Kafa kivipi tenaKaribu sana mzabzab kumtumikia Mungu kuna faida sana.
Nilikuwa naongea na mfanyakazi mwenzangu saa mbili kama na dk 40 asubuhi, inafika saa tatu na dk tano napigiwa simu mtu kafaaa.. nikasema oooh maaai.. sina changu duniani acha nimtumikie Mungu.. mtu mzima unaweza ukawa chochote na mda wowote bora kuwake hadhina mbinguni ambapo kutu haiwezi haribu wala wevi kufika na kuiba
Kafa ghafla tu, na simu yake kama alikuwa ananiaga dahKafa kivipi tena
Maadili wanayo wa vijijini na sio mijini wamevurugwaKwenye katiba zao umo mpaka ushoga, wazungu hawana maadili
binafsi nimekuelewa vizuri na nitalifanyia kaziNb: Hivyo wanawake hamasisheni ndoa za halali ambayo ndo maagizo ya Mungu ili tuwape heshima yenu na si mila za Kizungu za Uzinifu/ mahusiano ( boyfriend na girlfriend).
Ukahamasishe pia na jamii inayokuzunguka pia Dada kila la kheribinafsi nimekuelewa vizuri na nitalifanyia kazi
sawa, Asante kwa ushauri
Acha unafiki.Uzinzi ni nomaaa..
Maandiko yanasema : azinie hana akili na anafanya jambo la hatari kwa maisha yake
Mnafiki wewe na alie kuzaa na ulio wazaaa na watu wako.. fala mkubwa weweee.. unanijua hadi uniite mnafiki senge kabisa weweAcha unafiki.
wewe mwenyewe wale wale
MsongoMnafiki wewe na alie kuzaa na ulio wazaaa na watu wako.. fala mkubwa weweee.. unanijua hadi uniite mnafiki senge kabisa wewe
Pita kushoto hanith wewe, na usi ni qoute wala kuniletea shobo.. unanijua fuc**** youMsongo
stressPita kushoto hanith wewe, na usi ni qoute wala kuniletea shobo.. unanijua fuc**** you
ππππ acha kushobokea wanaume kwa kujifanya unawajua.. pimb kabisa wewe..stress
Siku hizi uzinzi umehalalishwa Sana kwa kizazi hiki ni hatari Sana watu wanafanya uzizi kuliko na wako proudly kabisa na wanajionaa wajanja
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana mwanaKafa ghafla tu, na simu yake kama alikuwa ananiaga dah