Ukweli ni upi "Rais kafanya" au "Serikali imefanya"?

Ukweli ni upi "Rais kafanya" au "Serikali imefanya"?

Tanzania watu wengi ni giza
..... na hayo ni matumizi ya mapato/makusanyo yanayotokana na Kodi na Tozo mbalimmbali wanazolipa wananchi hivyo kuelekezwa kwenye shughuli za maendeleo kwa niaba yao.
Aina, umuhimu,vipaumbele vya utekelezaji na matumizi sahihi ya fedha hizo hilo ni suala lingine.
 

Maneno haya yanamaana sawa kimantiki " Rais kafanya X " " Serikali imefanya Y " au " " Tumefanya Z " tumia lolote utakuwa sahihi tu.​


Kunabaadhi ya wenzetu wameishiwa hoja hasa huku mitandaoni kwa muda mrefu sasa wamekuwa wakipinga kwa nguvu zote kutumika kwa sentesi " Rais X kafanya mradi Y".

Watu hawa mara zote wanahoji niwapi huyu Rais X kapata huu ukwasi wa kutekeleza mradi Y? Jambo ambalo kisiasa wanadhani linamuinua zaidi huyu Rais X kwa kupewa endorsement ya mradi "Y".

Wakati wote watu hawa ambao wengi wao ni watu kutoka Upinzani wamependekeza itumike sentesi " Serikali X imetekeleza mradi Y".


UFAFANUZI WANGU
____________________

Kwanza, Kisiasa :
Sote tunafahamu ili tuweze kushinda Uchaguzi wowote ule popote tunahitaji mambo matano makubwa ambayo ni,

1. Mgombea Mzuri


2. Mtandao au Chama

3. Agenda|Ilani ya Uchaguzi

4. Organization au timu kampeni

5. Rasilimali, fedha, vitu na watu


Sasa kwahoja hii naomba tuangazie hitaji la tatu la kushinda Uchaguzi ambalo ni " ILANI YA UCHAGUZI " Ilani ya Uchaguzi inaweza kuwa yakuandikwa au yakutamkwa,

ILANI YA UCHAGUZI maana yake ni ahadi za mgombea au chama kwa Wapigakura au wananchi.
Tuelewane vizuri hapa tumesema Ilani ni ahadi ya mgombea au Chama wala sio ahadi ya Serikali kwa wapigakura au wananchi, nadhani hapa tunakubaliana wote,

Tukubaliane pia huyu mgombea baadae anaweza kushinda na kuwa Rais X, Sasa bila kusahau kuna ahadi aliwaahidi wapigakura wake yeye kama yeye yaani akishinda atafanya miradi X,Y,Z.

Kwaufafanuzi huu wa Ilani ya Uchaguzi kama miradi X,Y,Z ikitekelezwa na aliyekuwa Mgombea wa nafasi X ambae alishinda Uchaguzi huo kwa ahadi hizo na sasa anazitekeleza kama alivyoahidi ubaya unatoka wapi tukisema " Rais X katekeleza miradi X,Y,Z? "

Pili kimuundo :
Rais wa JMT ndio Raia namba moja wa JMT ndie mkuu wa Serikali ndio afisa manunuzi mkuu, ndie mshauri mkuu wa bajeti ndie mtia saini wa mwisho wa sheria ya bajeti unakataaje hajafanya wakati kila kitu kinaanzia na kuishia kwake!!


Tatu, Rais ndie mwenye mamlaka ya kusimamia pesa yote ya nchi kabla na baada ya bajeti kwenye kutekeleza miradi ya nchi kwani ndie aliyepewa dhamana na ndio atakayeulizwa ifikapo mwaka 2025 kulingana na Ilani yake iliyopita hivyo anafanya kwa niaba yetu

Nne, Urais ni taasisi, Sisi sote tuko chini ya Rais wa JMT akiwa kama Raia namba moja wa nchi, Hivyo tuvifanyavyo tunavifanya kwa niaba ya Nchi na Rais wetu ndio maana likitokea baya lawama zote kwa Rais wa nchi kwanini linapotokea jema mnasita kusema kafanya hili Jema iweje Rais apokee mabaya tu mema asipokee?

