Ukweli uliofichika kwa Dunia ya Leo

Ukweli uliofichika kwa Dunia ya Leo

Karibu sana mzabzab kumtumikia Mungu kuna faida sana.

Nilikuwa naongea na mfanyakazi mwenzangu saa mbili kama na dk 40 asubuhi, inafika saa tatu na dk tano napigiwa simu mtu kafaaa.. nikasema oooh maaai.. sina changu duniani acha nimtumikie Mungu.. mtu mzima unaweza ukawa chochote na mda wowote bora kuwake hadhina mbinguni ambapo kutu haiwezi haribu wala wevi kufika na kuiba
Kafa kivipi tena
 
Nb: Hivyo wanawake hamasisheni ndoa za halali ambayo ndo maagizo ya Mungu ili tuwape heshima yenu na si mila za Kizungu za Uzinifu/ mahusiano ( boyfriend na girlfriend).
binafsi nimekuelewa vizuri na nitalifanyia kazi
 
Siku hizi uzinzi umehalalishwa Sana kwa kizazi hiki ni hatari Sana watu wanafanya uzizi kuliko na wako proudly kabisa na wanajionaa wajanja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtanyukana sana. Ila mm naamini kabisa kuna binadamu wanaindesha hii dunia, nao ni wazungu wenye fedha zao. Wakisema hii ni nyeusi wakati inaonekana kabisa ni nyeupe basi watatumia gharama yoyote kuiaminisha dunia hivyo. Sasa mtachagua muamini au mgawike maana lazima wasepe na kijiji.

Dunia inakadiriwa kuwa na miaka 14 billion na watu 8 billion. Kila mtu apambane na afanye kwa kadri anavyoona ni sawa. Hatuwezi kuwa sawa na kuwa na imani sawa.
 
Back
Top Bottom