana drsani kuna wa kwanza wa pili.3 ,4, 5. 6, 7...... ivoivooooo mpaka mfunga mkia!
sijwahi ona mfunga mkia akilalalamika !!! kubali tu hujui baaas
Nashukuru, nakupongeza, umekiri kwa kinywa chako kuwa ''akili zangu ni kubwa'' safi sana uendelee ivo! ivio! napendaga saaana sifa za kweli......ila bado kidooogo hujanielewa! siyo tatizo lako!Anyway, wewe akili kubwa na bila shaka ulikuwa wa kwanza Toka umeanza kusoma had kumaliza, ila km huwez dadavua/elezea jambo/kitu ukaeleweka ktk jamii yako ama watu unao waeleza bado unabaki kuwa TRAB AND TRAT
Bypass believe that theUkweli ni kwamba Kambona was so smart and intelligent & exposure more than Mwalimu. Mwalimu akafanya fitna na kuonekana Kambona ni chawa wa wazungu kitu ambacho si kweli - tulilishwa matango pori mengi sana enzi za primary kwenye somo la siasa.
Nahitaji huu wimbo sanaaa.....Kambona nalia gizaa......Pindueni mkiwezaaaa nitawapeniii mapesaa nikirudii uwingereza..... Wale wakongwe wenzangu tukumbushane aka kanyimbo
Baba Nape.mtunzi lazima alikuwa kijana machachari wa tanu
Kwanza tunawahesabu waliokufa kwa tabu,bila hata matibabu wengi hawana hesabu waliokufa kwa tabu dunianiiii,Nahitaji huu wimbo sanaaa.....
sana tunawahesabu haoooooo
waliokufa kwa tabu..................
mtunzi lazima alikuwa kijana machachari wa tanu
Ndugu zangu nani ningependa kuchangia kidogo kuhusu Oscar Kambona.Kwanza tunawahesabu waliokufa kwa tabu,bila hata matibabu wengi hawana hesabu waliokufa kwa tabu dunianiiii,
Kambona aliagiza Chipaka na kamalizaa,pindueni mkiweza nitawapeni mafedhaa nikirudi safarini uingerezaaa
Nakumbuka hapo tu....sijui ni nani alikatunga haka kasongi