||Serikali inafanya kwa niaba ya Rais na Rais anafanya kwa niaba ya wanachi||
Serikali inayofanya kazi efficiently lazima ina mpangilio wa majukumu kwa kila mtu kulingana na nafasi yake. Kwasababu hiyo kuna mambo mengi ambayo yanaweza yasimfikie Rais na mambo mengine ambayo yanayomfikia. Kwa bahati mbaya sana, maafa makubwa yanapotokea hata kwenye ngazi za chini, viongozi waliopo kwenye ngazi za juu wanaweza kuhusishwa hata kama hawa kuhusika moja kwa moja. Mambo mengi mazuri yanaweza kutekelezwa na mwanasiasa yeyote lakini watu huwa ni wepesi zaidi kukumbuka mabaya. Doa moja tu linatosha kumfanya mwana siasa yeyote kukumbukwa kwa mabaya
 
Kwa hiyo mabeberu mnaokopa hela kwao, vipi wakisema "Wao Ndio Wamefanya" itakuwa sawa!? Maana wimbo wa Samia kafanya hivi Samia kafanya vile unatia kinyaa wakati wananchi mnawaumiza kwa matozo.
 

Maneno haya yanamaana sawa kimantiki " Rais kafanya X " " Serikali imefanya Y " au " " Tumefanya Z " tumia lolote utakuwa sahihi tu.​


Kunabaadhi ya wenzetu wameishiwa hoja hasa huku mitandaoni kwa muda mrefu sasa wamekuwa wakipinga kwa nguvu zote kutumika kwa sentesi " Rais X kafanya mradi Y".

Watu hawa mara zote wanahoji niwapi huyu Rais X kapata huu ukwasi wa kutekeleza mradi Y? Jambo ambalo kisiasa wanadhani linamuinua zaidi huyu Rais X kwa kupewa endorsement ya mradi "Y".

Wakati wote watu hawa ambao wengi wao ni watu kutoka Upinzani wamependekeza itumike sentesi " Serikali X imetekeleza mradi Y".


UFAFANUZI WANGU
____________________

Kwanza, Kisiasa :
Sote tunafahamu ili tuweze kushinda Uchaguzi wowote ule popote tunahitaji mambo matano makubwa ambayo ni,

1. Mgombea Mzuri


2. Mtandao au Chama

3. Agenda|Ilani ya Uchaguzi

4. Organization au timu kampeni

5. Rasilimali, fedha, vitu na watu


Sasa kwahoja hii naomba tuangazie hitaji la tatu la kushinda Uchaguzi ambalo ni " ILANI YA UCHAGUZI " Ilani ya Uchaguzi inaweza kuwa yakuandikwa au yakutamkwa,

ILANI YA UCHAGUZI maana yake ni ahadi za mgombea au chama kwa Wapigakura au wananchi.
Tuelewane vizuri hapa tumesema Ilani ni ahadi ya mgombea au Chama wala sio ahadi ya Serikali kwa wapigakura au wananchi, nadhani hapa tunakubaliana wote,

Tukubaliane pia huyu mgombea baadae anaweza kushinda na kuwa Rais X, Sasa bila kusahau kuna ahadi aliwaahidi wapigakura wake yeye kama yeye yaani akishinda atafanya miradi X,Y,Z.

Kwaufafanuzi huu wa Ilani ya Uchaguzi kama miradi X,Y,Z ikitekelezwa na aliyekuwa Mgombea wa nafasi X ambae alishinda Uchaguzi huo kwa ahadi hizo na sasa anazitekeleza kama alivyoahidi ubaya unatoka wapi tukisema " Rais X katekeleza miradi X,Y,Z? "

Pili kimuundo :
Rais wa JMT ndio Raia namba moja wa JMT ndie mkuu wa Serikali ndio afisa manunuzi mkuu, ndie mshauri mkuu wa bajeti ndie mtia saini wa mwisho wa sheria ya bajeti unakataaje hajafanya wakati kila kitu kinaanzia na kuishia kwake!!


