Morg
JF-Expert Member
- Oct 20, 2018
- 1,301
- 1,788
Acha kuhamasisha mila za Kizungu za Uzinifu/ mahusiano ( girlfriend na boyfriend) kwa kuwa zinamdhalilisha mwanamke. Na kupitia huo Uzinifu ndipo Wazungu wakaja na mawazo ya kuwa mwanamke ajitafutie pesa ili asimtegemee mwanaume hivyo lengo na makusudi ni kuhakikisha Uzinifu unaendelea ambapo mwanamke naye atakuwa na uwezo wa kubadilisha wanaume atakavyo.
Ndoa ya halali iliyoamrishwa na Mungu ndio iliyohimiza mwanaume kuwa kichwa cha familia, kutoa huduma na kumpa haki zake mwanamke.
Yafuatayo ni madhara ya Uzinifu/ mahusiano.
1. Wanawake kukosa thamani ambapo watakuwa wanaonekana ni chombo cha starehe.
2. Mwanamke kutotambuliwa upande wa Mme na hata akitambuliwa hukosa thamani.
3. Kukosa haki zake za kuhudumiwa na haki nyingezo kwa kuwa mwanaume halazimishwi na maandiko wala serikali kuhudumia.
4. Watoto kukosa msaada kutoka upande wa Mme kwa kuwa mtoto aliyezaliwa nje ya ndoa ni rahisi kukataliwa na mwanaume na ukoo wake kwa kuwa wasiwasi ni mwingi.
5. Kuongezeka kwa usingo mother na maovu mengine kama vile ukahaba n.k.
6. Mwanamke kupata tabu sana kumpata mwanaume mwingine mwenye nia ya kuoa kwa kuwa wanaume wengi hawapendi wanawake waliozaa au wasio bikra.
7. Wazazi wa mwanamke kukosa heshima ktk jamii kwa kuwa binti yao anaziniwa bila ndoa.
8. Mwanamke kutoridhika tendo la ndoa pindi aolewapo kuwa keshaliwa na kuachwa na wanaume wengi wenye Size tofauti tofauti kipindi cha mahusiano.
Nb: Hivyo wanawake hamasisheni ndoa za halali ambayo ndo maagizo ya Mungu ili tuwape heshima yenu na si mila za Kizungu za Uzinifu/ mahusiano ( boyfriend na girlfriend).
Ndoa ya halali iliyoamrishwa na Mungu ndio iliyohimiza mwanaume kuwa kichwa cha familia, kutoa huduma na kumpa haki zake mwanamke.
Yafuatayo ni madhara ya Uzinifu/ mahusiano.
1. Wanawake kukosa thamani ambapo watakuwa wanaonekana ni chombo cha starehe.
2. Mwanamke kutotambuliwa upande wa Mme na hata akitambuliwa hukosa thamani.
3. Kukosa haki zake za kuhudumiwa na haki nyingezo kwa kuwa mwanaume halazimishwi na maandiko wala serikali kuhudumia.
4. Watoto kukosa msaada kutoka upande wa Mme kwa kuwa mtoto aliyezaliwa nje ya ndoa ni rahisi kukataliwa na mwanaume na ukoo wake kwa kuwa wasiwasi ni mwingi.
5. Kuongezeka kwa usingo mother na maovu mengine kama vile ukahaba n.k.
6. Mwanamke kupata tabu sana kumpata mwanaume mwingine mwenye nia ya kuoa kwa kuwa wanaume wengi hawapendi wanawake waliozaa au wasio bikra.
7. Wazazi wa mwanamke kukosa heshima ktk jamii kwa kuwa binti yao anaziniwa bila ndoa.
8. Mwanamke kutoridhika tendo la ndoa pindi aolewapo kuwa keshaliwa na kuachwa na wanaume wengi wenye Size tofauti tofauti kipindi cha mahusiano.
Nb: Hivyo wanawake hamasisheni ndoa za halali ambayo ndo maagizo ya Mungu ili tuwape heshima yenu na si mila za Kizungu za Uzinifu/ mahusiano ( boyfriend na girlfriend).