Ukweli: Umaarufu wa Mtoto wa Diamond ( Tiffah) Umeporomoka

Sifa zimemzid diamond he is no longer humble anatukana anapost vijembe kwa mashabik zake ht paspokuwa na umuhimu
 

Huo ndo uhalisia D sifa zitampoteza me ni fani ake since way back bt cku hiz ht instagram naona ananichefua interview anaongea utumbo mtu anaekuja juu ni harmonize yuko humble diamond km more of muswahil cku hiz
 
Wewe mgeni wa diamond kuhusu kupost vijembe. Hajaanza jana

Ndo malipo yake sasa hayo for sure anaturnish image yake mbele ya jamii maana sasa hv ilbid akimbizane na mastaa wa kimataifa sio kufanya mambo local
 
Kakulia tandale,mswahili toka zamani. Kubali tu wewe ni hater
Huo ndo uhalisia D sifa zitampoteza me ni fani ake since way back bt cku hiz ht instagram naona ananichefua interview anaongea utumbo mtu anaekuja juu ni harmonize yuko humble diamond km more of muswahil cku hiz
 
Naona umempumzisha Ebitoke
 
Kakulia tandale,mswahili toka zamani. Kubali tu wewe ni hater

Na ww kubal ni mfuasi wake....ila usisahau uzi ukija au ikibandikwa huki kwa great thinkers lazima tutoe viewz zeti reagardless of what so usitembelee saaana mawazo yangu toa yako kwann imaarufu wa dogo umeshuka au sema km haujashuka sema pia
 
Yeah ni shabiki wake fatilia threads zangu utaona,tatizo ameongelea tiffa wewe umemkurupukia baba mtu hizo ni chuki mbaya halafu ukajibatiza ati ni shabik wake tangu zaman aisee
Na ww kubal ni mfuasi wake....ila usisahau uzi ukija au ikibandikwa huki kwa great thinkers lazima tutoe viewz zeti reagardless of what so usitembelee saaana mawazo yangu toa yako kwann imaarufu wa dogo umeshuka au sema km haujashuka sema pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…