Bonny
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 13,370
- 29,968
Ha ha ha ha mkono mtupu haulambwi mama.Umenichekesha sana...eti ukiongeza na muamala
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sure...lazima anase.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha ha mkono mtupu haulambwi mama.Umenichekesha sana...eti ukiongeza na muamala
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sure...lazima anase.
Haha na wewe una undugu na Kassim?Mimi nilijua nimepata mupenzi hodari mwenye tamu kuzidi asali anayejua kupenda na kusitiri mamii
Kuongeza mwingine sidhani japo naruhusiwa na dini
Mazoea matamu usije niacha honey ....
Muache bana yule mpare sijui sogea hapa Lushoto
Sawa wa pwani taarabu mm siwezi.Karibu Pwani upate maji ya madafu, na mengine upeleke Tandale yakawatoe mabusha
Huu kwangu ndio wimbo bora kabisa kutoka kwa Cassim Mganga.Aaah Awena sasa
Niliapa ukiondoka mpenzi, ntaondoka nawe
Sikuahidi kukufuta machozi, bali ntalia nawe
Ina maana hata kugeuka kunitazama hutaki Awena
Basi kama nakosa kwako nililofanya, nieleze Awena
Chozi langu la thamani unaliacha lianguke eeeh
Mti nilopanda zamani ina maana si chochote...........
Maneno matamu ulonipa chumbani, huku kichwa chako umelaza kifuani
Machozi yakikutiririka mashavuni
Kwamba hutoniacha mimi labda nitoweke duniani. ........
Kassim anabembeleza jamani loooohHuu kwangu ndio wimbo bora kabisa kutoka kwa Cassim Mganga.
Jamaa anajua kuimba jamani tuache utani.
Kichwa kinaniuma kwa ajili ya Mawazo,Na wewe ndo Dawa yanguuAaah Awena sasa
Niliapa ukiondoka mpenzi, ntaondoka nawe
Sikuahidi kukufuta machozi, bali ntalia nawe
Ina maana hata kugeuka kunitazama hutaki Awena
Basi kama nakosa kwako nililofanya, nieleze Awena
Chozi langu la thamani unaliacha lianguke eeeh
Mti nilopanda zamani ina maana si chochote...........
Maneno matamu ulonipa chumbani, huku kichwa chako umelaza kifuani
Machozi yakikutiririka mashavuni
Kwamba hutoniacha mimi labda nitoweke duniani. ........
Tuachage tu watu na vipaji vyao jamaniKichwa kinaniuma kwa ajili ya Mawazo,Na wewe ndo Dawa yanguu
Tazama mwili wangu unavyodhoofika, na wewe ndo chakula changuu .......
Huu wimbo umenipa funzo kubwa sana maishani.SUBIRA...
wasikitika usije kuvunja shingo iyo mama
na uko kusononeka usije ita mapaka leo wakaja kukuparula
ukapoteza uzuri wako na ukija ukiolewa
usipendeze kwa mume wako ooh aiya iya iya aaa
na ujichunge saana
maana, utajichakaza
na uepuke sana ujana
maana utakuchakaza
subira subira yako maiyo
ipo mikononi mwake mola baba
subiri subira yako mamito
ije mikonon mwako mafungu saba
anaetoa ni mola pekee yeye
kwa kila goti na dua anajibu yeye
usije itaka harusi kwa pupaa
usije itaka harusi ukarud na talaka
usikimbilie mume ukaukondesha moyo
usikimbilie mume ukaukondesha moyo x 2
HahaHaha na wewe una undugu na Kassim?
dah kwa mashair yaliyomo naweza kuelewa nin ambacho kimekufunza mama.Huu wimbo umenipa funzo kubwa sana maishani.
[emoji17] [emoji17] [emoji17]
Haha
Haiwezekani niakuache wewe
Unayenipendeza niende kwa mwingine
Kidogo chetu mimi na wewe
Kikubwa cha barabuuu
Mali zao zisifanye upagawe
Kuniweka roho juu .....
hebu ngoja kwanza,wewe sio nanihii wangu wa zamani ambae tulikua tunaupenda sana huu wimbo?smtm ulikua unatoa na machoz ukiusikiliza!!Aaah Awena sasa
Niliapa ukiondoka mpenzi, ntaondoka nawe
Sikuahidi kukufuta machozi, bali ntalia nawe
Ina maana hata kugeuka kunitazama hutaki Awena
Basi kama nakosa kwako nililofanya, nieleze Awena
Chozi langu la thamani unaliacha lianguke eeeh
Mti nilopanda zamani ina maana si chochote...........
Maneno matamu ulonipa chumbani, huku kichwa chako umelaza kifuani
Machozi yakikutiririka mashavuni
Kwamba hutoniacha mimi labda nitoweke duniani. ........
Kwenye hiyo list Barnaba hayupo kweli?Naomba kuweka ukweli wa fikra zangu za dhati mbele ya kadamnasi.....
Kizazi hiki cha sasa kimebakiwa na watunzi wa muziki mahiri wawili tuu.
1÷Q chilla
2÷kassim mganga.
Chilla ni zaidi ya wote maana huko versatile...anapita na kila style na pia ana msg nzito kwenye nyimbo zake.
Kaasim ni mtaalam wa tungo za mwambao na hasa zenye ujumbe wa mahabat...
Swali la kwann hawatoboi....mara nyingi hata vipanga darasani huwa hawatoboi kimaisha na wanaishia kuajiriwa na ******. Ila kutokutoboa kwao haiwafanyi kutakuwa mabingwa na mahiri katika idara zao....
Tuweke ushabiki pembeni nyie timu wcb na timu king kiba leteni tungo za wasanii wenu zenye kuweza kushindana na tungo za chilla au mganga.
Ww Utakuwa ni moja ya kati ya wanne tu šo bureKama anakubalika na ni mzuri mbona hafiki huko walipo akina mond,,,, by the way mm ni fan wake nambari uno
Wee, wewe ni nanhii?hebu ngoja kwanza,wewe sio nanihii wangu wa zamani ambae tulikua tunaupenda sana huu wimbo?smtm ulikua unatoa na machoz ukiusikiliza!!