Ukweli ni upi? Wanasema; eti, jogoo akikomaa anataga kayai kamojašŸ˜‚

Ukweli ni upi? Wanasema; eti, jogoo akikomaa anataga kayai kamojašŸ˜‚

Uongo mtupu
Jogoo hana mechanism ya kutengeneza yai

Ile yai dogo ni mtetea anataga tena yule aliye komaaa au anaye anza kutaga

Mimi ni mfugaji 14years now ipo kwenye hii industry tena pure kienyej ya singida my region
 
Uongo mtupu babaake ukiuamini umeliwa..wengi wanachanganya hii habari..mara nyingi mtetea akiwa ndio anaanza kutaga huwa anasindikizwa na jogoo..eneo la kutagia na jogoo hua lina igiza ule mkao wa kutaga ili mtetea umfuatilize...lakini yao nila mtetea sio jogoo.

Kama hawaamini waweke majogoo peke yao huwezi ona hicho kitu maisha.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mambo ya kuku yana changamoto mpaka sasa sijajua kati ya kuku na yai kipi kilitangulia
 
Sio wanafikiri n kwel hio na nimeshuhudia m mwenyewe mara 3 akitaga hilo yai dogo anaashiria ukomo wake wa kuweza kuzalisha hawezi kuzalisha tena na hii inatokea kama umefuga jogoo kwa muda mrefu sana mpaka akazeeka
Anataga kwa mfumo upi? Ni sawa useme Mwanaume akikomaa sana anazaaa, sasa anazaaa vipi kwani ana mfumo uzazi? Jogooo hana mfumo wa uzazi na pia unajau process za yai kujengwa mwilini mwa kuku?
 
Uongo mtupu
Jogoo hana mechanism ya kutengeneza yai

Ile yai dogo ni mtetea anataga tena yule aliye komaaa au anaye anza kutaga

Mimi ni mfugaji 14years now ipo kwenye hii industry tena pure kienyej ya singida my region
Mkuu saidia make kumejaaa vilaza humu hadi basi, yaani watu hawajishughulish kutafuta maarifa ni full story za vijiwe vya kahawa
 
Back
Top Bottom