Ukweli ni upi kuhusu Oscar Kambona?

Kumbe
Hayati Kambona alikuwa mtu sahihi kwa wakati husika ingawa hakutafsiriwa vizuri na Washirika wa kipindi hiko.
 
Kambona ilipaswa aandike kitabu chake tumsome kwa upana zaidi
 
Asingethubutu. Ni sawa na kumwambia Makonda leo aandike kitabu.
Kambona alifia nje ya nchi, angeweza kuandika.
Pia unaweza kuandika kitabu ukamuachia publisher na ukaweka kwenye wosia kwamba kichapishwe na kusambazwa pindi tu utakapofariki.
 
Kambona alifia nje ya nchi, angeweza kuandika.
Pia unaweza kuandika kitabu ukamuachia publisher na ukaweka kwenye wosia kwamba kichapishwe na kusambazwa pindi tu utakapofariki.
Sijasema kuna mtu aliyemzuia kuandika kitabu, madhambi yake ndio yalimzuia akihofia kuanikwa.

Ndiyo maana nikasema ni sawa na kumwambia makonda aandike kitabu.
 
Habari wakuu Mimi Nina certificate ya laboratory technician pia Nina experience ya miaka 3 kuhusu laboratory technician, laboratory analysis, QC,QA pia blending oparetor au syrup oparetor pia naweza kufanya kazi popote pale penye maabara au panapozalishwa bidhaa .yeyote atakaye nisaidia kupata connection ya job nipo tayari kumpa % kadhaa katika mshahara kama shukurani
 
Basi huoni vizuri picha hiyo. Waone hapa

 
Umezaliwa lini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…