Ukweli ni upi "Rais kafanya" au "Serikali imefanya"?

CHADEMA wanataka useme ni mabeberu yamefanya au wananchi wamefanya, Wanaogopa sana jina Samia
Hii ni kejeli. Jiulize ni motve gani kutaja mtu badala ya serikali.
Tulizoea kusikia serikali ime... Hata kama ni mkuu wa wilaya, waziri au katibu mkuu.
Kuna kujipendekeza kusiko na tija bali kusaka tu kutamblwa na rais, ulafi na unafiki wa kiwango cha juu.
 
Happy Boxing Day kwa hisani ya Mhe Samia Suluhu Hassan
 
Miradi yote iliyoachwa na Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli Rais Samia Suluhu Hassan anaitekeleza kwa 100%

Sihiyo tu tayari mingine mipya inaendelea na Ujenzi,

Tunawajibu wa kumwombea Mama huyu,
 
#2025Fever itawapotezea muda wenu bure,hakuna wakumuangusha Rais Samia Suluhu Hassan kwa kazi hizi kubwa na nzuri anazozifanya,

#KAZIIENDELEE NA MAMA
 
#2025Fever itawapotezea muda wenu bure,hakuna wakumuangusha Rais Samia Suluhu Hassan kwa kazi hizi kubwa na nzuri anazozifanya,

#KAZIIENDELEE NA MAMA
 
Hakika kama mambo yataendelea kuwa hivi Rais Samia Suluhu Hassan atashinda Uchaguzi Huru na Haki wa 2025 kwa zaidi ya 76%
 
" Kwa mwendo huu Tanzania tutafika tunakotaka kwenda tena kwa kuwahi sana, Hongera Mama Samia, Watanzania tuko nyuma yako We chapa kazi achana na Wasio na jema "
 
Ni ujinga kusema Rais kafanya. Ni halali kusema, Serikali imefanya.
 
Kaziindelee
 



||Serikali inafanya kwa niaba ya Rais na Rais anafanya kwa niaba ya wanachi||
Unaishi Nchi gani? Marekani?
Ili ushinde hapa Tanzania, unahitaji mambo 3 tu yafuatayo
1. Uwe na mamlaka ya kuchagua wajumbe wa Tume ya Uchaguzi.
2. Uwe na mamlaka ya kuchagua Wasimamizi wa Uchaguzi katika Halmashauri zote.
3. Uwe na mamlaka ya kuwaagiza Jeshi la Polisi wawashike Wapinzani ambao hawataki kukiri kuwa Uchaguzi ni kiini macho cha kuuhadaa Ulimwengu

Mpaka hapo Wananchi watakapokuja kushituka juu ya haki yao inayoporwa, tutaendelea kuwa na aina ya akina Musiba wanaojitoa ufahamu na kujiita Wanaharakati huru kwa lengo la kushibisha matumbo yao.
Siku tutakapokuwa na TUME HURU YA UCHAGUZI, ushindi hautatokana na karatasi zilizoandikwa jina Ilani.
Utatokana na utashi na uamuzi wa Watanzania waliopiga kura.
 
Binafsi hili neno Mama Samia atoa mabilioni kujenga shule badala ya Serikali yatoa mabilioni kujenga shule linanikera sana.
Ni wazi kuwa nchi inakosa dira hata ktk kuwasilisha taarifa kwa Umma, tujisahihishe mlio na dhamana ktk Nchi yetu.
 
Kazi ni nzuri kila Mahali,
Kauli ya SSH kwa mabenki kushusha riba imekuwa ya vitendo.Ikumbukwe matamko mengi ya awamu za awali hayakuwahi kuleta tija.

SSH ni level zingine,hatimaye crdb washusha viwango vya riba,ni kicheko kwa wafanyabiashara,wafanyakazi na wakulima 👇

 
Binafsi hili neno Mama Samia atoa mabilioni kujenga shule badala ya Serikali yatoa mabilioni kujenga shule linanikera sana.
Ni wazi kuwa nchi inakosa dira hata ktk kuwasilisha taarifa kwa Umma, tujisahihishe mlio na dhamana ktk Nchi yetu.
Kwa nini likukere? Dhamana iko kwa Rais na Serikali ni ya Rais ..

Ngoja nikukere zaidi 😆😆



 

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…