ANAUPIGA MWINGI
JF-Expert Member
- Apr 14, 2022
- 389
- 757
Wasaidie hawa vilazaUongo mtupu babaake ukiuamini umeliwa..wengi wanachanganya hii habari..mara nyingi mtetea akiwa ndio anaanza kutaga huwa anasindikizwa na jogoo..eneo la kutagia na jogoo hua lina igiza ule mkao wa kutaga ili mtetea umfuatilize...lakini yao nila mtetea sio jogoo.
Kama hawaamini waweke majogoo peke yao huwezi ona hicho kitu maisha.
#MaendeleoHayanaChama
Alah kumbe sijasikia hiyo[emoji23][emoji23]Kwani hujaona report ya CAG ikisema Kuna wanaume waliojifungua hapa TZ?
Hakuna ukweli wowote,Mkuu hii ni story ya kweli kabisa, ngoja tuendelee kutafuta yai tuweke picha hapa
Hujui unachokisema, nimefuga Kuku sana nachosema ni based na nilichoonaAcha uongo, yai anataga mtete anaye anza kutaga kwa mara ya kwanza
Sio tu kadogo bali pia taahiraKwamba Mwanaume akikomaa na kuzeeka anazaa katoto kadogo.🤣
Duu...mbona ni maajabu hayo sasaNimewahi kushuhudia mara mbili jogoo wa kienyeji akitaga kayai kadogo Kama ka kware...... wanaume wa Dar msidhani huu miujiza Ni kawaida tu