Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 17,637
- 47,413
[emoji28][emoji28][emoji28] acha basi. Jogoo anataga?Jogoo akikomaa hutaga my eyewitness
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji28][emoji28][emoji28] acha basi. Jogoo anataga?Jogoo akikomaa hutaga my eyewitness
Hao ni jogoo wa dar watakua
Ana wajukuu na wake wawili.Huyo jogoo ameoa au bado??
Sijajua iyo " kabisa " ndo imeharibu mambo nadhani akikaa miaka 4 - 5 hv. Anaanza kupungua nguvuJogoo mzee kabisa anakuwa na umri gani
Sipati picha ingekuwaje huko leba [emoji23][emoji23]Kwamba Mwanaume akikomaa na kuzeeka anazaa katoto kadogo.[emoji1787]
Anataga vipi wakati hana mfumo wa uzazi? Hizi elimuhiziNi kweli anataga kayai kadogo kamoja, nishashududia kipindi tunafunga kuku.
Kwani hujaona report ya CAG ikisema Kuna wanaume waliojifungua hapa TZ?Sipati picha ingekuwaje huko leba [emoji23][emoji23]
Anataga kwa mfumo upi? Ni sawa useme Mwanaume akikomaa sana anazaaa, sasa anazaaa vipi kwani ana mfumo uzazi? Jogooo hana mfumo wa uzazi na pia unajau process za yai kujengwa mwilini mwa kuku?Sio wanafikiri n kwel hio na nimeshuhudia m mwenyewe mara 3 akitaga hilo yai dogo anaashiria ukomo wake wa kuweza kuzalisha hawezi kuzalisha tena na hii inatokea kama umefuga jogoo kwa muda mrefu sana mpaka akazeeka
Kwa mfumo upi wa uzazi?Mkuu hii ni story ya kweli kabisa, ngoja tuendelee kutafuta yai tuweke picha hapa
Hakuna kitu kama hichoHakuna ushahidi juu ya swala hilo.
Mkuu saidia make kumejaaa vilaza humu hadi basi, yaani watu hawajishughulish kutafuta maarifa ni full story za vijiwe vya kahawaUongo mtupu
Jogoo hana mechanism ya kutengeneza yai
Ile yai dogo ni mtetea anataga tena yule aliye komaaa au anaye anza kutaga
Mimi ni mfugaji 14years now ipo kwenye hii industry tena pure kienyej ya singida my region
Acha uongo, yai anataga mtete anaye anza kutaga kwa mara ya kwanzaNi kweli hii habari. Binafsi nimeshawah shuhudia not once