Tatu, Rais ndie mwenye mamlaka ya kusimamia pesa yote ya nchi kabla na baada ya bajeti kwenye kutekeleza miradi ya nchi kwani ndie aliyepewa dhamana na ndio atakayeulizwa ifikapo mwaka 2025 kulingana na Ilani yake iliyopita hivyo anafanya kwa niaba yetu

Nne, Urais ni taasisi, Sisi sote tuko chini ya Rais wa JMT akiwa kama Raia namba moja wa nchi, Hivyo tuvifanyavyo tunavifanya kwa niaba ya Nchi na Rais wetu ndio maana likitokea baya lawama zote kwa Rais wa nchi kwanini linapotokea jema mnasita kusema kafanya hili Jema iweje Rais apokee mabaya tu mema asipokee?

||Serikali inafanya kwa niaba ya Rais na Rais anafanya kwa niaba ya wanachi||
Unaakili kubwa sana mtoa mada,
 
Ukweli ni kwamba rais kafanya. Serikali gangi itakubali kufanya this madness? Haya madeni atamipa namo? This ia kicung the can dwon the road. Nani kasema mikopo hii inatumika kwa kazi za maendeleo? Umewaona TISS? KILA MMOJA wao ana gari ya binafsi.(tokea Magufuli alipoingia Ikulu.)
 

Maneno haya yanamaana sawa kimantiki " Rais kafanya X " " Serikali imefanya Y " au " " Tumefanya Z " tumia lolote utakuwa sahihi tu.​


Kunabaadhi ya wenzetu wameishiwa hoja hasa huku mitandaoni kwa muda mrefu sasa wamekuwa wakipinga kwa nguvu zote kutumika kwa sentesi " Rais X kafanya mradi Y".

Watu hawa mara zote wanahoji niwapi huyu Rais X kapata huu ukwasi wa kutekeleza mradi Y? Jambo ambalo kisiasa wanadhani linamuinua zaidi huyu Rais X kwa kupewa endorsement ya mradi "Y".

Wakati wote watu hawa ambao wengi wao ni watu kutoka Upinzani wamependekeza itumike sentesi " Serikali X imetekeleza mradi Y".


UFAFANUZI WANGU
____________________

Kwanza, Kisiasa :
Sote tunafahamu ili tuweze kushinda Uchaguzi wowote ule popote tunahitaji mambo matano makubwa ambayo ni,

1. Mgombea Mzuri


2. Mtandao au Chama

3. Agenda|Ilani ya Uchaguzi

4. Organization au timu kampeni

5. Rasilimali, fedha, vitu na watu


Sasa kwahoja hii naomba tuangazie hitaji la tatu la kushinda Uchaguzi ambalo ni " ILANI YA UCHAGUZI " Ilani ya Uchaguzi inaweza kuwa yakuandikwa au yakutamkwa,

ILANI YA UCHAGUZI maana yake ni ahadi za mgombea au chama kwa Wapigakura au wananchi.
Tuelewane vizuri hapa tumesema Ilani ni ahadi ya mgombea au Chama wala sio ahadi ya Serikali kwa wapigakura au wananchi, nadhani hapa tunakubaliana wote,

Tukubaliane pia huyu mgombea baadae anaweza kushinda na kuwa Rais X, Sasa bila kusahau kuna ahadi aliwaahidi wapigakura wake yeye kama yeye yaani akishinda atafanya miradi X,Y,Z.

Kwaufafanuzi huu wa Ilani ya Uchaguzi kama miradi X,Y,Z ikitekelezwa na aliyekuwa Mgombea wa nafasi X ambae alishinda Uchaguzi huo kwa ahadi hizo na sasa anazitekeleza kama alivyoahidi ubaya unatoka wapi tukisema " Rais X katekeleza miradi X,Y,Z? "

Pili kimuundo :
Rais wa JMT ndio Raia namba moja wa JMT ndie mkuu wa Serikali ndio afisa manunuzi mkuu, ndie mshauri mkuu wa bajeti ndie mtia saini wa mwisho wa sheria ya bajeti unakataaje hajafanya wakati kila kitu kinaanzia na kuishia kwake!!


