PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,518
- 13,144
Jamaa anajua sana nyimbo zake ni nzuri sema tatizo nyota akienda kuomba usajili wasafi atatakata tu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usije itaka harusi kwa pupaa, usije itaka harusi ukarudi na talakaaKassim anajua sana...sanaaaa!
Kwa nyimbo za mahaba hafai huyu mtu.
Moja kati ya nyimbo zake nizipendazo ni Usiende kwa mganga.
Eeeh bwana,anavyoimba taratibu...na ile video walivyoweza kuuvaa uhusika acha kabisa.
Shkamoo Kassim [emoji119]
He he he acha kabisaKassim anajua sana...sanaaaa!
Kwa nyimbo za mahaba hafai huyu mtu.
Moja kati ya nyimbo zake nizipendazo ni Usiende kwa mganga.
Eeeh bwana,anavyoimba taratibu...na ile video walivyoweza kuuvaa uhusika acha kabisa.
Shkamoo Kassim [emoji119]
Hahaha Kassim hapanaTeh teh njoo nikupeleke Hawaii ukale tende za bohari
Ukirudi ujidai nitakuficha Zanzibar
Kwan na wewe si ume offer free speech!! Cha ajabu nn hapo! Sitaki heshima yako ya koroshoUbarkiwe Mawazo yako nayaheshimu sana Dada! Ndiyo maana kuna kitu kinaitwa Freedom Of Speech!!
Huwez kuliziba jua kwa ungo, usitupambanishie kasim wetu na wabana pua wa kigoma, watu wa pwani hatupo hivyo! Eti shabiki mkubwa wa Kasim hahaha tunaomulelea huwa hatuko hivyo kama weweAiseeeh bibie mbona umeenda mbali sana ungeniuliza kwann nimesema hivyo, na kwa kukuheshimu naomba ufute hiyo kauli sawa mama, sipo hapa kwa maneno ya kwenye kanga nipo kuyajenga, na nimesema mm ni fan no moja wa kassim kutokana na aina ya mziki wake, ila tatizo linakuwa wapi kuwepo sehemu alipo diamond ili hali yeye alimtangulia kwenye game..
Kwq kutunziana heshima na0mba uombe msamaha kwa ulichokiandika hapo.
Aaah Awena sasawekeni umond wenu pembeni kassim anajua nyimbo zake acha tu labda tuseme ni nyota au vp
Ungenieleza kistaarabu sio kwa kunitusi mama, ningekuelewa mbona mie niliandika bila matusiHuwez kuliziba jua kwa ungo, usitupambanishie kasim wetu na wabana pua wa kigoma, watu wa pwani hatupo hivyo! Eti shabiki mkubwa wa Kasim hahaha tunaomulelea huwa hatuko hivyo kama wewe
Umenichekesha sana...eti ukiongeza na muamalanamuheshimu cassim kwa maana ana tungo nzur sana na mashairi yake kama unamwambia mtoto wa kike walah achomoi (unaongeza na muamala kabisa)
ila sasa tatzo "boss kamganda dangote kaisahauuuuuuuu...............
Mimi nilijua nimepata mupenzi hodari mwenye tamu kuzidi asali anayejua kupenda na kusitiri mamiiHahaha Kassim hapana
Karibu Pwani upate maji ya madafu, na mengine upeleke Tandale yakawatoe mabushaUngenieleza kistaarabu sio kwa kunitusi mama, ningekuelewa mbona mie niliandika bila matusi
uwiiii acha tu uyo mtu jamaanAaah Awena sasa
Niliapa ukiondoka mpenzi, ntaondoka nawe
Sikuahidi kukufuta machozi, bali ntalia nawe
Ina maana hata kugeuka kunitazama hutaki Awena
Basi kama nakosa kwako nililofanya, nieleze Awena
Chozi langu la thamani unaliacha lianguke eeeh
Mti nilopanda zamani ina maana si chochote...........
Maneno matamu ulonipa chumbani, huku kichwa chako umelaza kifuani
Machozi yakikutiririka mashavuni
Kwamba hutoniacha mimi labda nitoweke duniani. ........