Joh Daisy
Senior Member
- Jul 4, 2016
- 112
- 28
Yeah ni shabiki wake fatilia threads zangu utaona,tatizo ameongelea tiffa wewe umemkurupukia baba mtu hizo ni chuki mbaya halafu ukajibatiza ati ni shabik wake tangu zaman aisee
Tulia ww jenga hoja zilizo rational umaarufua wa tifah uwez useparate na baba yake maana ht huo umaarufu kaupata coz ya baba yake na anapoharibu baba lazima dogo aporomoke