Tatu, Rais ndie mwenye mamlaka ya kusimamia pesa yote ya nchi kabla na baada ya bajeti kwenye kutekeleza miradi ya nchi kwani ndie aliyepewa dhamana na ndio atakayeulizwa ifikapo mwaka 2025 kulingana na Ilani yake iliyopita hivyo anafanya kwa niaba yetu

Nne, Urais ni taasisi, Sisi sote tuko chini ya Rais wa JMT akiwa kama Raia namba moja wa nchi, Hivyo tuvifanyavyo tunavifanya kwa niaba ya Nchi na Rais wetu ndio maana likitokea baya lawama zote kwa Rais wa nchi kwanini linapotokea jema mnasita kusema kafanya hili Jema iweje Rais apokee mabaya tu mema asipokee?

||Serikali inafanya kwa niaba ya Rais na Rais anafanya kwa niaba ya wanachi||
Dr Bashiru Soma hiyo
 
Duuuh kweli we Jabali

Hapo kwenye Ilani nimepapenda zaidi,
Awamu hii CHADEMA kazi mnayo,
ILANI haitoi Ushindi kwa CCM miaka yote WIZI wa KURA ndio Unawapa Ushindi CCM
Kama una AKILI za Kutosha jiulize
1.Kwanini CCM inaogopa KATIBA MPYA
2.KWANINI CCM INAOGOPA TUME HURU ya UCHAGUZI
3.KWANINI CCM INAKATAA wakurugenzi wasiwe Wasimamizi wa Uchaguzi
4.KWANINI CCM inakataa vyama vya Upinzani CHADEMA kisifanye Mikutano?
N.k
Hayo MASWALI ndio yanafanikisha Wizi wa KURA wakati wa Uchaguzi na CCM kushinda na SIO ILANI.
 
ILANI haitoi Ushindi kwa CCM miaka yote WIZI wa KURA ndio Unawapa Ushindi CCM
Kama una AKILI za Kutosha jiulize
1.Kwanini CCM inaogopa KATIBA MPYA
2.KWANINI CCM INAOGOPA TUME HURU ya UCHAGUZI
3.KWANINI CCM INAKATAA wakurugenzi wasiwe Wasimamizi wa Uchaguzi
4.KWANINI CCM inakataa vyama vya Upinzani CHADEMA kisifanye Mikutano?
N.k
Hayo MASWALI ndio yanafanikisha Wizi wa KURA wakati wa Uchaguzi na CCM kushinda na SIO ILANI.
Hata Kama kura zitaibwa lakini lazima awepo mgombea, Rudi kwenye hoja
 
Hata Kama kura zitaibwa lakini lazima awepo mgombea, Rudi kwenye hoja
CHAMA kitakachoweza kuiba kura ndio MSHINDI
hakuna cha ILANI wala Mtu Ccm kwa kuwa wana uwezo wa kuiba KURA hata wakimsimamisha SHUJAA MAJALIWA atakuwa RAIS tu.
 
CHAMA kitakachoweza kuiba kura ndio MSHINDI
hakuna cha ILANI wala Mtu Ccm kwa kuwa wana uwezo wa kuiba KURA hata wakimsimamisha SHUJAA MAJALIWA atakuwa RAIS tu.
Ungejenga hoja badala ya malalakiko haya
 
Rais yeye hajawahi kusimama Mahala popote na kusema Nimefanya au Nitafanya siku zote tunamsikia akisema Serikali itafanya au tutafanya au tumepanga kufanya 123,Mara nyingi Machawa Kama wewe ndio mnamuwekea maneno mdomoni mara amemwaga mipesa sijui kaupiga,yeye anawacheki2
 
Back
Top Bottom