Ukweli ni upi? Wanasema; eti, jogoo akikomaa anataga kayai kamoja😂

Ukweli ni upi? Wanasema; eti, jogoo akikomaa anataga kayai kamoja😂

I am Groot

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2018
Posts
3,929
Reaction score
10,747
Kuna hili swala la yai na jogoo. Anyway ni swala la kijinga sana kujadili kitu kama hiki humu. Ila naamini kuna watu hata humu wanasema JOGOO AKIKUA NA KUKOMAA ANATAGA KAYAI ' KADOGO'.

Nilikuwa mahali nikasikia jamaa akaleta mada hii mezani. Kwa ufupi huyu jamaa nimeamua tu kumpa ushindi maana anabisha hadi kesho.
images.jpeg


Heri ya pasaka kwenu nyote.

-> Kunywa kistaharabu, kesho nayo ni siku.
 
Kuna hili swala la yai na jogoo. Anyway ni swala la kijinga sana kujadili kitu kama hiki humu. Ila naamini kuna watu hata humu wanasema JOGOO AKIKUA NA KUKOMAA ANATAGA KAYAI ' KADOGO'.

Nilikuwa mahali nikasikia jamaa akaleta mada hii mezani. Kwa ufupi huyu jamaa nimeamua tu kumpa ushindi maana anabisha hadi kesho.
View attachment 2190867

Heri ya pasaka kwenu nyote.

-> Kunywa kistaharabu, kesho nayo ni siku.
Sio wanafikiri n kwel hio na nimeshuhudia m mwenyewe mara 3 akitaga hilo yai dogo anaashiria ukomo wake wa kuweza kuzalisha hawezi kuzalisha tena na hii inatokea kama umefuga jogoo kwa muda mrefu sana mpaka akazeeka
 
Mkuu hii ni story ya kweli kabisa, ngoja tuendelee kutafuta yai tuweke picha hapa
 
Hako ka-Yai kakowapi sasa mbona jogoo peke ake! Au chai hii...
 
Sio wanafikiri n kwel hio na nimeshuhudia m mwenyewe mara 3 akitaga hilo yai dogo anaashiria ukomo wake wa kuweza kuzalisha hawezi kuzalisha tena na hii inatokea kama umefuga jogoo kwa muda mrefu sana mpaka akazeeka
Jogoo mzee kabisa anakuwa na umri gani
 
Back
Top Bottom