Ukweli ni upi? Wanasema; eti, jogoo akikomaa anataga kayai kamoja๐Ÿ˜‚

I am Groot

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2018
Posts
3,929
Reaction score
10,747
Kuna hili swala la yai na jogoo. Anyway ni swala la kijinga sana kujadili kitu kama hiki humu. Ila naamini kuna watu hata humu wanasema JOGOO AKIKUA NA KUKOMAA ANATAGA KAYAI ' KADOGO'.

Nilikuwa mahali nikasikia jamaa akaleta mada hii mezani. Kwa ufupi huyu jamaa nimeamua tu kumpa ushindi maana anabisha hadi kesho.


Heri ya pasaka kwenu nyote.

-> Kunywa kistaharabu, kesho nayo ni siku.
 
Hii Ipelekwe Jukwaa Husika La Wafugaji
Watuambie Ukweli
 
Sio wanafikiri n kwel hio na nimeshuhudia m mwenyewe mara 3 akitaga hilo yai dogo anaashiria ukomo wake wa kuweza kuzalisha hawezi kuzalisha tena na hii inatokea kama umefuga jogoo kwa muda mrefu sana mpaka akazeeka
 
Mkuu hii ni story ya kweli kabisa, ngoja tuendelee kutafuta yai tuweke picha hapa
 
Hako ka-Yai kakowapi sasa mbona jogoo peke ake! Au chai hii...
 
Sio wanafikiri n kwel hio na nimeshuhudia m mwenyewe mara 3 akitaga hilo yai dogo anaashiria ukomo wake wa kuweza kuzalisha hawezi kuzalisha tena na hii inatokea kama umefuga jogoo kwa muda mrefu sana mpaka akazeeka
Jogoo mzee kabisa anakuwa na umri gani
 
๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜ƒ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